chadema ni kama zimwi linalo afuta wa kumla kila siku wao ndio wauaji
BOSI wa LEKA dutigite na mmoja wa waasisi wa CHAUMA si kitu kidogo!!!!
chadema ni kama zimwi linalo afuta wa kumla kila siku wao ndio wauaji
tatizo la watu wavivu kushughulisha bongo zao ndio hili...kama hujaelewa kwann usiende hata wavuti au website ya gazeti husika upate taarifa kamili. Unaishia kumshambulia mtu anayekupa habari mkuu?
tukio la kukamatwa na kufikishwa mahakamani kwa lwakatare limeibua mapya ndani ya chama hicho yaliyojificha mbali na video ya lwakatare inayomuonesha akipanga mipango ya kuteka na kuzuru watu pia imebainika kuwa kuna video zingine ambazo zimewasilishwa kwenye vyombo vya uchunguzi zikionesha viongozi wa chadema wakipanga mipango zaidi ya mauaji kwa baazi ya watu muhim wakiwemo wanahabari na watu wengineo wanajf hawa wanasiasa wanatupeleka wapi?
Hivi vituko vya video nchini vitaleta hatari nchini naomba viona mbali wavikatae mchezo huu utaenda hadi mikanda ya uhaini itaonyeshwa tunaomba sie tusio na vyama mtu achie nchi yetu bado ni salama mauaji ya yesu kuteswa msalabani yalisababishwa na,wazushi walio kuwa wakienda kwa pilato na kusema tulimusikia huyu akisema hiivi na hivi walijitahidi kumutungia maneno hadi akasulubiwa hao tunao wasikia akina mwi--glu wataleta machafuko nchini narudia tuachiane Tz salama hukukutafutana kwenye mavideo kutazusha uhaini atakamwa kiongozi mkubwa wa chama nchi itawaka moto kule mbeya mwanza Arusha nk naogopa hekima zimeenda wapi juzi tu mwalimu katutoka tuwaachie wanausalama na police wafanyekazi siyo nye wenye vyama munafanya kazi zao Mzahamzaha utatumbua usaha waacheniii watanzania wamezowea Amani mara machafuko ya dini loo tunaenda wapi wanyonge hatuna,pakwenda
we jidanganye hivyo hivyo,
wewe unaeifaham cdm jf na kupata taarifa zake jf lazma useme hivyo.
Sikulaumu hapo ndio mwisho wa upeo wako ila cdm inawenyewe!
wewe ni mjinga sana, pigana na ukuta kama una hamu ya kupigwa...watanzania wapo makini sana na ugaidi wenu
cdm ilianza na mungu kuteka watu na itamaliza na mungu huyo huyo kuwatesa??????????? acha kumtania mungu ndugu yangu.
chadema ni kama zimwi linalo afuta wa kumla kila siku wao ndio wauaji
kwahiyo unatangaza uasi? je mnajiandaa na nani na wapi? nani anawafadhili? kama haya maswali ni magumu kuyajibu nakuomba mara moja ufute kauli yako! vinginevyo haya maneno yako yana madhara, unaweza ukawa unatania akajitokeza mtu wa kuyatekeleza uliyoyasema unafikiri watanzania hawatakuhusisha na hilo?
tatizo la watu wavivu kushughulisha bongo zao ndio hili...kama hujaelewa kwann usiende hata wavuti au website ya gazeti husika upate taarifa kamili. Unaishia kumshambulia mtu anayekupa habari mkuu?
Slaa amekalia kurudia maneno yale yale kama kasuku, TISS TISS, sasa ngoja waje kugonga mlango wake. Ndio atawatambua ni nani, wao hawatazami uzee wa mtu,ni kichapo kwa kwenda mbele.
cdm ilianza na mungu na itamaliza na mungu.[/QUO
HUJUI KITU,CHADEMA ILIANZA NA WANA MOSHI,ITAMALIZA PALE ITAKAPOTIMIZA LENGO LAKE KUANZISHA JAMHURI YA WATU WA KASKAZINI
sio cha wakristo?
Ugaidi!?!? Mmeshindwa kuthibitisha na kushawishi Watz kwa chama cha familia, ukabila, ukanda, udini, ukatoliki, sasa mauaji na ugaidi, nani atasikiliza...watawala hawa, chini ya CCM, wanao wajibu wa kujibu tuhumamauaji mengi na ugaidi mnaofanyia Watanzania wanaopingana nao kifikra na mawazo mbadala, badala ya kuhamisha mjadala.
baada ya ccm kushindwa kujenga nchi..hiki ndicho inachoweza.
Masali naona mmevamia JF kwa kazi maalumu; twende sawa;tukio la kukamatwa na kufikishwa mahakamani kwa lwakatare limeibua mapya ndani ya chama hicho yaliyojificha mbali na video ya lwakatare inayomuonesha akipanga mipango ya kuteka na kuzuru watu pia imebainika kuwa kuna video zingine ambazo zimewasilishwa kwenye vyombo vya uchunguzi zikionesha viongozi wa chadema wakipanga mipango zaidi ya mauaji kwa baazi ya watu muhim wakiwemo wanahabari na watu wengineo wanajf hawa wanasiasa wanatupeleka wapi?
Masali naona mmevamia JF kwa kazi maalumu; twende sawa;
Join Date : 30th March 2013
Posts : 16
Rep Power : 304
Likes Received1
Likes Given0