Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,079
- 8,219
Watu huwa hawaagwi, wanapokelewa!!Hamkuonekana airport kumuaga, acheni unaaa mkuu
Watu huwa hawaagwi, wanapokelewa!!Hamkuonekana airport kumuaga, acheni unaaa mkuu
Uchawa ni tatizo linalotrend kwa kasi ya 5G.yaani watu tunawaza Derby ya Kariakoo mnatuletea huu upuuzi? hebu kuweni siriaz basi hata kama akili zenu ni ndogo.
Wewe unahangaika bure,kwani akipokelewa wewe unaumia pumbu au unateseka na nini hasa?Ninyi akili zenu bana 😁😁😁😁
ndowale mnachamba Kwanzaa alafu ndo mnakunya kwakuogopa uchafu wamavi yenu!!
we chekbob izovitu hapo Kenya tuu wanazo toka hujazaliwa nawala hawataharuki wale kumshobokea rais maana nikodi zao... Muache ushamba!
viwaname muende kumpokea mama pochi mumpigie na vigelegele si midume tutakuwa kazini
Wanaagwa na kusindikizwa..Watu huwa hawaagwi, wanapokelewa!!
Ukikuwa utaelewa ubaba ninini na umama Kama mnaowaza ninini! Nawafundisha how gentleman actsWewe unahangaika bure,kwani akipokelewa wewe unaumia pumbu au unateseka na nini hasa?
Acha kantalamba, kwa hiyo we ukiwa na ndugu yako anatoka nje basi unaamrisha ukoo mzima, majirani na ndugu zako wa mkoani muende airport kumpokea??Kwahiyo kumpokea ndugu yako akitokea Kantalamba pale standi ya mabasi Mbezi ni ufujaji wa hela?ukumbuke huyu ni Raisi wa nchi,ni mwanamke na kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi ameweza kuliwakilisha taifa UN...
Basi tulieniGharama pia zilikuwa kubwa mkuu.
Watanzani tusiwe majuha.Hii nchi mbona tumekuwa watu wa ajabu sana? Kwanini waliopewa mamlaka ya kiuongozi wamekuwa wajinga kiasi hiki?
Hivi kweli hili nalo ni tukio la muhimu kiasi hicho? Rais kurejea nchini ni tukio la kufanya kuwa kama shughuli ya kitaifa? Kwanini lisingefanyika kwa protocol za kawaida tu?
Huu ni ufujaji wa kodi za walalahoi. Hizo gharama za hizi shughuli zingetumika kuwajengea wamachinga mnaowavunjia vibanda vyao maeneo mazuri wafanye biashara zao ili waondoke mabarabarani wanapofanyia biashara.
Kweli tulidhani kuwa tumemaliza kuyaona maajabu enzi za mwendazake kumbe sasa ndio tuna viongozi wanaojipendekeza kwa rais kiasi cha kufanya mambo yasiyo ya msingi kabisa.
Ongezeni tozo.
View attachment 1951669
Ni upuuzi wa hali ya juu. Shughuli za kimaendeleo zinasimama kisa ujinga.Foleni kutoma airport noumaa