TAMBUA HAYA:
- Tazama CD ya ustaadhi ilunga ujue alisema uweke nini mahali penye neno gaidi...
- Hawa woote si watetezi wa CCM wala si wana CCM - ni MITUME WA DINI!!!!
- Vita yao mtandaoni si kwa ajili ya maslahi ya TAIFA bali ni maslahi ya DINI;
- Hakuna mtu atakaye kuwa mtetezi wa CCM baada ya 2o15 - hasa LOWASA, MAGUFULI, SITTA au MWAKYEMBE akiwa mgombea URAIS!! HILI likitokea hoja ya CCM = Catholic Church Movement yatafufuliwa!!!!!
- Ukiikosoa serikali wao wanajua unakosoa kwa sababu mtu wao aliyekuwa maarufu kama "CHAGUO LA MUNGU" sasa haaminiki kutokana na maasi dhidi ya watu wasiona hatia kuongezeka tena yamebaki kuwa yasiyo na ufumbuzi!!!
- Ukihoji mateso ya kibanda, ulimboka na mauaji ya mwangosi na wengine huruka kimanga na kuleta UDINI!!!
- Ukihoji uadilifu wa serikali katika kushughulikia suala la ILUNGA ukilinganisha na lwakatare hupigania udini kwa kulinda "mtu wao"..
Kwa hiyo kwa sasa CCM chama cha Waislamu na CDM chama cha Wakristo,na 2015 CCM akigombea Mkristo Waislamu watahamia CUF tena na Wakristo Wahamia CCM tena.
Acha wajinga mubomoe hii nchi iliyojichokea ili tuje kuijenga nchi iliyo IMARA baada ya vita vya muda mrefu,mmegeuza siasa kuwa ndio biashara yenu wajinga wakubwa nyie.Lazima tuivunje hii biashara ya siasa na siasa iwe kwa ajili ya kuwatumikia wananchi sio kuchumia matumbo yenu na familia zenu,CCM na CDM wote wachumia matumbo tu.