Mapya ya anaedai kubakwa na kapuya...

Mapya ya anaedai kubakwa na kapuya...

Kuna watu wazushi lkn huyu bint kiboko!! Ni huyu aliyesema Kapuya alimbaka na kumuambukiza ukimwi!! Ni muongo kabisa duh!! Ni kweli walikuwa wapenzi lkn maelezo meng aliyotoa ni usanii mtupu! Kumbe aliwahi kumtapel hata mama Salma Kikwete na akatupwa Segerea! Tena aliwahi kumtapel Kimei wa CRDB! Hahaha njaa hzi hatar! Aliwahi kumtapel hata bosi wa Global publisher! Si mwanafunzi ni mdada mwenye miaka 21 na ana mtt!! Ana majina zaid ya matano!! Hii hatar kabisa!! Mechoka mie...

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Imekaa kichoko choko
 
Wale hata wakiombana 0713 siyo shida ni watu wazima, lkn ya huyu bibi kizee sorry babu kizee kumnajisi mtoto ndo shida kubwa. Hivi kama aliyenajisiwa angelikuwa mdogo wako ungeshadadia hivi.
Pitia jukwaa la MMU ukayasome ya Slaa na mchumba.
 
Wale hata wakiombana 0713 siyo shida ni watu wazima, lkn ya huyu bibi kizee sorry babu kizee kumnajisi mtoto ndo shida kubwa. Hivi kama aliyenajisiwa angelikuwa mdogo wako ungeshadadia hivi.

Mbona haendi polisi?

Na wale wanaharakati wa haki za watoto na wanawake na wao pia wameshindwa kumpata kwenda nae polisi?

Kalagabaho.
 
Mbona ya Rwakatale serikali ilifanya kazi na mitandao kwa nini hili la kapuya inasita kufanya hivyo. Hii nchi ni ajabu lingine la DUNIA
Mbona haendi polisi?

Na wale wanaharakati wa haki za watoto na wanawake na wao pia wameshindwa kumpata kwenda nae polisi?

Kalagabaho.
 
Ifikie kipindi tukae chini tuangalie mambo yanavyokwenda.Je? ni halali kwa mtu kama kapuya kufanya UCHAFU huu then tunaanza kumkingia kifua? Binafsi nawaomba tuungane kumsapoti binti huyu na kuakikisha mwalifu anapata adhabu stahiki bila kujali wadhifa wake.
 
Mbona ya Rwakatale serikali ilifanya kazi na mitandao kwa nini hili la kapuya inasita kufanya hivyo. Hii nchi ni ajabu lingine la DUNIA
.Serikali na vyombo vyake vya usalama vinautartibu mwingi sana wa kufanyia kazi tuhuma nipamoja na siri ns dhahir na havilazimiki kukujuza mtu kama ww nini wanafanya ujijue hata ww hapo ulipo yawezekana wanakufuatilia / wakuchunguza bila ww mwenyewe kujijua..
 
Huyu mbakaji hasafishiki wandugu. Hamwezi kudivage attention za watu kwa kuleta theads za kujaribu kumpakazia matope, kama mnalipwa mwambieni ukweli tu kuwa hapa mnamwibia maana hasafishiki kwenye hii saga.

SIJAWAHI KUONA TAPELI KAMA HUYU DADA.........:sad:
 
Hoja hapa ndugu zangu ni kwamba inawezekana kweli huyu binti ni tapeli kutokana na matukio ya huko nyuma kama kuwatapeli Dk Kimei na bosi wa Global, lakini swali ni kwamba wamefanya biashara gani na huyu binti?
Kuna habari kwamba matapeli fulani wa Magomeni na Kinondoni humtumia huyu mtoto katika mitego ya fumanizi za kupanga. Kama uko makini na unajiheshimu huwezi kuingia kwenye mtego wake. Fungeni zipu zenu kwanza!
 
Mbona ya Rwakatale serikali ilifanya kazi na mitandao kwa nini hili la kapuya inasita kufanya hivyo. Hii nchi ni ajabu lingine la DUNIA

Polisi wameshasema aende tu akatoe malalamiko, hawana malalamiko yoyote mpaka sasa. Huyo binti anajuwa akienda polisi ndio kiama chake kwani ana rikodo mule za utapeli.

Kicheche tu huyo, hana lolote. Huyo wa kubakwa?
 
Polisi wameshasema aende tu akatoe malalamiko, hawana malalamiko yoyote mpaka sasa. Huyo binti anajuwa akienda polisi ndio kiama chake kwani ana rikodo mule za utapeli.

Kicheche tu huyo, hana lolote. Huyo wa kubakwa?
yote haya sawa, lakini katika bandiko moja la William Melecela hapa anasema yule msichana anafahamiana na mheshimiwa na yote wanayosema kuyafanya wameyafanya ila umri wake ni zaidi ya miaka 16 hivyo hajabakwa!
Hii inanikumbusha kampeini zako kwa rais wa TFF na Le mutuz mlivyoshindwa inaweza pia kuwa katika hili suala. Kwa vyovyote hiii inasikitisha!
 
Hao akina Global na magazeti yao ya udaku wamekuwa wakimtumia sana huyu binti kwenye fumanizi za kupanga; halafu eti leo wanamsafisha Kapuya"
 
utaelewa kidogo siku yatakapomkuta mtu wa familia yako, na utaelewa zaidi yakitokea kwa mtu anayekuhusu zaidi kama mkeo au wewe mwenyewe!
 
Siyo kwamba anajua hawatashughulikia zaidi ya kumtoa kucha na meno bila ganzi?
Polisi wameshasema aende tu akatoe malalamiko, hawana malalamiko yoyote mpaka sasa. Huyo binti anajuwa akienda polisi ndio kiama chake kwani ana rikodo mule za utapeli.

Kicheche tu huyo, hana lolote. Huyo wa kubakwa?
 
Kwa hiyo kapuya anachunguzwa kisilisili? haaaa siyo CCM hii ina Polis wake ninao wajua.
.Serikali na vyombo vyake vya usalama vinautartibu mwingi sana wa kufanyia kazi tuhuma nipamoja na siri ns dhahir na havilazimiki kukujuza mtu kama ww nini wanafanya ujijue hata ww hapo ulipo yawezekana wanakufuatilia / wakuchunguza bila ww mwenyewe kujijua..
 
Kuna watu wazushi lkn huyu bint kiboko!! Ni huyu aliyesema Kapuya alimbaka na kumuambukiza ukimwi!! Ni muongo kabisa duh!! Ni kweli walikuwa wapenzi lkn maelezo meng aliyotoa ni usanii mtupu! Kumbe aliwahi kumtapel hata mama Salma Kikwete na akatupwa Segerea! Tena aliwahi kumtapel Kimei wa CRDB! Hahaha njaa hzi hatar! Aliwahi kumtapel hata bosi wa Global publisher! Si mwanafunzi ni mdada mwenye miaka 21 na ana mtt!! Ana majina zaid ya matano!! Hii hatar kabisa!! Mechoka mie...

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums










GLOBAL PUBLISHER MUMETUMIKA KUMUSAFISHA PROF KAPUYA!!
Mimi nimesikitishwa na uandishi uliofanywa na magazeti ya Global Publisher baada ya kumhoji anayeitwa Binti aliyezaa na Kapuya.
Kwanza kabisa Prof Kapuya ni mtendaji wa Serikali kupitia Chama tawala ambaye anatakiwa kuwa mfano kwa maadili ya Jamii hivyo tulitegemea gazeti lihoji mambo kadhaa yakiwemo yafuatayo:
Part1:
Mwezi Februari mwaka huu, mtu asiyefahamika alienda nyumbani na kutelekeza gari aina ya T.199 BGY Mercedes Benzi ya Blue wakati wanafunzi hao wakiwa shuleni, kisha kuacha ufunguo kwa jirani yao kwa maelekezo kuwa wakifika awapatie.Kwa mujibu wa mwanafunzi huyo, 24 Januari 2013, alifika mtu nyumbani kwao mtu mmoja (jina tunalihifadhi) na kujitambulisha kuwa yeye ni jambazi na kuwa alitumwa kwenda kuwaua
Hapa tunataka ukweli nani mumiliki wa gari hii na Prof Kapuya ,alikuwa anatuma la nini gari hii kwa mototo mdogo kama hajazaa naye??. Ni kwa nini Pro Kapuya anakuwa Munyonge kwa motto mdogo tena Yatima??? Ikumbukwe kuwa kama Prof Kapuya haukuwatuma majambazi hawa kwa nini anaendelea kutuma msg za kutishia kua ???? Ninani aliyejuu ya sharia??? Ni nani mwenyehaki ya kumuua mtu mwingine???Kama serikali hiwezi kushughulikia vitisho vya Prof Kapuya maana yake ni kwamba Serikali haiwezi kuwakamata wauaji wowote wakiwemo waliomuua Dkt Mvungi
Part2
Alfajiri saa 11:21 kupitia simu yake ya mkononi yenye namba 0784993930, Profesa Kapuya alituma ujumbe ufuatao kwa mtoto huyo: “chagueni kunisubiri tuje tuongee au mnataka kufa?”
Baadaye saa 1:07 asubuhi, alituma ujumbe mwingine kutoka simu hiyo hiyo kwenda kwa mtoto huyo, ukisema: “Mkiuawa, itakuwa nzuri, itawapunguzia gharama za kuishi. Usitake kugombana na serikali, mtoto mdogo kama wewe. Sisi ndo wenye nchi yetu.
“Mwambieni Mbowe mwenye hilo gazeti awape nyumba ya kuishi.

Si mmemuingizia hela leo? Mnatumika bure watu wanaingiza hela nyingi, mmenitibua lazima niwauwe wiki hiii haitaisha, nitapanga kambi popote. “Jana si wamekuficha? Tuone kama utalindwa milele. Kazi ya kulindwa imeisha, maana wameshatengeneza hela. Lazima mvae sanda. Hilo sio ombi, ni wajibu wenu. Mnajitia mafia watoto sio? Watoto wetu wanauza unga, nani anawakamata? Nani atapigana nasi?”
Manenno haya yametolewa na Prof Kapuya tena kupitia simu yake na ushihidi umethibishwa na TCRA kwamba Prof Kapuya ametukana na kutihia.
Kwa ufupi hapa Prof Kapuya hajamtishia Binti huyo peke yake bali kawatishia na waandishi Jambo ambalo ni hatari.Suali ni kwanini Kapuya anawatishia waandiushi wa Tanzania Daima na hawatishii waandishi wa glbal Publisher????Ni kwanini waandishi wa Glbal wafanye harassment wakati wa kumuhoji bint huyo???


Part 3
Hata hivyo, baada ya kuhisi kuwa watoto hao wamedhamiria kumchukulia hatua, na wamewasiliana na taasisi mbalimbali za kiraia na serikali zenye uwezo wa kumtia adabu, mbunge huyo alimtumia mtoto huyo ujumbe wa kuonyesha alikuwa anafikiria kunywa sumu. Ujumbe huo uliotumwa kwa mtoto huyo saa 11:2 3 ulisema: “nimwakosea sana, acha nife mie nakunywa sumu nijiue, na nyie mje mnizike.”
Hasira za Profesa Kapuya dhidi ya mtoto hao zilitokana na hatua ya mtoto huyo na dada yake kufichua unyama wanaodai kutendewa na mbunge huyo, ambaye amewahi kushika nyadhifa kadhaa za uwaziri katika Serikali ya Awamu ya Nne.
Tangu alipogundua kuwa mtoto huyo alizungumza na gazeti hili juzi, saa 5:17 usiku wa kuamkia jana alituma ujumbe usemao: “Si mpo Bilz? Sasa tupo pamoja na nyie mpaka usiku.” Baadaye saa 5:31 alituma ujumbe huu: “Hivi hamkubali kushindwa? Leo ulifuata nini ofisi ya CCM?”

Hapa inaonyesha Prof Kapuya yupo juu ya CCM na Serikali !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Part4
Mwanafunzi huyo alisema baada ya kutambulishwa aliitwa katika hoteli moja jijini Dar ambapo baada ya kufika mapokezi wafanyakazi wa hoteli hiyo walimkataza kuingia chumbani katika maana kwamba umri wake alikuwa mdogo (mwaka 2011 alikuwa na miaka 14), lakini Kapuya aliamrisha aje chumbani pamoja na dereva na kumwingiza kwa nguvu. Akiwa chumbani alimlazimisha kulala naye kisha kumpa sh laki saba, badala ya sh elfu sitini na saba kiasi ambacho kilikuwa ndio mahitaji halisi ya ada.
Mwanafunzi huyo amesema baada ya muhula mmoja aliitwa tena na mbunge huyo katika Jengo la Biashara Complex lililoko Mwananyamala tarehe 3 June 2012, ambapo pia alimlazimisha kulala naye kwenye zulia la ofisi yake, kisha kumpa sh 350,000/.
Alisimulia kwamba wakati anatoka kwa huzuni ofisini kwa mbunge huyo, mmoja wa wahudumu wa hapo alimuuliza kwanini anatoka kwa huzuni, alimweleza kisa hicho, na huyo mama aliangua kilio kwa kumwambia “mwanangu umekufa pole tu, huyu baba ni muathirika wa ukimwi”. Aliongeza kuwa baada ya kuambiwa vile alilia na kufanya fujo hapo mapokezi hadi alipokamatwa na walinzi wa kisha kupelekwa kituo cha polisi kufunguliwa mashtaka, lakini akiwa polisi alipoeleza mkasa wote, Polisi walilazimika kumwita Kapuya na wakawasuluhisha kwa makubaliano kwamba Kapuya atakuwa anamlipia ada, na kumpa pesa za matumizi sh. laki tatu kila mwezi, jambo ambalo amekuwa akilitekeleza kupitia simu yake ya mkononi 0755993930.
Ujumbe huo kutoka simu namba 0784993930 inayomilikiwa na Kapuya kwenda kwa namba inayomilikiwa na binti huyo, unasomeka hivi: “Ni lazima nitakuua wewe na ndugu yako na atakaetaka kuwasaidia, huyo Samweli Sita asijiingize kwenu, yaani nitakuua tena sijui leo mtalala wapi! We unadhani nani atakayenifunga? Ndo nishakupa ukimwi, sasa nakutaka uache mara moja kuongea na mtu, nitakuwinda popote tuone!” inasomeka sehemu ya ujumbe huo unaodaiwa kutoka kwa Kapuya.

Part5
Katika kuthibitisha kwamba Kapuya amekuwa na mawasiliano na binti huyo na kwamba anamjua tofauti na anavyodai kuwa hamjui, gazeti hili limenasa mawasiliano ya kutumiana fedha kutoka kwa Kapuya kwenda kwa binti huyo.Baadhi ya mawasiliano hayo ni pamoja na yale yaliyofanyika Agosti 31 mwaka huu kupitia simu ya Kapuya ambapo alituma sh 300,000 kwenda kwa binti huyo kama sehemu ya makubaliano ya kutuma pesa kila mwezi kwa ajili ya matunzo. Mawasiliano hayo ni kama ifuatavyo: Juma Kapuya(0755993930).
R93NY448 Imethibitishwa
Umepokea Tsh505,000

kutoka kwa JUMA KAPUYA
Tarehe 21/6/13 saa 11:07 AM
Salio lako la M-PESA ni Tsh 505,000
U26UG365. Imethibitishwa Umepokea Tsh 300,000
kutoka kwa JUMA KAPUYA
Tarehe 31/8/13 saa 3:28 PM
Salio lako la M-PESA ni Tsh 300,000
V04EU470 Imethibitishwa Umepokea Tsh 400,000
kutoka kwa JUMA KAPUYA
Tarehe 24/9/13 saa 2:38 PM
Salio lako la M-PESA ni Tsh 400,040
Kwa nini Kapuya akubali kumusaidia mwanafunzi huyo kwa njia ya simu badala ya kwenda kulipa moja kwa moja Shguleni??????????
[TABLE="class: MsoNormalTable, width: 100"]
[TR]
[TD] First Name:
[/TD]
[TD="colspan: 5"] Prof. Juma
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Middle Name:
[/TD]
[TD="colspan: 5"] Athumani
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Last Name:
[/TD]
[TD="colspan: 5"] Kapuya
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 34%"] Member Type:
[/TD]
[TD="width: 64%, colspan: 5"] Constituency Member
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Constituent:
[/TD]
[TD="colspan: 5"] Urambo Magharibi
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Political Party:
[/TD]
[TD="colspan: 5"] CCM
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Office Location:
[/TD]
[TD="colspan: 5"] P.O. Box 11365, Dar es Salaam
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Office Phone:
[/TD]
[TD="colspan: 5"] +255 784 993930/+255 776 784185
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Ext.:
[/TD]
[TD="colspan: 5"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Office Fax:
[/TD]
[TD="colspan: 5"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Office E-mail:
[/TD]
[TD="colspan: 5"] jkapuya@parliament.go.tz
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Member Status:
[/TD]
[TD="colspan: 5"] Current Member
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Date of Birth
[/TD]
[TD="colspan: 5"] 22 June 1945
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] University College of Wales Aberystwyth
[/TD]
[TD]
PhD (Botany)
[/TD]
[TD]
1972
[/TD]
[TD]
1975
[/TD]
[TD]
PHD
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] University of Dar es Salaam
[/TD]
[TD]
MSc. (Botany)
[/TD]
[TD]
1971
[/TD]
[TD]
1972
[/TD]
[TD]
MASTERS DEGREE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] University of Dar es Salaam
[/TD]
[TD]
BSc. (Education) Hons
[/TD]
[TD]
1968
[/TD]
[TD]
1971
[/TD]
[TD]
GRADUATE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] Katholicke University, Nijmegen
[/TD]
[TD]
Certificate
[/TD]
[TD]
1982
[/TD]
[TD]
1983
[/TD]
[TD]
CERTIFICATE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] International Atomic Energy Agency
[/TD]
[TD]
Certificate
[/TD]
[TD]
1986
[/TD]
[TD]
1986
[/TD]
[TD]
CERTIFICATE
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 256"][/TD]
[TD="width: 2"][/TD]
[TD="width: 202"][/TD]
[TD="width: 47"][/TD]
[TD="width: 47"][/TD]
[TD="width: 195"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
MAMBO YA KUJIULIZA
1.Kapuya anasema huyo Binti ni mtu mzima nay eye amegundua hilo sasa kwa nini anaendelea kusadia mtu mzima wakati tayari ameshagundua hilo.
2.Kapuya anasema Binti ni tapeli sasa kwa nini anaendelea kumutumia msg tapeli?? Anaendelea kumtumia M-Pesa mtu tapeli???
Hivi CV ya kapuya ni ya mtu wa kutapeliwa???
Kwa nini akubali harakaharaka kuwa Binti ni tapeli???
3.Kama kapuya ambaye ni Prof na aliyewahi kuwa waziri anaweza kutapeliwa kirahisi namna hiyo basi nchi hii ipo Gizani!!!
4.Ni kwa nini serikali isichukue hatua kwa lugha za vitisho za kuua zinazotolewa na Mtu wao???
5.Kwa nini Bi Helen Bisimba yupo Kimya kwa vitisho vya mauaji kama haya???.

WITO WANGU NI KWAMBA NCHI HAIWEZI KUONGOZWA NA WATU WABABE KAMA KAPUYA HARAFU RAIS ANANYAMAZA KIMYA>
SASA TUNA ANZA KUAMINI KUWA SERIKALI ILIYOKO MADARAKANI INAFANYA BIASHARA ZA DAWA ZA KULEVYA NA WATOTO WAO HAWAKAMATWI NA WAKIMATWA WANATOLEWA!!!
MTANDAO WA MAHAKIMU NA MAJAJI WAOTE WANAOLALAMIKIWA UMETHIBITISHWA NA MANENO YA KAPUYA!!!!!!!!!!!!
 
Kwa hiyo kapuya anachunguzwa kisilisili? haaaa siyo CCM hii ina Polis wake ninao wajua.
..kisilili ninini? Au unamaanishsa kisiriri? Kama ni hivyo mm sio msemaji wa vyombo vya dola. Mm nilijaribu tu kukufahamisha utendaji wa kazi wa idara za usalama tena sio za tz tu huo nimfumo wa idara zote za usalama za nchi zote.. lakini hujakatazwa kwenda kwa RPC KOVO AU RCO DSM AU RC DSM kufuatilia jambo hili la huyu binti itakuwa vizuri ukimchukuwa huyu binti ukaendae huko na zaidi ya hao nilio kutajia. Kuliko kuendelea ku post coment zako kwenye mitandao tu hamsaidii lolote lile.
 
Back
Top Bottom