Mapya CHADEMA, video zaidi zanaswa

Mapya CHADEMA, video zaidi zanaswa

Mwigulu alipata habari za watu wanamipango ya kumteka, kwanini asingetoa taarifa Police? Huyu Mwigulu ndiye aliyepigiwa simu za vitisho na wabunge wa CDM na alizibaini namba zao, mbona hao wabunge hawajashitakiwa? Mwigulu ni suspect # 1, kama Police watafanya kazi zao kitaalaam

Madaraka yoote ya usalama amekabidhiwa yeye!!!.. "Vikao vya vyama vyote anahudhuria!!!"... Yeye ni mganga wa CHAMA na maongezi ya watanzania woote yeye anayasikia!!!...

CHEZEA MWIGULU!!!... Hata hojiwa maana yuko juu ya sheria!!!
 
Nchi hii sio ya mama yako wala TISS ni nchi ya watanzania wote na hakuna aliyejuu ya sheria hao TISS wameharibu mfumo wa kiupelelezi na ulinzi wa nchi kwa sababu wanadhani alhaj KIkwete amewapa go ahead ya kuua na kutidhia wananchi haya tunayaangalia kama watanzania na mwish wake tutauona wakiendela kuvuruga amani TISS wasijisahau libya,ItaqMisri,Tunisia,Ivory coast,Zaire ya Mobutu kote huko kulikuwa na TISS zao ,lakini mwisho wa siku walishindwa kutamba mpeni tahadhali Kikwete anaona mahara pafupi baada ya kutoka madarakani watu watamtema mate kwa ubabe wake

yote hayo ni tisa, kumi ni hili la kupanga kuteka raia....chadema mnapaswa kulieleza taifa kwann mnajiingiza kwenye uharamia? Kwann mnafanya mambo ya kinyama halafu mnasingizia wasiohusika? Kumbukeni ikulu ni mahala patakatifu haiwezi kukaliwa na wauwaji
 
Hizi video hazina mashiko,labda tuletewe video mpya inayoonyesha Lowassa akiwa na mawakala wa richmond.

au ya namna wanyama walivyokuwa wanajazwa kwenye lidege la jeshi kabla hawaja safirishwa na kupelekwa dubai na kwingineko au watuletee kikwete akihongwa suti na waarabu na kulipiwa chumba cha kulala wageni na ionyeshe huko ndani palikuwa je..wasisahau ya mabilioniyetuhuko uswiss na ya meremeta na kama hawata jari sana watuletee namna riz1 alivyokamatwa na madawa..
 
Ccm nambari 1, nilikuwa najiuliza wao no 1 kwenye nini kumbe ni kuwahi kusajili chama chao na upuu
zi, tu
 
Slaa amekalia kurudia maneno yale yale kama kasuku, TISS TISS, sasa ngoja waje kugonga mlango wake. Ndio atawatambua ni nani, wao hawatazami uzee wa mtu,ni kichapo kwa kwenda mbele.

Mkuu; UHASAMA wa taifa (TISS) siyo wajinga kiasi hicho, kwani wanajua wakienda kumhoji Dr.Slaa atawaumbua kwani kila anacho kiongea ana evidence; Hivyo basi wewe na TISS mtaishia kuzunguka mbuyu; mtaani kwetu wanasema huo ni "mkwara wa mbu nje ya neti"
 
yote hayo ni tisa, kumi ni hili la kupanga kuteka raia....chadema mnapaswa kulieleza taifa kwann mnajiingiza kwenye uharamia? Kwann mnafanya mambo ya kinyama halafu mnasingizia wasiohusika? Kumbukeni ikulu ni mahala patakatifu haiwezi kukaliwa na wauwaji
Unajua kwanini safari hii haijawekwa youtube?
 
Chama cha magaidi wabaya sana kwenye hili taifa

Ugaidi!?!? Mmeshindwa kuthibitisha na kushawishi Watz kwa chama cha familia, ukabila, ukanda, udini, ukatoliki, sasa mauaji na ugaidi, nani atasikiliza...watawala hawa, chini ya CCM, wanao wajibu wa kujibu tuhumamauaji mengi na ugaidi mnaofanyia Watanzania wanaopingana nao kifikra na mawazo mbadala, badala ya kuhamisha mjadala.

Subir Utaziona,utawaona Magaid Wa Chadema Wote

sio cha wakristo?

Hivi kifupi cha chama cha magaidi ni kipi?!!!!
 
Movieees!

Tutaona mwisho wake. Hizi movie episodes zina mwelekeo wa sterling kushindwa
 
chadema ni kama zimwi linalo afuta wa kumla kila siku wao ndio wauaji

Hatushangai, kinachokusumbua ni utumwa wa kifikra na upofu ulionao hata huwezi kuona taifa linahitaji nini kwa sasa. Chadema Yes!
 
yote hayo ni tisa, kumi ni hili la kupanga kuteka raia....chadema mnapaswa kulieleza taifa kwann mnajiingiza kwenye uharamia? Kwann mnafanya mambo ya kinyama halafu mnasingizia wasiohusika? Kumbukeni ikulu ni mahala patakatifu haiwezi kukaliwa na wauwaji

Nadhani wana JF wengi wamekuambia propaganda za kichina zimebuma,hakuna aliyenunua baada ya kugundua muna ngoma nzito na magwiji wa sheria wa chadema munataka kununua mawazo ya wananchi kwamba kuna video nyingi za upangaji wa mauaji na utekaji wakati walio uliwa na kutekwa waliotangulia hakuna hata mtuhumiwa mmoja ambaye amefikishwa kwenye vyombo vya sheria akaonyeshwa hadharani lakini Lwakatare mumemwonyesha hadharani wananchi tunasema Jakaya anajidharilisha amechafuka kwenye uso wa kimataifa na hapa nchini pia
Amevua heshima ya ikulu amepafanya kama sebule ya wahuni wanaopanga kuingiza nchi vitani
Ukiona raisi ameshindwa kukomand discpline ya wananchi ujue yupo Kwenye mstari wa kukabidhi nchi atake asitake ,aamini asiamini manake wananchi wameamua kuwa rebelious ni kipimo cha kwamba hakuna propaganda,wala TISS wala polisi atakayesimamisha mabadiriko mfano sasa hivi
askari anaua wananchi
wananchi wanaua askari
mafia wa ikulu wanateka wananchi na wanaharakati
wananchi hawaridhiki na mwendo mzima wa usimamizi wa sheria
Raisi anakuwa mwongo
waziri mkuu mwongo makamu wa raisi mwongo
wakuu wa mkoa waongo
wakuu wa wilaya waongo
viongozi wa vitengo waongo sasa huo ndio ugaidi kwa lugha rahisi CCM ndio magaidi
 
Katika hizo movie za kichina mi ninayemwona mtu wa ajabu sana ni Ludovick. Anauzika kwa elfu hamsini jamani?
 
Hiki chama cha CDM hadi kife mwaka huu yaani kumbe wana mipango michafu namna hii yaani ningeyajua haya mwaka 2010,Sasa watanzania tumeelewa sasa tutaendelea kusikiliza na kutekeleza kauli ya baba wa taifa isemayo `KIONGOZI ANAWEZA KUPATIKANA KUTOKA CHAMA CHOCHOTE LAKINI KIONGIOZI BORA NI LAZIMA ATOKE CHAMA CHA MAPINDUZI`
 
Hiki chama cha CDM hadi kife mwaka huu yaani kumbe wana mipango michafu namna hii yaani ningeyajua haya mwaka 2010,Sasa watanzania tumeelewa sasa tutaendelea kusikiliza na kutekeleza kauli ya baba wa taifa isemayo `KIONGOZI ANAWEZA KUPATIKANA KUTOKA CHAMA CHOCHOTE LAKINI KIONGIOZI BORA NI LAZIMA ATOKE CHAMA CHA MAPINDUZI`

Kinachokusumbua ni upofu wa fikra! Subirini 2015. Nyie wote tutawabuluza mahakamani kwa dhambi mnazotenda ss
 
Hiki chama cha CDM hadi kife mwaka huu yaani kumbe wana mipango michafu namna hii yaani ningeyajua haya mwaka 2010,Sasa watanzania tumeelewa sasa tutaendelea kusikiliza na kutekeleza kauli ya baba wa taifa isemayo `KIONGOZI ANAWEZA KUPATIKANA KUTOKA CHAMA CHOCHOTE LAKINI KIONGIOZI BORA NI LAZIMA ATOKE CHAMA CHA MAPINDUZI`
Kaka umalaya wa kisiasa sawa na umalaya mwingine wowote chama cha mapinduzi ni chama mfu hakina mipango mkakati miaka hamsini sera za maendeleo elfu moja nchi itaendeleaje,waliobaki CCM wote majambazi wa uchumi wa nchi hii nchi hii hkuna wakuwapa tena
 
chadema ni kama zimwi linalo afuta wa kumla kila siku wao ndio wauaji

Kanusha hili we boya

Ukiwa na Intelijensia Makini ni Raha Sana!!

Katika Bar inayokwenda kwa jina la Kruzin iliyoko Mikocheni (muda unahifadhiwa)... Kamera yangu ya kiintelijensia imesana tukio la Kikao cha Mwigulu Nchemba na Habib Mchange wakishawishiana vitu fulani vifanyike CCM (vinahifadhiwa pia)...

Mtakumbuka Habib huyu ni yule aliyetimuliwa Chadema na maPM 7 wenzake kwa kukubali kutumiwa na kina Mwigulu kwa vipesa vya hongo kuihujumu Chadema....wakashitukiwa kabla ya dili kukamilika!!

Sie tunawachabo tu kimakengeza na mipango isiyofaulu...!!
 
Poleni sana chadema,,tatizo lenu nyie baadhi yenu mnajifanya wajanja sana tena wenye akili kushinda hata wenye dola na chama dola la nchi hii,,lazima mfanye siasa zenu polepolena kwa umakini mkubwa sana..vingineiavyo hamtafika 2015,,naona mmetekenywa kidogo tu na watoto wa mjini sasa hivi mnaanza kunywea na kuwa wapole..Nina uhakika kabla ya kufika mwaka 2015 tutashuhudia mambo mengi na makubwa ambayo kila mwanacdm atbaki mdomo wazi kwa kutoamini kile kitakachotokea..Tusubiri,,time will tell

we mburura unadhani kura yangu wataizuiya
 
Huu ni mpango mkakkati wa ccm kuakikisha dr slaa,mbowe,na wengine wanatafutiwa kesi tena ya ugaidi ili wawa tiendani na wao waendelee kupumua,nilisha jua tangu mwanzo wa muvi ya rwekatare ndugu zangu kumbukeni 1995 nccr ilivyo andamwa kwamba ni chama cha wachaga na picha mbali mbali za vita zilionyeshwa kwamba upinzani utaleta vita kama wa tanzania,wakichagua nccr,tukaja 2000 muvi ya cuf ni chama cha kidini,na kigaidi na mambo mengi yalifanya na igp wa kipindi kile mahita,akatokea kwenye vyombo vya habari na lundo la visu,na kusema kontena la visu limeingizwa nchini na cuf,kwa hiyo haya hayakuanza leo lakini mwisho wake umefika,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom