Mapya ya anaedai kubakwa na kapuya...

Mapya ya anaedai kubakwa na kapuya...

Wewe ndo unaongeza tatizo kwa kuendelea kuamini kwamba tunavyombo vya usalama vya umma.
..kisilili ninini? Au unamaanishsa kisiriri? Kama ni hivyo mm sio msemaji wa vyombo vya dola. Mm nilijaribu tu kukufahamisha utendaji wa kazi wa idara za usalama tena sio za tz tu huo nimfumo wa idara zote za usalama za nchi zote.. lakini hujakatazwa kwenda kwa RPC KOVO AU RCO DSM AU RC DSM kufuatilia jambo hili la huyu binti itakuwa vizuri ukimchukuwa huyu binti ukaendae huko na zaidi ya hao nilio kutajia. Kuliko kuendelea ku post coment zako kwenye mitandao tu hamsaidii lolote lile.
 
Wewe ndo unaongeza tatizo kwa kuendelea kuamini kwamba tunavyombo vya usalama vya umma.
..Tatizo gani ninalo ongeza? Na unataka niamini nini kama sitoviamini vyombo vya usalama vya nchi yangu?
 
Hivi inawezekana kweli ukamtapeli salma kikwete usiende jela? Mi nahisi alienda kutafuta msaada WAMA mama salma akaona shem atapata aibu akasovu, hainingii kichwani kabisa eti kwamba mtu anaweza kumuapproach mama salma akidai yeye yatima halafu apewe kiwanja just like that, amuaproach kapuya halafu kapuya ampe mihela namna hiyo. Na ile benzi vipi? ilikuwa anamsaidia "yatima" asipate shida ya kupanda daladala?
 
Hoja hapa ndugu zangu ni kwamba inawezekana kweli huyu binti ni tapeli kutokana na matukio ya huko nyuma kama kuwatapeli Dk Kimei na bosi wa Global, lakini swali ni kwamba wamefanya biashara gani na huyu binti?
Kuna habari kwamba matapeli fulani wa Magomeni na Kinondoni humtumia huyu mtoto katika mitego ya fumanizi za kupanga. Kama uko makini na unajiheshimu huwezi kuingia kwenye mtego wake. Fungeni zipu zenu kwanza!

Acha kupotosha umma, hata kama kazoea kupanga mafumanizi,hawez kupanga kwa mtu mkubwa kama kapuya,ataishia kwetu tu tunaokaa nao mtaani,hv huamini kama kapuya ni mchafu hvyo au umetumwa? Angalia hata ile picha wamepost jana humu jf kapuya anacheza muziki na mdada na mkono mmoja kaingiza kunako,dah kapuya hana la kujitetea hapa.
 
Back
Top Bottom