mchuziwanyoka
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 374
- 28
Kwenye Kiswahili hakuna neno mapungufu, bali kuna neno upungufu. Kutojua lugha yako kwa ufasaha, nako ni upungufu.
kwahiyo chadema wana mapungufu usumbufu
Kwenye Kiswahili hakuna neno mapungufu, bali kuna neno upungufu. Kutojua lugha yako kwa ufasaha, nako ni upungufu.
Hivyo ndivyo watanzania wanavyopenda kuongozwa. Kama Nyerere asingekuwa dikteta leo hii msingekuwa mnakaa chini na kumsifia kama rais shujaa. Watanzania usipokuwa mbabe hawafanyi kazi. Wamezoea kusukumwa. Angalia utawala wa Mkapa ulivyokuwa wa kibabe na namna ambavyo mambo yalikwenda. Ndiyo maana tunaamini kwamba Dr Slaa anaweza kuwa ndiye Rais bora kabisa kwa Tanzania ya sasa, maana hana muda wa kucheka na wezi na wahujumu uchumi. Nafikiri kile alichokufanyia kimekupa somo zuri sana kwamba si mtu wa kucheka na wajinga kama anavyofanya Kikwete. Tunashukuru kwa kushuhudia hili.
Nimepata wasiwasi na utendaji wa katibu mkuu dr slaa kwa namna anavyoshughulikia mambo.UTENDAJI WA KATIBU MKUU DR WILBROD SLAA
1. Kushindwa kumfahamisha kwa barua prof: baregu kuhusu maelezo ya kikao cha kamati kuu kuhusu kujitoa katika mchakato wa katiba mpya. Ukiwa mtendaji mkuu hupaswi kuagiza kwa mdomo unapaswa kutoa barua na kuijbiwa kwa barua utaratibu aliotumia kumfahamisha prof baregu unaonyesha mapungufu ya kutambua kazi za ukatibu mkuu. Source; gazeti la raia mwema
2.Katibu mkuu namna alivyoshughulika suala la kutaka kutekwa mama yake Zitto limeleta utata.
Namna katibu mkuu alivyolishughulikia na kushindwa kutoa press release kama chama kwani ye ye ndio mtendaji mkuu kwani watu wamezusha kwamba kuna mpango wa hujuma kama katibu mkuu naona kuna mapungufu.source: gazeti la mtanzania
3.Kuvuja kwa barua ya siri ya mh, Zitto Kabwe ambayo ilikuwa ni confidential haya ni mapungufu katika utendaji wa katibu mkuu dr. Slaa. Source: jamiii forum.
Ukifatilia CHADEMA chini ya katibu mkuu kuna mapungufu yanajitokeza katika utendaji kazi nafikiri angepima mwenyewe kabla ya kuamua kujiuzulu.
...nooo namaanisha how can you be an expert katika fani zisizo zako,mbona nyie ccm mkipingwa kwa hoja mnakimbilia kusema hatupendi kukosolewa ? na cha pili nilicho maanisha kwa kukwambia weka ya kwako ni kwamba na wewe unayo mapungufu meengi huenda zaidi ya yale unayo yasema ya Dr,so far Dr is more productive kwa chama kuliko wakati mwingine wowote na ccm wanalijua hilo...kwa hiyo kila mmoja anatakiwa awe mwanasiasa? Au kumkosoa mtu kosa? Mbona ninyi CHADEMA mkiambiwa ukweli POVU LINAWATOKA?
Hivyo ndivyo watanzania wanavyopenda kuongozwa. Kama Nyerere asingekuwa dikteta leo hii msingekuwa mnakaa chini na kumsifia kama rais shujaa. Watanzania usipokuwa mbabe hawafanyi kazi. Wamezoea kusukumwa. Angalia utawala wa Mkapa ulivyokuwa wa kibabe na namna ambavyo mambo yalikwenda. Ndiyo maana tunaamini kwamba Dr Slaa anaweza kuwa ndiye Rais bora kabisa kwa Tanzania ya sasa, maana hana muda wa kucheka na wezi na wahujumu uchumi. Nafikiri kile alichokufanyia kimekupa somo zuri sana kwamba si mtu wa kucheka na wajinga kama anavyofanya Kikwete. Tunashukuru kwa kushuhudia hili.
kaka mungu mtu Katika chamyule ni dikteta halafu ana dharau, anataka akisema yeye hata kama amekosea watu wafuate kwa kutii tu
kaka mungu mtu Katika chamayule ni dikteta halafu ana dharau, anataka akisema yeye hata kama amekosea watu wafuate kwa kutii tu
Chadema kitakuua kwa presha bure.Utabadili ID nyingi sana lakini utaambulia aibu tu
Vijana Chadema wanapenda viongozi wakali na wenye misimamo.Hawapendi unafiki
Dr.Slaa ni miongoni mwa viongozi hao.
Poleni sana kwa kuweweseka maana hata Rupiah Banda wa Zambia hali hii ilimkuta kabla hajang'olewa rasmi na Michael Satta na vijana wa Zambia
Just Relax
Wewe endelea kutekeleza majukumu yako mkuu, maana nyie wengine kumsifia tu dr. Slaa mnaingiza siku, maana usipofanya hivyo unajua fika hakuna jambo lingine kwenye maisha lenye thamani la kufanya.
Kwa sisi wachakalikaji hatupo tayari kushikwa akili na kuambiwa cha kusema kisa pesa, unakuwa mtumwa wa mtu na adui wa matakwa ya moyo wako kisa pesa!!! Haya maisha ya utumwa wa fikra wakati upo kwenye nchi huru mpaka lini ndugu??
Ndugu yangu wewe hukujua; mbona huyo anamapungufu mengi sana tu, basi tu wafuasi wake wa chadema ama hawajui au wameamua kuishi na mapungufu hayo. halafu eti ndio anataka kuwa Rais wa Tanzania, hii wasahau. Huo ni ukweli mtupu ila subiri matusi hapa kutoka kwa wafuasi wake 40,000 humu. hata mimi najua watani quote hapa na kutukana, shame on them... halafu badae watakwambia umetumwa na TISS hapa manake sikuhizi kila linalomsibu mwanasiasa lawama ni kwa TISS, hata mwanasiasa akiporwa mke au kuibiwa simu manzese atasema anaandamwa na TISS. Amakweli mzigo mkubwa mpe mnyamwezi,
nina panya kibao hapa home vipi ile kitu bado unayo?Ungeonekana sehemu muhimu ya Great thinkers katika jukwaa kama ungeleta vigezo vya kum-disqualify na sio hii mipasho humu kwa ID fake nyuma ya Keyboard halafu unataka watu wasikujibu?.What a coward
mkuu mimi naomba nikuulize swali, hivi unashughuli gani zinazo kuingizia kipato?Ungeonekana sehemu muhimu ya Great thinkers katika jukwaa kama ungeleta vigezo vya kum-disqualify na sio hii mipasho humu kwa ID fake nyuma ya Keyboard halafu unataka watu wasikujibu?.What a coward
Kama haya ndio unayaita mapungufu basi anafaa kuwa rais. Kama kweli unahulka ya upembuzi yakinifu compare and contrast mapungufu kati ya Kikwete na Slaa. Ili wenye akili timamu waone.
ID nyingi hoja sifurinina panya kibao hapa home vipi ile kitu bado unayo?
slaa anaubora gani?hata hiyo list aliyo itoa ya mafisadi alipewa na zittoSlaa na kikwete kuwalinganisha ni sawa na Mlima uluguru na Mlima Kilimanjaro. Mtakesha mkimchafua Slaa lakini watz hawatawaamini.
nina panya kibao hapa home vipi ile kitu bado unayo?