Mapya CHADEMA, video zaidi zanaswa

Mapya CHADEMA, video zaidi zanaswa

[/COLOR]
Kwa hiyo 2015 CCM akigombea mkristo wakristo wote muterudi CCM?Kwa hiyo hamuipingi CCM bali munampinga Raisi Muislamu anayeongoza CCM?

Asanteni kwa kutufumbua macho

Nayo ni tafsiri nzuri tu!!!.. Mimi utafiti wangu humu mtandaoni nimeona wewe na wenzako mko kidini zaidi kuliko ki CCM!!!...
 
Ahaaa!! kumbe!!!!... HILI NALO NENO!!!!!! wewe usiye na chama wala DINI tayari umepata DINI na chama cha KUKIFUATA?!!!!

Sema mfumo wa maisha wa kuufuata.

CCM na CDM wote ni majambazi ya kisiasa tu,kifo chenu ni baada ya 2015 wachumia tumbo nyinyi.Endeleeni kucheza mapicha yenu ya Rambo
 
Haya mwisho wake ni pale mahakama itakapomwachia huru lwakatare tu, hawa wanaoleta vithread humu kwa kutumwa ili wapate za chumvi hamtawaona tena humu. kimya kama hawajazaliwa vile. Mh ngoja niigie kitaa kwanza kukusanya data.
 
JF inatakiwa iheshimiwe vinginevyo itapoteza maana ya uwepo wake. JF imegeuka chombo cha kupikia majungu badala ya kujadili hoja za maana. Kuna watu kwa ajili ya kuzunguka humu JF kujibu hoja hata kama ni kwa njia ya kipuuzi ili mradi wajibu tu. Kuna watu kama kina ZeMarcopolo, Ritz na utaifakwanza wao kazi yao ni kupinga hoja yoyote inayoipa serikali changamoto. Wako tayari hata kujidhalilisha kwa majibu ya ovyo ili mradi wamfurahishe aliyewatuma. Watu hawa ni hatari kwa ustawi wa taifa letu. Wapo wengine wanaanzisha thread zisizokuwa na mashiko ili mradi waonekane nao ni member wa JF. Kwa mfano kuna aliyeanzisha thread humu akidai eti wachaga ndio wanaongoza kwa mapenzi ya jinsia moja hivyo alitaka wana jf wajadili hoja. Wengine wanaanzisha thread za kukashifu dini zingine. This is too much.
 
Last edited by a moderator:
acha kutukana tunaongea mambo ya msingi kama huna cha kuchangia nenda ndani na mumeo mkalale.
mkuu naona umeishiwa hoja umejuaje kama ana mme ? au kwa sababu ni kautamaduni kenu kule lumumba ? kama ni hivyo kaishie lumumba siyo jf au mmeshazoea mkalifanya kuwa kimbilio lenu vikaoni ? tujadili hoja mezani mambo ya chamber waachie wanachamber wenyewe.:high5:
 
Wana JF, tutashuhudia na kuchangia mengi sana lakini ukweli utabainishwa na subira zetu kadri siku zinavyozidi kwenda.
 
Mimi ni mkristo nazungumzia ukristo na serikali!!!... SHEHE ILUNGA ANALINDWA NA NANI?!!!

wewe ni mdini sana, post zako zote humu zinakupambanua hivyo, huna hoja wala mchango unaojenga umeishia kuhamasisha chki za kidini, huku ni kuonyesha wazi kuwa umeshindwa kujenga hoja
 
watanzania hatutaki ugaidi... tuwapinge na kuwalaani wote wanaofanya matendo ya kigaidi awe mwanasiasa awe awaye, maisha yetu ni muhimu kuliko kitu kingine chochote
 


TAYADI NI MWANACHAMA MDINI...tumuogope

ASANTE!!!... NAPINGA DOUBLE STANDARDS ukisema fulani ni gaidi na ukawa mkali kweli basi tukuone ukiwa mkali kwa watu wote unaowaona kuwa ni magaidi!!!...
...HUWEZI UKAMSIKIA MTU MMOJA ANATANGAZA HUKUMU YA KIFO KWA WENGINE ukanyamaza kimya walengwa wakauawa huonyeshi jitihada za kuridhisha, .. lakini ki-CD uchwara cha kiitikadi unakomaa na kutisha watu!!.

Kama umesikia hotuba za maaskofu za pasaka umenielewa ninacho sema!!... Kwangu haki kwanza vyama baadaye!!
 
watanzania hatutaki ugaidi... tuwapinge na kuwalaani wote wanaofanya matendo ya kigaidi awe mwanasiasa awe awaye, maisha yetu ni muhimu kuliko kitu kingine chochote

SASA RAISI WANGU HAPA TUKO PAMOJA!!!.. Hiii ni hoja OBJECTIVE!!!
 
wewe ni mdini sana, post zako zote humu zinakupambanua hivyo, huna hoja wala mchango unaojenga umeishia kuhamasisha chki za kidini, huku ni kuonyesha wazi kuwa umeshindwa kujenga hoja

Sipandi chuki za kidini ila nasema kutenda haki ni muhimu!!!!... Shehe ILUNGA AKAMATWE!!!
 
Sipandi chuki za kidini ila nasema kutenda haki ni muhimu!!!!... Shehe ILUNGA AKAMATWE!!!

naunga mkono hoja, akamatwe kama alivyokamatwa gaidi lwakatare na sekretari binafsi wa slaa aliekanwa na chama bw. ludovick
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom