tatizo la watu wavivu kushughulisha bongo zao ndio hili...kama hujaelewa kwann usiende hata wavuti au website ya gazeti husika upate taarifa kamili. Unaishia kumshambulia mtu anayekupa habari mkuu?
Mwenyekiti wako Jakaya au Katibu wako Mkuu KInana watakapopata ufahamu kidogo nadhani watakapokuwa hawako kwenye magamu ya kuuza nchi hii kwa wachina utatembea na viatu vilivyochanika manake umechafua chama chako kwa kiasi kilichopitiliza,una roho mbaya sana kisiasa hufai hata kidogo mbaya zaidi hata ulikozaliwa umefanya wana CCM wenzio pia wawe na mchcheto wakifikiria namna unavyoendesha siasa
MACCM mengi tu kwenye vijiwe mbalimbali wanakulaani kuliko unavyofahamu
MACCM wanaamini labda unapeleka matunguri kwa wakubwa kwa sababu unachafua siha ya chama ambacho wengi wamekitumikia kwa muda mrefu na uaminifu
MACCM wenzio wanajiuliza insingetokea chini ya mbingu mwneyekiti, Nyerere,Mwinyi,Mkapa kuwa na naibu katibu mkuu kama wewe ambaye jamii ya kitanzania imekukataa katakata
wewe umeyapanga haya na Nape na Ridhiwani ukisaidiana na Zitto rejea pale Star TV mulipokuwa munatangaza kanda yenu na mulivyokuwa munashabihiana katika mazungumzo
MACCM yanajiuliza ulisoma wapi unashindwa kupanga mpango wowote ule wanaamini umepoteza damu za watu wengi wewe ,
Kuna MACCM yapo njiani kumwadabisha mwenyekiti wako na katibu wako mkuu kwa njisi wameruhusu siha ya chama kuchafuliwa kabla kuisha mwaka huu mwigulu utalisoma jiji MACCM menzio yatakubutua kwenye hiyo nafasi
yote hayo ni tisa, kumi ni hili la kupanga kuteka raia....chadema mnapaswa kulieleza taifa kwann mnajiingiza kwenye uharamia? Kwann mnafanya mambo ya kinyama halafu mnasingizia wasiohusika? Kumbukeni ikulu ni mahala patakatifu haiwezi kukaliwa na wauwaji
Hiki chama cha CDM hadi kife mwaka huu yaani kumbe wana mipango michafu namna hii yaani ningeyajua haya mwaka 2010,Sasa watanzania tumeelewa sasa tutaendelea kusikiliza na kutekeleza kauli ya baba wa taifa isemayo `KIONGOZI ANAWEZA KUPATIKANA KUTOKA CHAMA CHOCHOTE LAKINI KIONGIOZI BORA NI LAZIMA ATOKE CHAMA CHA MAPINDUZI`
Umma gani? Wengine tupo curious kujua ukweli na undani wa haya mambo. Speak for you!
Shetani anajua kujigeuza malaika unaweza kumwabudu. Watanzania wamedanganywa kwa muda na watu waliojivika ukombozi lakini chini ya kapeti wakipanga namna ya kuwaua baadhi yao. Mungu ameamua kuweka wazi ndio maana hili limekuja kila mtanzania atawajua wakombozi wa tindikali, nondo, sumu, dawa za usingizi na risasi
Chadema mtajuta suala la Rwakatare lazima liwaumbue.
tatizo la watu wavivu kushughulisha bongo zao ndio hili...kama hujaelewa kwann usiende hata wavuti au website ya gazeti husika upate taarifa kamili. Unaishia kumshambulia mtu anayekupa habari mkuu?
Habari ndiyo hii:
Ikulu ni mahali patakatifu - Vema!!!.. Je, Ni nani aliyeiba TWIGA na WANYAMA wengine na kuwauza UARABUNI?!!! Aliyemuua Mwangosi alitimiza maagizo ya nani?!!!...
Ulimboka aliteswa kwa maagizo ya nani?!!!...
Mwakyembe aliwekewa sumu na nani?!!!...
Kibanda aliteswa na nanii?
Biashara ya kuua na kuuza pembe za ndovu uchina na nchi nyingine za mashariki ya mbali ni za nani?!!!!
SHEHE ILUNGA ANALINDWA NA NANI ASIKAMATWE?!!!!!!!
Mwigulu wewe na Nape na Riz One mmenukuliwa sehemu mbali mbali kusema CUF ya WAISLAMU na CHADEMA ya wakristo, Je, CCM ni ya nani?!!! CCM ina watu wa DINI gani?!!!
Kwa Uchunguzi wangu propaganda Zenu nyie zimelipasua taifa na kupandikiza UDINI na UKABILA!!!... Ushahidi mdogo tu!!! Hawa watu niliowakoti pamoja nawe jiulize ni dini gani, na tena wapo sisiemu kwa mapenzi ya kweli au akimaliza muda mtu wao na wao watasepa?!!!
Nguvukazi, nafikiri hunifahamu nami sikufahamu hivyo si busara kunitusi kwa kuniita mjinga, labda nikuulize unaijua kazi ninayo ifanya? je ni kweli nashinda mtandaoni kama inavyoshinda comment yako humu mtandaoni? acha matusi behave basi hata kidogo! me nakushauri ufute kauli yako maana watu kama ninyi ndio mnaoipaka matope CDM kwa kauli zenu za hasira za kupindukia bila kutumia weledi badilika ndugu yangu tusitukanane.Kusoma hujui hata picha uioni?Endeleeni kupiga porojo baada ya uchaguzi wa 2015 ni vita tu,wachumia matumbo mujiandae kukimbia nchi.
CCM naCDM endeleeni kutuandalia mazingira mazuri ya vita.Wewe lofa kusikia vita tu unaanza kujiharishia acha kuchukua posha na kushinda hapa mtandaoni,tafuta kazi nyingine ufanye mjinga wewe.
Kwa hiyo kwa sasa CCM chama cha Waislamu na CDM chama cha Wakristo,na 2015 CCM akigombea Mkristo Waislamu watahamia CUF tena na Wakristo Wahamia CCM tena.
Acha wajinga mubomoe hii nchi iliyojichokea ili tuje kuijenga nchi iliyo IMARA baada ya vita vya muda mrefu,mmegeuza siasa kuwa ndio biashara yenu wajinga wakubwa nyie.Lazima tuivunje hii biashara ya siasa na siasa iwe kwa ajili ya kuwatumikia wananchi sio kuchumia matumbo yenu na familia zenu,CCM na CDM wote wachumia matumbo tu.
Chama cha magaidi wabaya sana kwenye hili taifa
Very stupid!! ... yaani unaweza kutapika.TAMBUA HAYA:
- Tazama CD ya ustaadhi ilunga ujue alisema uweke nini mahali penye neno gaidi...
- Hawa woote si watetezi wa CCM wala si wana CCM - ni MITUME WA DINI!!!!
- Vita yao mtandaoni si kwa ajili ya maslahi ya TAIFA bali ni maslahi ya DINI;
- Hakuna mtu atakaye kuwa mtetezi wa CCM baada ya 2o15 - hasa LOWASA, MAGUFULI, SITTA au MWAKYEMBE akiwa mgombea URAIS!! HILI likitokea hoja ya CCM = Catholic Church Movement yatafufuliwa!!!!!
- Ukiikosoa serikali wao wanajua unakosoa kwa sababu mtu wao aliyekuwa maarufu kama "CHAGUO LA MUNGU" sasa haaminiki kutokana na maasi dhidi ya watu wasiona hatia kuongezeka tena yamebaki kuwa yasiyo na ufumbuzi!!!
- Ukihoji mateso ya kibanda, ulimboka na mauaji ya mwangosi na wengine huruka kimanga na kuleta UDINI!!!
- Ukihoji uadilifu wa serikali katika kushughulikia suala la ILUNGA ukilinganisha na lwakatare hupigania udini kwa kulinda "mtu wao"..
The Dude has so many sins' in fact he is animal it's better to be boko haramu than to be mwigulu he is silence killermchemba is digging his own "hole"he is entangled into almost every situation relating to kidnapping, killings and torture za kisiasa
Video zaidi zakabidhiwa polisi, Mwigulu Nchemba afunguka, asema kulikuwa na vijana sita waliandaliwa kumteka, mmoja akampelekea taarifa ...Amzungumzia Ludovick!
Tukio la kukamatwa na kufikishwa mahakamani mkurugenzi wa ulinzi wa CHADEMA Wilfred Lwakatare limezidi kuibua mambo mengine mapya yaliyofichika...
Habari za uhakika toka vyombo vya ulinzi na usalama zinaeleza kuwa mbali na video inayomuonyesha Lwakatare akipanga mipango ya kigaidi ya kudhuru watu mbalimbali wakiwemo waandishi wa habari, video nyingine zimekabidhiwa huku zikionyesha makada wa chama hicho wakiwa katika vikao vya siri.
Video hizo zinawaonyesha watu wengine ambao hawajafahamika wakiwa katika mikakati hiyo ambao wamerekodiwa bila wao kujijua...
Source: Mtanzania - Jumapili.
Time will tell
Chadema ni time bomb itakayolipuka wakati wowote kuanzia sasa
Kwa mujibu wa CD alizorekodiwa Mwigulu, Nape na Riz one katika majukwaa ya kisiasa na mikutano ya ndani (ambazo muda wowote tutaziposti humu mtandaoni), CUF ni chama cha waislamu na wapemba na CDM ni chama cha wakristo...
Sasa SWALI JE? CCM ni chama cha dini gani? -- Wapagani?
Hivyo wana CCM waliojaa humu mtandaoni jiulize wanatoka DINI gani utapata jibu!!!.. Kazi yao ni kuhakikisha wanatoa sapoti kwa lolote lile kuitetea CCM kwakuwa "mtu wao yuko juu!"
Mods i hope hamtacheza na majibu yangu kwa huyu bwanaShetani anajua kujigeuza malaika unaweza kumwabudu. Watanzania wamedanganywa kwa muda na watu waliojivika ukombozi lakini chini ya kapeti wakipanga namna ya kuwaua baadhi yao. Mungu ameamua kuweka wazi ndio maana hili limekuja kila mtanzania atawajua wakombozi wa tindikali, nondo, sumu, dawa za usingizi na risasi
Naangalia CCM maslahi kama wewe!!!.. Na CCM - DINI hao wengine!!!