Mapya ya anaedai kubakwa na kapuya...

Mapya ya anaedai kubakwa na kapuya...

sawa tumekusikia

vipi unadhani imetosha mtu wako keshajisafisha? acha kutumika kama condom
 
Mashambulizi from other side yameanza! ! Tuambie kwann alhaji alitupa line miezi 6 iliyopita, lakini few weeks back mwandishi alimpata kwa same number ingawa ilipokelewa na dereva wake! ! Jamaa anajikanyaga sana, tutajua tu mwisho wa hii film

Kwanza aseme kisa cha kutupa line nini sio anatuletea ng'onjera hapa kama alitaka kuitupa line angeenda ktkt ya bahari akaitupa sio huu uzushi anaotueleza.huu ndio ule ujinga wa kufuta namba ya mtu kwenye sim wakati umeikariri kichwani huyu alitupa kumbukumbu lakini namba akarufisha ile ile
 
Kuna watu wazushi lkn huyu bint kiboko!! Ni huyu aliyesema Kapuya alimbaka na kumuambukiza ukimwi!! Ni muongo kabisa duh!! Ni kweli walikuwa wapenzi lkn maelezo meng aliyotoa ni usanii mtupu! Kumbe aliwahi kumtapel hata mama Salma Kikwete na akatupwa Segerea! Tena aliwahi kumtapel Kimei wa CRDB! Hahaha njaa hzi hatar! Aliwahi kumtapel hata bosi wa Global publisher! Si mwanafunzi ni mdada mwenye miaka 21 na ana mtt!! Ana majina zaid ya matano!! Hii hatar kabisa!! Mechoka mie...

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

umejuaje...!?
 
Kuna watu wazushi lkn huyu bint kiboko!! Ni huyu aliyesema Kapuya alimbaka na kumuambukiza ukimwi!! Ni muongo kabisa duh!! Ni kweli walikuwa wapenzi lkn maelezo meng aliyotoa ni usanii mtupu! Kumbe aliwahi kumtapel hata mama Salma Kikwete na akatupwa Segerea! Tena aliwahi kumtapel Kimei wa CRDB! Hahaha njaa hzi hatar! Aliwahi kumtapel hata bosi wa Global publisher! Si mwanafunzi ni mdada mwenye miaka 21 na ana mtt!! Ana majina zaid ya matano!! Hii hatar kabisa!! Mechoka mie...

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
umevurugwa
 
umetumwa kuja kumsafisha le prof. humu jf ila umechelewa hasafishiki.
 
Huyu mzee kwanza hana adabu hata chembe,miaka 70 bado unakua mroho wa coomer?.
Ingekua amri yangu angechezea risasi ya kichwa,wanatutia aibu sana hawa vikongwe.
 
Kuna watu wazushi lkn huyu bint kiboko!! Ni huyu aliyesema Kapuya alimbaka na kumuambukiza ukimwi!! Ni muongo kabisa duh!! Ni kweli walikuwa wapenzi lkn maelezo meng aliyotoa ni usanii mtupu! Kumbe aliwahi kumtapel hata mama Salma Kikwete na akatupwa Segerea! Tena aliwahi kumtapel Kimei wa CRDB! Hahaha njaa hzi hatar! Aliwahi kumtapel hata bosi wa Global publisher! Si mwanafunzi ni mdada mwenye miaka 21 na ana mtt!! Ana majina zaid ya matano!! Hii hatar kabisa!! Mechoka mie...

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Sikuwahi kujua kua wale watoto aliokua akijisifia Kapuya kua wanauza Unga na hawakamatwi, kuna mmoja wao yupo humu JF, haya bana mtetee mshua
!!
 
Kuna watu wazushi lkn huyu bint kiboko!! Ni huyu aliyesema Kapuya alimbaka na kumuambukiza ukimwi!! Ni muongo kabisa duh!! Ni kweli walikuwa wapenzi lkn maelezo meng aliyotoa ni usanii mtupu! Kumbe aliwahi kumtapel hata mama Salma Kikwete na akatupwa Segerea! Tena aliwahi kumtapel Kimei wa CRDB! Hahaha njaa hzi hatar! Aliwahi kumtapel hata bosi wa Global publisher! Si mwanafunzi ni mdada mwenye miaka 21 na ana mtt!! Ana majina zaid ya matano!! Hii hatar kabisa!! Mechoka mie...

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums


http://
api.ning.com:80/files/w-k4IC*v9QkmkPqrdjeI2Luak8uGQQgV8rFHlqhJDeQ*PuzRQ3NBgT3lVGxF45j9e2nooF9fL1uAVP*76scRXAZeso5sUfyS/kapuyaacopy.jpg?width=650
Stori: Mwandishi Wetu
Dalili za kifo zipo nje nje, zinajidhihirisha kwa ukaribu zaidi katika maisha ya Mbunge wa Urambo Magharibi (CCM), Profesa Juma Athuman Kapuya, sababu kuu ikiwa zigo la tuhuma za kumbaka na kumwambukiza Ukimwi mwanafunzi.
Siyo Kapuya tu, hata mwanafunzi anayedai kubakwa na waziri huyo wa zamani, naye maisha yake siyo salama, kwa hiyo rai imetolewa kwa wote wawili kupewa ulinzi stahiki.
Shahidi muhimu.
Tuhuma kuu ni Kapuya kuripotiwa na gazeti pamoja na mitandao kadhaa ya intaneti, akidaiwa kumbaka mwanafunzi wa kike mwenye umri wa miaka 16 (jina tunalihifadhi), anayesoma Shule ya Sekondari Turiani, Magomeni, Dar es Salaam.
Mwanafunzi huyo amekuwa akinukuliwa na vyombo vya habari akisema kuwa alibakwa mara mbili na Kapuya kisha kuambukizwa Ukimwi wakati alipokwenda kumuomba msaada wa ada ya shule kwa sababu yeye ni yatima.
Mh. Juma Kapuya.

KAPUYA NA KIFO
Kapuya, aliye kiongozi mwandamizi wa Tanzania, akiongoza wizara mbalimbali kama vile Elimu, Kazi, Vijana na Ajira, Habari, Utamaduni na Michezo, Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa na kadhalika, maisha yake yapo hatarini kwa sababu zifuatazo;
MOSI; Wananchi waliozungumza na Risasi Jumamosi, wamesema kuwa hatari ya kwanza ni SMS ambayo inadaiwa Kapuya aliituma kwa mwanafunzi huyo akimtishia kumuua.
"Kapuya ni kiongozi mwenye heshima kubwa nchini, kukumbwa na tuhuma za kutishia kuua siyo dogo," alisema Phabian Tarimo ambaye alidai ni jirani wa mwanafunzi huyo na kuongeza:
"Inawezekana kujiepusha na aibu hiyo ya tuhuma za ubakaji au kutishia kuua, akaamua kujiua."
PILI; Kingine ambacho kinaashiria hatari kwa maisha ya Kapuya ni SMS ya kutishia kujiua ambayo inadaiwa kiongozi huyo alimtumia denti mlalamikaji.
Vyanzo vyetu vinasema, SMS hiyo kutoka kwa Kapuya inasomeka: "Nimewakosea sana, acha nife mie nakunywa sumu nijiue, na nyie mje mnizike."

Mchangia maoni mmoja wa mtandaoni, Lubelo Issa, alisema: "Kapuya kutamka kujiua siyo jambo dogo, naamini anamaanisha, inabidi familia yake na marafiki zake wawe karibu naye.
"Ikiwezekana hata polisi wawe macho, maana hilo ni kosa la jinai. Kwa mtu mkubwa kama Kapuya kupewa tuhuma nzito kama hizo, ni rahisi kumkatisha tamaa. Ni rahisi kuuona mwisho wake wa kisiasa.
"Hali yake mbele ya familia yake ipoje? Hayo mambo ni mzigo ambao unaweza kumpeleka mbali hadi kufikia hatua ya kujiua."

DENTI NA KIFO
MOSI; SMS ambayo amedai kutumiwa na Kapuya ni hatari ya kwanza na katika hilo, imeshauriwa na wananchi kwamba denti huyo alindwe usiku na mchana.
"Kapuya amechafuka sana na ikiwa ni kweli zile SMS zimetumwa na yeye, basi yule mtoto achungwe na alindwe kikamilifu. Kapuya amejenga heshima yake kwa miaka mingi, hawezi kukubali kuchafuliwa kienyeji.
"Inawezekana Kapuya akawa na moyo wa subira pamoja na huruma lakini wapo wapambe ambao wanaweza kuchukua hatua ya kumuua yule mtoto kwa sababu amemchafua bosi wao."
PILI; Sura ya pili ambayo imeangaliwa kuhusu hatari ya maisha ya denti huyo ni kwamba Kapuya anao maadui wa kisiasa ambao wanaweza kutumia mgogoro huo kujifaidisha.
Laura Kamugisha aliandika kwenye ukurasa wake wa Facebook: "Kuna sayansi moja hapa, adui wa Kapuya anaweza kumuwinda huyo mwanafunzi na kumuua ili kuzidi kumuweka Kapuya matatani.
"Leo ikitokea huyo mwanafunzi ameuawa, kila mmoja fikra zake zitaelekezwa kwa Kapuya. Kwa kweli huyu mtoto yupo hatarini, inawezekana Kapuya akampuuza lakini maadui zake wakamuua ili kumkomoa. Mwanafunzi akiuawa, Kapuya atapelekwa mahabusu na baadaye mahakamani."

SHAHIDI MUHIMU AZUNGUMZA NA RISASI JUMAMOSI
Mrembo (jina tunalo) ambaye ni rafiki wa denti anayedai kubakwa, alisema kuwa ameshangaa kusikia suala hilo limefika kwenye vyombo vya habari kwa sababu huko nyuma yeye alishalisimamia na mambo yakaisha.
"Sijui kuhusu kubakwa, ila … (anataja jina la denti) aliniambia madai yake, nikampeleka kwa mheshimiwa, kusema kweli nilimbana mheshimiwa na fedha zilitoka. Mimi mwenyewe nilipata mgao," alisema mrembo huyo.
Akaongeza: "Ninavyojua walikubaliana, siyo kubakwa. Na mimi nilimsaidia kumbana mheshimiwa ili ampe pesa. Alikuwa anahitaji pesa ya kwenda kulipa ada shuleni, pesa alipewa.
"Nilianza kuwa mbali naye baada ya kuona amekuwa karibu na wanaharakati. Kuanzia hapo hakunishirikisha kitu, japo tunawasiliana. Hata leo nimeongea naye, ameniambia yupo… (anataja eneo moja, nje ya Dar).
"Kingine ni kwamba wakati namsaidia ishu yake na mheshimiwa alikuwa anasoma Mugabe Sekondari, sijui Turiani alihamia lini. Na kuhusu Ukimwi mimi sijui hilo, ila natambua kwamba yule mwanafunzi anatumia dawa.
"Hapa lazima niwe mkweli, siwezi kuthibitisha kama kweli ni Ukimwi na kama ni kweli aliyemwambukiza simjui," alisema.

KAPUYA VIPI?
Juzi, mwandishi wetu alijitahidi kwa kila namna kumpata Kapuya kupitia simu zake tatu za mkononi, mbili za Airtel na moja ya Vodacom lakini hakupatikana.
Mbili hazikuwa zikipatikana lakini moja ilikuwa ikiita bila kupokelewa, ingawa wakati mwingine ilipopigwa ilionesha mwenye simu alikuwa akizungumza, hivyo kuonesha hakutaka kuwasiliana na mwandishi wetu.
Pamoja na kutumiwa SMS inayomuuliza kuhusu tuhuma hizo, bado Kapuya ambaye kwa sasa ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, hakutoa ushirikiano.
Kuhusu mwanafunzi huyo, Risasi Jumamosi linatambua yupo mafichoni na ahadi yetu ni kuendelea kutoa taarifa zaidi kuhusu tukio hilo kupitia magazeti pendwa ya Global Publishers Ltd.
 




Stori: Mwandishi Wetu

Dalili za kifo zipo nje nje, zinajidhihirisha kwa ukaribu zaidi katika maisha ya Mbunge wa Urambo Magharibi (CCM), Profesa Juma Athuman Kapuya, sababu kuu ikiwa zigo la tuhuma za kumbaka na kumwambukiza Ukimwi mwanafunzi.
Siyo Kapuya tu, hata mwanafunzi anayedai kubakwa na waziri huyo wa zamani, naye maisha yake siyo salama, kwa hiyo rai imetolewa kwa wote wawili kupewa ulinzi stahiki.





Shahidi muhimu.

Tuhuma kuu ni Kapuya kuripotiwa na gazeti pamoja na mitandao kadhaa ya intaneti, akidaiwa kumbaka mwanafunzi wa kike mwenye umri wa miaka 16 (jina tunalihifadhi), anayesoma Shule ya Sekondari Turiani, Magomeni, Dar es Salaam.
Mwanafunzi huyo amekuwa akinukuliwa na vyombo vya habari akisema kuwa alibakwa mara mbili na Kapuya kisha kuambukizwa Ukimwi wakati alipokwenda kumuomba msaada wa ada ya shule kwa sababu yeye ni yatima.





Mh. Juma Kapuya.


KAPUYA NA KIFO
Kapuya, aliye kiongozi mwandamizi wa Tanzania, akiongoza wizara mbalimbali kama vile Elimu, Kazi, Vijana na Ajira, Habari, Utamaduni na Michezo, Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa na kadhalika, maisha yake yapo hatarini kwa sababu zifuatazo;
MOSI; Wananchi waliozungumza na Risasi Jumamosi, wamesema kuwa hatari ya kwanza ni SMS ambayo inadaiwa Kapuya aliituma kwa mwanafunzi huyo akimtishia kumuua.

"Kapuya ni kiongozi mwenye heshima kubwa nchini, kukumbwa na tuhuma za kutishia kuua siyo dogo," alisema Phabian Tarimo ambaye alidai ni jirani wa mwanafunzi huyo na kuongeza:
"Inawezekana kujiepusha na aibu hiyo ya tuhuma za ubakaji au kutishia kuua, akaamua kujiua."
PILI; Kingine ambacho kinaashiria hatari kwa maisha ya Kapuya ni SMS ya kutishia kujiua ambayo inadaiwa kiongozi huyo alimtumia denti mlalamikaji.
Vyanzo vyetu vinasema, SMS hiyo kutoka kwa Kapuya inasomeka: "Nimewakosea sana, acha nife mie nakunywa sumu nijiue, na nyie mje mnizike."

Mchangia maoni mmoja wa mtandaoni, Lubelo Issa, alisema: "Kapuya kutamka kujiua siyo jambo dogo, naamini anamaanisha, inabidi familia yake na marafiki zake wawe karibu naye.
"Ikiwezekana hata polisi wawe macho, maana hilo ni kosa la jinai. Kwa mtu mkubwa kama Kapuya kupewa tuhuma nzito kama hizo, ni rahisi kumkatisha tamaa. Ni rahisi kuuona mwisho wake wa kisiasa.
"Hali yake mbele ya familia yake ipoje? Hayo mambo ni mzigo ambao unaweza kumpeleka mbali hadi kufikia hatua ya kujiua."

DENTI NA KIFO
MOSI; SMS ambayo amedai kutumiwa na Kapuya ni hatari ya kwanza na katika hilo, imeshauriwa na wananchi kwamba denti huyo alindwe usiku na mchana.
"Kapuya amechafuka sana na ikiwa ni kweli zile SMS zimetumwa na yeye, basi yule mtoto achungwe na alindwe kikamilifu. Kapuya amejenga heshima yake kwa miaka mingi, hawezi kukubali kuchafuliwa kienyeji.
"Inawezekana Kapuya akawa na moyo wa subira pamoja na huruma lakini wapo wapambe ambao wanaweza kuchukua hatua ya kumuua yule mtoto kwa sababu amemchafua bosi wao."
PILI; Sura ya pili ambayo imeangaliwa kuhusu hatari ya maisha ya denti huyo ni kwamba Kapuya anao maadui wa kisiasa ambao wanaweza kutumia mgogoro huo kujifaidisha.
Laura Kamugisha aliandika kwenye ukurasa wake wa Facebook: "Kuna sayansi moja hapa, adui wa Kapuya anaweza kumuwinda huyo mwanafunzi na kumuua ili kuzidi kumuweka Kapuya matatani.
"Leo ikitokea huyo mwanafunzi ameuawa, kila mmoja fikra zake zitaelekezwa kwa Kapuya. Kwa kweli huyu mtoto yupo hatarini, inawezekana Kapuya akampuuza lakini maadui zake wakamuua ili kumkomoa. Mwanafunzi akiuawa, Kapuya atapelekwa mahabusu na baadaye mahakamani."

SHAHIDI MUHIMU AZUNGUMZA NA RISASI JUMAMOSI
Mrembo (jina tunalo) ambaye ni rafiki wa denti anayedai kubakwa, alisema kuwa ameshangaa kusikia suala hilo limefika kwenye vyombo vya habari kwa sababu huko nyuma yeye alishalisimamia na mambo yakaisha.
"Sijui kuhusu kubakwa, ila … (anataja jina la denti) aliniambia madai yake, nikampeleka kwa mheshimiwa, kusema kweli nilimbana mheshimiwa na fedha zilitoka. Mimi mwenyewe nilipata mgao," alisema mrembo huyo.
Akaongeza: "Ninavyojua walikubaliana, siyo kubakwa. Na mimi nilimsaidia kumbana mheshimiwa ili ampe pesa. Alikuwa anahitaji pesa ya kwenda kulipa ada shuleni, pesa alipewa.
"Nilianza kuwa mbali naye baada ya kuona amekuwa karibu na wanaharakati. Kuanzia hapo hakunishirikisha kitu, japo tunawasiliana. Hata leo nimeongea naye, ameniambia yupo… (anataja eneo moja, nje ya Dar).
"Kingine ni kwamba wakati namsaidia ishu yake na mheshimiwa alikuwa anasoma Mugabe Sekondari, sijui Turiani alihamia lini. Na kuhusu Ukimwi mimi sijui hilo, ila natambua kwamba yule mwanafunzi anatumia dawa.
"Hapa lazima niwe mkweli, siwezi kuthibitisha kama kweli ni Ukimwi na kama ni kweli aliyemwambukiza simjui," alisema.

KAPUYA VIPI?
Juzi, mwandishi wetu alijitahidi kwa kila namna kumpata Kapuya kupitia simu zake tatu za mkononi, mbili za Airtel na moja ya Vodacom lakini hakupatikana.
Mbili hazikuwa zikipatikana lakini moja ilikuwa ikiita bila kupokelewa, ingawa wakati mwingine ilipopigwa ilionesha mwenye simu alikuwa akizungumza, hivyo kuonesha hakutaka kuwasiliana na mwandishi wetu.
Pamoja na kutumiwa SMS inayomuuliza kuhusu tuhuma hizo, bado Kapuya ambaye kwa sasa ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, hakutoa ushirikiano.
Kuhusu mwanafunzi huyo, Risasi Jumamosi linatambua yupo mafichoni na ahadi yetu ni kuendelea kutoa taarifa zaidi kuhusu tukio hilo kupitia magazeti pendwa ya Global Publishers Ltd.
 
Kuna watu wazushi lkn huyu bint kiboko!! Ni huyu aliyesema Kapuya alimbaka na kumuambukiza ukimwi!! Ni muongo kabisa duh!! Ni kweli walikuwa wapenzi lkn maelezo meng aliyotoa ni usanii mtupu! Kumbe aliwahi kumtapel hata mama Salma Kikwete na akatupwa Segerea! Tena aliwahi kumtapel Kimei wa CRDB! Hahaha njaa hzi hatar! Aliwahi kumtapel hata bosi wa Global publisher! Si mwanafunzi ni mdada mwenye miaka 21 na ana mtt!! Ana majina zaid ya matano!! Hii hatar kabisa!! Mechoka mie...

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Ngoja nikushangae kwanza!!!!!!!!
 
Hata kama ana miaka 21,ndiyo anaruhusiwa kubakwa na kuuwawa!?naona prof,kashatoa ajira!

tatizo la watanzani hawapeni ukweli..hata kama ni mjomba wake ndio hivyo kabaka na kumwambukiza mtoto wa watu Ukimwi...tuna subiri tuone serekali yetu ita fanyaje.
 
Kuna watu wazushi lkn huyu bint kiboko!! Ni huyu aliyesema Kapuya alimbaka na kumuambukiza ukimwi!! Ni muongo kabisa duh!! Ni kweli walikuwa wapenzi lkn maelezo meng aliyotoa ni usanii mtupu! Kumbe aliwahi kumtapel hata mama Salma Kikwete na akatupwa Segerea! Tena aliwahi kumtapel Kimei wa CRDB! Hahaha njaa hzi hatar! Aliwahi kumtapel hata bosi wa Global publisher! Si mwanafunzi ni mdada mwenye miaka 21 na ana mtt!! Ana majina zaid ya matano!! Hii hatar kabisa!! Mechoka mie...

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Shem on you idiot
 
Huyu alieleta huu uzi ni Kapuya mwenyewe sio mwingine. Nasikia vijana wa Mwema wanamtafuta.
 
Back
Top Bottom