Mapya ya anaedai kubakwa na kapuya...

Mapya ya anaedai kubakwa na kapuya...

Aliyekutuma aanze kufa alafu wewe ufuate. Huu uccm nchi mpaka lini? kama hata mnafika kutetea ujinga/uuaji kama huu. Inawezekana jamaa kaongeza dau kutoka buk7 kwenda 8

..Huyo atakuwa kapewa laki amsafishe CAPUYER.
 
Source!!!!
Kuna watu wazushi lkn huyu bint kiboko!! Ni huyu aliyesema Kapuya alimbaka na kumuambukiza ukimwi!! Ni muongo kabisa duh!! Ni kweli walikuwa wapenzi lkn maelezo meng aliyotoa ni usanii mtupu! Kumbe aliwahi kumtapel hata mama Salma Kikwete na akatupwa Segerea! Tena aliwahi kumtapel Kimei wa CRDB! Hahaha njaa hzi hatar! Aliwahi kumtapel hata bosi wa Global publisher! Si mwanafunzi ni mdada mwenye miaka 21 na ana mtt!! Ana majina zaid ya matano!! Hii hatar kabisa!! Mechoka mie...

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kuna watu wazushi lkn huyu bint kiboko!! Ni huyu aliyesema Kapuya alimbaka na kumuambukiza ukimwi!! Ni muongo kabisa duh!! Ni kweli walikuwa wapenzi lkn maelezo meng aliyotoa ni usanii mtupu! Kumbe aliwahi kumtapel hata mama Salma Kikwete na akatupwa Segerea! Tena aliwahi kumtapel Kimei wa CRDB! Hahaha njaa hzi hatar! Aliwahi kumtapel hata bosi wa Global publisher! Si mwanafunzi ni mdada mwenye miaka 21 na ana mtt!! Ana majina zaid ya matano!! Hii hatar kabisa!! Mechoka mie...

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Tufanye hayo unayoyasema kuhusu huyo mtoto ni kweli...... Unadhani ni sahihi kwa Kapuya kukakapuya kale katoto..??? Hata kama mtoto ni tapeli, hajaambukizwa ukimwi, amemtapeli Kimei na Shigongo, je ni sahihi hao wawili kuwa wapenzi..??? Kapuya ana ndoa, kapuya ni kiongozi.... Nyerere alishasema kuwa kama wewe ni kiongozi, kuna mambo unatakiwa uyaache...wanawake wa barabarani...
 
mmh sijui dada ako angekuwa kabakwa na kuunganishwa gridi ya taifa sijui ungeongea utumbo huu? vipi na hiyo namba ya simu ya huyo mumeo anayotumia kutuma sms za vitisho nayo ni uzushi?

Huyo nimtoto wa huyo mzee, kingukitano pole dogo kwa masahibu, ila baba yako anawalet down sana, hivi uliionaga ile picha anacheza muziki na kitoto cha shule akiwa amekaingizia mkono kwenye k?!!
 
Last edited by a moderator:
ana miaka kumi na 16, ana soma turian secondary, cheti cha kuzaliwa anacho, ndugu yako kambaka na kumwambukiza Virusi vya ukimwi..acha ngonjera zako.

Ha ha haaaaaaa, nimecheka bila kutaka
 
Aisee......naona anahujumu wana CCM pekee......lazima mtasema ni CHADEMA huyu mtoto

ImageUploadedByJamiiForums1384773939.045356.jpg
Hatare sana shehe.....
 
1. Mpaka Kapuya ajiue kwanza (kama alivyotishia ) ndio nitaamini kwa huyo msichana ni mwongo!
 
Mmeanza kumsafisha Le plofeseli sio?!

Kwahiyo mtu akiwa tapeli hawezi kubakwa?!

Akiwa na majina saba au hata kumi ndiyo yanayomzuia kubakwa?!

Je akiwa na miaka 21 ndio kubakwa inashindikana pia au?!

Kajipange mkuu uje tena; Nlisahau kukuuliza, na namba iliyokua inajibizana nae kwa sms pia ni feki sio?![/QUO



Hawa wanaleta siasa hata kwenye utu wa mtu, kubaka nikubaka tu.... Kapuya anatofauti gani na babu seya .... kwanini yeye yuko uraiani na mwenzake ananyea debe
 
wewe mleta ukapuya wako hapa, kapuya kukupa shi ngapi uje upuyange ukapuya wa kapuya ?

Yaani Chadema hamna sera! Siasa zenu ni za matukio tu! Mmeng'ang'ania ishu ya Kapuyaaa! Sijui mnadhani ndio itawatoa ki dizaini fulani! Mnaambiwa ukweli kwamba yule binti ni tapeli,hamtaki! Mmekomaa utafikiri kabakwa mamako! Hamna akili!
 
Kama nchi inatawaliwa kwa mjibu wa sheria na katiba naomba imkamate huyo bakabaka bila kuangalia umaarufu au uchama.mi najua sheria ni msumeno,binadamu wote n sawa mbele ya sheria kwel???
 
Back
Top Bottom