Mapokezi ya Rais akitokea Marekani kwenye UNGA ni ufujaji wa kodi za walalahoi

Njia pekee ya kujihakikishia kubaki kwenye cheo ni kujipendekeza kwa rais,hata Kama hakuna tija.
 
Aibu itawafika.....

Chifu Hangaya ni NYOTA KWELIKWELI....💪

Amewataka TRA kutumia akili kukusanya kodi na kuacha kutumia NGUVU ZILIZOPITILIZA NA ZISIZO NA WELEDI....hili nalo baya?!!! Khaaa 😲🤣

SIEMPREJMT
Ona hapa wawekezaji wanavyomiminika 👇

Screenshot_20210921-102138.png


Screenshot_20210920-085341.png


Screenshot_20210925-100603.png
 
Hii nchi mbona tumekuwa watu wa ajabu sana? Kwanini waliopewa mamlaka ya kiuongozi wamekuwa wajinga kiasi hiki?

Hivi kweli hili nalo ni tukio la muhimu kiasi hicho? Rais kurejea nchini ni tukio la kufanya kuwa kama shughuli ya kitaifa? Kwanini lisingefanyika kwa protocol za kawaida tu?

Huu ni ufujaji wa kodi za walalahoi. Hizo gharama za hizi shughuli zingetumika kuwajengea wamachinga mnaowavunjia vibanda vyao maeneo mazuri wafanye biashara zao ili waondoke mabarabarani wanapofanyia biashara.

Kweli tulidhani kuwa tumemaliza kuyaona maajabu enzi za mwendazake kumbe sasa ndio tuna viongozi wanaojipendekeza kwa rais kiasi cha kufanya mambo yasiyo ya msingi kabisa.

Ongezeni tozo.

View attachment 1951669
Ukikipata kitumie...ukikikosa....... Viongozi wa nchi hii ni wapiga dili wakubwa, kila jambo kwa ni fursa kwao na huitumia kikamilifu.
 
Ikohivi... Ukimsifu mtu kwatuvitu tudoogo hatohangaika kuwaza name kufanya makubwa!! Wapumbafu hilo huwa hawalioni
Wewe twako tukubwa tuko wapi? 😁😁

Mbona mlikuwa mnahamishia serikali nzima kuzindua stand,kuzindua tumitadi uchwara ambayo Saizi wanafanya mawaziri huko mikoani..

Hapo chini nimeweka screenshot inaonyesha jinsi gharama za figo zitashuka kwa 66% baada ya serikali kununua mashine za uchunguzi na tiba tena zitawekwa kwenye hospital za kawaida tuu.

Kazi ya mama hii hapa inaendelea 👇

Screenshot_20210925-100310.png


Screenshot_20210925-100447.png


Screenshot_20210925-100517.png
 
Kuna useme ,unasema "Kila shughuli ina wenyewe".Na wenye shughuli ndiyo wamealikwa wahudhurie kwenye mapokezi.
Hilo Tangazo au bango sioni waliposema wananchi wote wa Dar es Salaam au Tanzania waende Uwanja wa ndege kumpokea Mheshimiwa Rais.
Kwa wale watakao hudhuria kwa niaba yetu,huo ndiyo ujumbe wa kumpa Mheshimiwa Rais.
Ni busara kwa wale watakaokwenda Uwanja wa ndege wabebe mabango ya pongezi na kumtia moyo Rais kwa hotuba mzuri aliyoitoa United Nations General Assembly (UNGA), Ni ukweli usiopingika, Mheshimiwa Rais ameupiga mwingi huko UN.
Ukweli una kawaida ya "kupanda ngazi".....

Kongole kwake CHIFU MKUU HANGAYA💪👊

#SiempreJMT
 
Hii nchi mbona tumekuwa watu wa ajabu sana? Kwanini waliopewa mamlaka ya kiuongozi wamekuwa wajinga kiasi hiki?

Hivi kweli hili nalo ni tukio la muhimu kiasi hicho? Rais kurejea nchini ni tukio la kufanya kuwa kama shughuli ya kitaifa? Kwanini lisingefanyika kwa protocol za kawaida tu?

Huu ni ufujaji wa kodi za walalahoi. Hizo gharama za hizi shughuli zingetumika kuwajengea wamachinga mnaowavunjia vibanda vyao maeneo mazuri wafanye biashara zao ili waondoke mabarabarani wanapofanyia biashara.

Kweli tulidhani kuwa tumemaliza kuyaona maajabu enzi za mwendazake kumbe sasa ndio tuna viongozi wanaojipendekeza kwa rais kiasi cha kufanya mambo yasiyo ya msingi kabisa.

Ongezeni tozo.

View attachment 1951669
unatumia nini kufikiri?
 
Hii nchi mbona tumekuwa watu wa ajabu sana? Kwanini waliopewa mamlaka ya kiuongozi wamekuwa wajinga kiasi hiki?

Hivi kweli hili nalo ni tukio la muhimu kiasi hicho? Rais kurejea nchini ni tukio la kufanya kuwa kama shughuli ya kitaifa? Kwanini lisingefanyika kwa protocol za kawaida tu?

Huu ni ufujaji wa kodi za walalahoi. Hizo gharama za hizi shughuli zingetumika kuwajengea wamachinga mnaowavunjia vibanda vyao maeneo mazuri wafanye biashara zao ili waondoke mabarabarani wanapofanyia biashara.

Kweli tulidhani kuwa tumemaliza kuyaona maajabu enzi za mwendazake kumbe sasa ndio tuna viongozi wanaojipendekeza kwa rais kiasi cha kufanya mambo yasiyo ya msingi kabisa.

Ongezeni tozo.

View attachment 1951669
Tuna safari ndefu sana kama jamii
 
Hii nchi mbona tumekuwa watu wa ajabu sana? Kwanini waliopewa mamlaka ya kiuongozi wamekuwa wajinga kiasi hiki?

Hivi kweli hili nalo ni tukio la muhimu kiasi hicho? Rais kurejea nchini ni tukio la kufanya kuwa kama shughuli ya kitaifa? Kwanini lisingefanyika kwa protocol za kawaida tu?

Huu ni ufujaji wa kodi za walalahoi. Hizo gharama za hizi shughuli zingetumika kuwajengea wamachinga mnaowavunjia vibanda vyao maeneo mazuri wafanye biashara zao ili waondoke mabarabarani wanapofanyia biashara.

Kweli tulidhani kuwa tumemaliza kuyaona maajabu enzi za mwendazake kumbe sasa ndio tuna viongozi wanaojipendekeza kwa rais kiasi cha kufanya mambo yasiyo ya msingi kabisa.

Ongezeni tozo.

View attachment 1951669
Hizi ndio shughuli mzee wetu alikuwa hazifagilii maana ni mianya ya kujilipa tu hela! Warsha, semina sijui kongamano vyote lengo ni watu kugawana per diem ndio maana walikuwa hawampendi
 
Hizi ndio shughuli mzee wetu alikuwa hazifagilii maana ni mianya ya kujilipa tu hela! Warsha, semina sijui kongamano vyote lengo ni watu kugawana per diem ndio maana walikuwa hawampendi
Mbona alikuwa anashinda kwenye shughuli za kuzindua vyoo kila siku hadi mawaziri wakakosa.kazi ya kufanya?

Njiani anagawa pesa kwa wanavijiji,vipi hayakuwa matumizi mabaya ya pesa? Kulikuwa hakuna posho?

Wazee wa Nogwa 😁😁
 
Mbona alikuwa anashinda kwenye shughuli za kuzindua vyoo kila siku hadi mawaziri wakakosa.kazi ya kufanya?

Njiani anagawa pesa kwa wanavijiji,vipi hayakuwa matumizi mabaya ya pesa? Kulikuwa hakuna posho?

Wazee wa Nogwa 😁😁
Ile pesa yake ya raisi kutumia wewe, jamaa alikuwa anatembea kwa magari! Cost ya ku fuel ndege kwenye kila ziara huwezi ifananisha na zile gari! Mafuta ya ndege ni bei ghali mno!
 
Back
Top Bottom