hivi wewe unajua màana ya neno takatifu au unalopoka tu.. Mahala patakatifu angeingia huyu mzinzi,mshirikina,mwizi,mnafiki...ikulu si mahala patakatifu tena bali ni mahala wanapokutana wahuni kupanga dili za kutekeleza mauwaji,kung'oa watu meno na kucha,kupiga picha na wabwia uga...
We jidanganye hivyo hivyo,
wewe unaeifaham CDM JF na kupata taarifa zake JF lazma useme hivyo.
Sikulaumu hapo ndio mwisho wa upeo wako ila CDM inawenyewe!
Video zaidi zakabidhiwa polisi, Mwigulu Nchemba afunguka, asema kulikuwa na vijana sita waliandaliwa kumteka, mmoja akampelekea taarifa ...Amzungumzia Ludovick!
Tukio la kukamatwa na kufikishwa mahakamani mkurugenzi wa ulinzi wa CHADEMA Wilfred Lwakatare limezidi kuibua mambo mengine mapya yaliyofichika...
Habari za uhakika toka vyombo vya ulinzi na usalama zinaeleza kuwa mbali na video inayomuonyesha Lwakatare akipanga mipango ya kigaidi ya kudhuru watu mbalimbali wakiwemo waandishi wa habari, video nyingine zimekabidhiwa huku zikionyesha makada wa chama hicho wakiwa katika vikao vya siri.
Video hizo zinawaonyesha watu wengine ambao hawajafahamika wakiwa katika mikakati hiyo ambao wamerekodiwa bila wao kujijua...
Source: Mtanzania - Jumapili.
Video zaidi zakabidhiwa polisi, Mwigulu Nchemba afunguka, asema kulikuwa na vijana sita waliandaliwa kumteka, mmoja akampelekea taarifa ...Amzungumzia Ludovick!
Tukio la kukamatwa na kufikishwa mahakamani mkurugenzi wa ulinzi wa CHADEMA Wilfred Lwakatare limezidi kuibua mambo mengine mapya yaliyofichika...
Habari za uhakika toka vyombo vya ulinzi na usalama zinaeleza kuwa mbali na video inayomuonyesha Lwakatare akipanga mipango ya kigaidi ya kudhuru watu mbalimbali wakiwemo waandishi wa habari, video nyingine zimekabidhiwa huku zikionyesha makada wa chama hicho wakiwa katika vikao vya siri.
Video hizo zinawaonyesha watu wengine ambao hawajafahamika wakiwa katika mikakati hiyo ambao wamerekodiwa bila wao kujijua...
Source: Mtanzania - Jumapili.
Hiki chama cha CDM hadi kife mwaka huu yaani kumbe wana mipango michafu namna hii yaani ningeyajua haya mwaka 2010,Sasa watanzania tumeelewa sasa tutaendelea kusikiliza na kutekeleza kauli ya baba wa taifa isemayo `KIONGOZI ANAWEZA KUPATIKANA KUTOKA CHAMA CHOCHOTE LAKINI KIONGIOZI BORA NI LAZIMA ATOKE CHAMA CHA MAPINDUZI`
Video zaidi zakabidhiwa polisi, Mwigulu Nchemba afunguka, asema kulikuwa na vijana sita waliandaliwa kumteka, mmoja akampelekea taarifa ...Amzungumzia Ludovick!
Tukio la kukamatwa na kufikishwa mahakamani mkurugenzi wa ulinzi wa CHADEMA Wilfred Lwakatare limezidi kuibua mambo mengine mapya yaliyofichika...
Habari za uhakika toka vyombo vya ulinzi na usalama zinaeleza kuwa mbali na video inayomuonyesha Lwakatare akipanga mipango ya kigaidi ya kudhuru watu mbalimbali wakiwemo waandishi wa habari, video nyingine zimekabidhiwa huku zikionyesha makada wa chama hicho wakiwa katika vikao vya siri.
Video hizo zinawaonyesha watu wengine ambao hawajafahamika wakiwa katika mikakati hiyo ambao wamerekodiwa bila wao kujijua...
Source: Mtanzania - Jumapili.
Mpenda sifa masalia kutimuliwa na zitto kujulikana anafadhili mtandao wa masalia ndio unaita mgogoro,mgogoro uko CCM bwanamkuu kumbuka ndani ya chadema hivi sasa kina mgogoro wa ndani kwa hiyo siri zake kuvuja ni jambo linalotegemewa sana. Pili fahamu hili ni suala la ujasusi kujua mbinu ovu za adui yako dhidi yako ni muhimu sana...mwigulu anafanya sahihi kuumbua mipango dhalimu ya adui yake
''MNAWEZA WADANGANYA WATU FULANI WAKATI FULANI LAKINI HAMUWEZI WADANGANYA WATU WOTE WAKATI WOTE''cdm ilianza na mungu na itamaliza na mungu.[/QUO HUJUI KITU,CHADEMA ILIANZA NA WANA MOSHI,ITAMALIZA PALE ITAKAPOTIMIZA LENGO LAKE KUANZISHA JAMHURI YA WATU WA KASKAZINI
sasa si muweke hiyo mikanda tuone.Kwa mujibu wa CD alizorekodiwa Mwigulu, Nape na Riz one katika majukwaa ya kisiasa na mikutano ya ndani (ambazo muda wowote tutaziposti humu mtandaoni), CUF ni chama cha waislamu na wapemba na CDM ni chama cha wakristo...
Sasa SWALI JE? CCM ni chama cha dini gani? -- Wapagani?
Hivyo wana CCM waliojaa humu mtandaoni jiulize wanatoka DINI gani utapata jibu!!!.. Kazi yao ni kuhakikisha wanatoa sapoti kwa lolote lile kuitetea CCM kwakuwa "mtu wao yuko juu!"
Shetani anajua kujigeuza malaika unaweza kumwabudu. Watanzania wamedanganywa kwa muda na watu waliojivika ukombozi lakini chini ya kapeti wakipanga namna ya kuwaua baadhi yao. Mungu ameamua kuweka wazi ndio maana hili limekuja kila mtanzania atawajua wakombozi wa tindikali, nondo, sumu, dawa za usingizi na risasi
hiyo kauli ya ccm mmeshikwa pabaya,sijui hamchomoki ni kauli ya kujipa moyo tu wala haihusiani na hali halisi..ulijuaje kama ni makamanda wa cdm kama watu watu hawajafahamika? ccm mmeshikwa pabaya mwaka huu mnahaha jinsi ya kutoka eee!
Hahahahahahahahah
@mwingulu alaitakwa kutekwa na nani?
yaani maneno unayoongea inaonekana kabisa umeyakariri,maneno ya sisi tuna mungu wao wana shetani..Tangu lini mungu akawa mwanasiasa?.Mwigulu wewe mtafute Mungu wa kweli na sio yule mnayemfuata baharini, tunafanya maombi usiku na mchana na tayari tumeshajua misingi ya taifa hili iliwekwa na yule joka wa kuzimu. Na ndio maana taifa linakwenda kama liko msukuleni.
Sasa mkiweza tusimamisheni kusiombee ukombozi wa taifa letu ila tutakesha usiku na mchana mpaka viongozi wote wanaopata uongozi toka kwa lusifa wafutike wote na taifa lirudi kwa Yesu, na ndipo tutakapoona utawala wa JUSTICE ukitamalaki. Kaka Mungu anaitaka nchi yake with or without CHADEMA, anakuja kwa kishindo ambacho none will be able to stop it, because this is God's time, nyie fanyeni maombi yenu kwa huyo mungu wenu tuone nani atashinda.
Vipi ile video ya mwangosi ambayo mauwaji yalionekana kabisa hayo hayakuwachafua maccm?Hii video ya utekaji imeichafua Chadema sana chama kimepata pigo sana.
Kama hawajafahamika
utasemaje sasa ni makada wa chadema ilihali unasema 'video zinaonyesha
watu wengine ambao hawajafahamika' au wewe umewafahamu?
watanzania hatutaki ugaidi... tuwapinge na kuwalaani wote wanaofanya matendo ya kigaidi awe mwanasiasa awe awaye, maisha yetu ni muhimu kuliko kitu kingine chochote
wewe vuta subira ifike hiyo tarehe ya kesi ndo utajua kama ni polisi wa jf au vipi.jf imekuwa kituo cha polisi.......... hata hao polisi wanaozungumziwa kuwa wamepelekewa taarifa ni polisi wa jf