johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,969
- 141,982
Hili kosa limekuwa likijirudia sana la kudhani Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM ndiye Msemaji mkuu wa Chama
Kwa mujibu wa Katiba ya CCM Msemaji mkuu wa Chama ni Katibu mkuu na hii ilipelekea Dr Bashiru na Komredi Polepole kukwazana mara kwa mara
Kuna tofauti kubwa Kati ya Kukisemea Chama na Kukieneza Chama
Nakumbuka wakati fulani Katibu mkuu wa CCM alikasimu jukumu lake la Kukisemea Chama kwa ndugu Tambwe Hiza rip
Tunakumbushana tu maana waongeaji wa leo wote walikuwa wanamtambulisha Katibu wa Itikadi na Uenezi kama ndiye Msemaji mkuu wa Chama
Ahsanteni 😀😀
Kwa mujibu wa Katiba ya CCM Msemaji mkuu wa Chama ni Katibu mkuu na hii ilipelekea Dr Bashiru na Komredi Polepole kukwazana mara kwa mara
Kuna tofauti kubwa Kati ya Kukisemea Chama na Kukieneza Chama
Nakumbuka wakati fulani Katibu mkuu wa CCM alikasimu jukumu lake la Kukisemea Chama kwa ndugu Tambwe Hiza rip
Tunakumbushana tu maana waongeaji wa leo wote walikuwa wanamtambulisha Katibu wa Itikadi na Uenezi kama ndiye Msemaji mkuu wa Chama
Ahsanteni 😀😀