Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,962
Kumtia moyo ili aongeze tozo zaidi. WapumbavuTukimpokea atajisikia vizuri. Twendeni tukampokee tu. Ni njia moja ya kumtia moyo. Tulishasikia Urais siyo kazi nyepesi.
Kumtia moyo ili aongeze tozo zaidi. WapumbavuTukimpokea atajisikia vizuri. Twendeni tukampokee tu. Ni njia moja ya kumtia moyo. Tulishasikia Urais siyo kazi nyepesi.
Jinga wewe, we unalipi umefanya?Watu wengi walioteuliwa na Marehemu Magufuli walikuwa ni watu wenye uelewa mdogo, exposure duni, wasiojiamini, wanafiki, wasio na weledi, na kwa kiasi kikubwa, kwa sababu ya kukosa sifa zinazostahili, waliegemea kwenye kumsifu ili kuendelea kuwepo kwenye nafasi zao. Watu hao mpaka sasa bado wapo Serikalini.
Hao ndio wanaofanya upuuzi kama huu wa kulifanya tendo la Rais kurudi nyumbani ni la ajabu.
Gharama pia zilikuwa kubwa mkuu.Mlimpokea Lissu Kwa maelfu
Hebu tulieni kidogo
Nikisema huko ni kukosa maarifa na busara, Jamiiforums kwa sababu ya kujipendekeza watanifungia. Hivi anapokelewa kwa lipi alilofanya? Ebu acheni ujinga ninyi watu.Hii nchi mbona tumekuwa watu wa ajabu sana? Kwanini waliopewa mamlaka ya kiuongozi wamekuwa wajinga kiasi hiki?
Hivi kweli hili nalo ni tukio la muhimu kiasi hicho? Rais kurejea nchini ni tukio la kufanya kuwa kama shughuli ya kitaifa? Kwanini lisingefanyika kwa protocol za kawaida tu?
Huu ni ufujaji wa kodi za walalahoi. Hizo gharama za hizi shughuli zingetumika kuwajengea wamachinga mnaowavunjia vibanda vyao maeneo mazuri wafanye biashara zao ili waondoke mabarabarani wanapofanyia biashara.
Kweli tulidhani kuwa tumemaliza kuyaona maajabu enzi za mwendazake kumbe sasa ndio tuna viongozi wanaojipendekeza kwa rais kiasi cha kufanya mambo yasiyo ya msingi kabisa.
Ongezeni tozo.
View attachment 1951669
Emirates boeing 777-300 registration A6-EPK flight no EK 725 tokea Dubai-kuja Dar.Mbona hatuonyeshwi ndege aliyo tumia?
Hii nchi mbona tumekuwa watu wa ajabu sana? Kwanini waliopewa mamlaka ya kiuongozi wamekuwa wajinga kiasi hiki?
Hivi kweli hili nalo ni tukio la muhimu kiasi hicho? Rais kurejea nchini ni tukio la kufanya kuwa kama shughuli ya kitaifa? Kwanini lisingefanyika kwa protocol za kawaida tu?
Huu ni ufujaji wa kodi za walalahoi. Hizo gharama za hizi shughuli zingetumika kuwajengea wamachinga mnaowavunjia vibanda vyao maeneo mazuri wafanye biashara zao ili waondoke mabarabarani wanapofanyia biashara.
Kweli tulidhani kuwa tumemaliza kuyaona maajabu enzi za mwendazake kumbe sasa ndio tuna viongozi wanaojipendekeza kwa rais kiasi cha kufanya mambo yasiyo ya msingi kabisa.
Ongezeni tozo.
View attachment 1951669
Exactly hapo watu wanatumia hizo kama gaps za kujilipa tu per diem na safari zisizo na tija.Kweli, mapokezi kama haya ni matumizi ya ovyo ya shekeli za umma na ni upumbavu ulioendekezwa na nchi zetu masikini. Hiyo ni shughuli isiyokuwa na tija yoyote, bila kujali inafanywa kwa ajili ya Samia akitokea Marekani au Lissu alitokea Belgium. Kwa kuwa baadhi ya vyama vya siasa vinaendeshwa kwa ruzuku ya Serikali, hivyo vyama navyo vinapaswa kujiepusha na matumizi ya ovyo kama hayo.
Wenye akili hujibu kwa hoja. Punguani hutukana.Jinga wewe, we unalipi umefanya?
Naiona Simba ya sasa ikiwa imekamilika hivyo anaweza kuwepo na bado mnyama akashinda pasipo shida yoyote ile.Muhimu asiwepo taifa leo ...apumzikee
Punguza nongwa zisizo na sababu mkuu.Muda muh.imu ndugu, uzurulaji unadumaza nchi huku CCM wanaongoza kwenye kundi la watu wanaopenda kuzurula Afrika Mashariki na Kati.
Endelea kuzurula inaelekea wewe hauna shughuri muhimu, mtu mwenyeshughuri muhimu anafikiria kodi atailipaje akitumia muda wake kuzurula.Punguza nongwa zisizo na sababu mkuu.
Siyo lazima. Kama we chadema usiende mana unaenda kukosoa kila kitu hata chupi aliyovaa utaikosoa kwamba kwa nini imekaa vile na kwa nini ni nyekinduKwamba tuchome mafuta kwenda kumpokea
Usiseme sisi maskini sema mimi maskini. Usitumie wingi kwenye kumaanisha shida binafsi.Endelea kuzurula inaelekea wewe hauna shughuri muhimu, mtu mwenyeshughuri muhimu anafikiria kodi atailipaje akitumia muda wake kuzurula.
Hizi mambo za "ni mwanamke" has nothing to do with her presidency! Aheshimiwe kama mwanadamu mwingine. Hizi ngonjera za jinsia yake sijui huwa mnamaanisha nini, acheni hizo.Kwahiyo kumpokea ndugu yako akitokea Kantalamba pale standi ya mabasi Mbezi ni ufujaji wa hela?ukumbuke huyu ni Raisi wa nchi,ni mwanamke na kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi ameweza kuliwakilisha taifa UN...
Yani imekuwa kama wimbo wa taifa, aheshimiwe na kupewa hadhi sawa na jinsia nyingine. Kila mara utasikia ni mwanamke kana kwamba ni muujiza kuwa na Rais mwanamkeHivi mbona mnapenda Sana kusema ni mwanamke?
Hii nchi mbona tumekuwa watu wa ajabu sana? Kwanini waliopewa mamlaka ya kiuongozi wamekuwa wajinga kiasi hiki?
Hivi kweli hili nalo ni tukio la muhimu kiasi hicho? Rais kurejea nchini ni tukio la kufanya kuwa kama shughuli ya kitaifa? Kwanini lisingefanyika kwa protocol za kawaida tu?
Huu ni ufujaji wa kodi za walalahoi. Hizo gharama za hizi shughuli zingetumika kuwajengea wamachinga mnaowavunjia vibanda vyao maeneo mazuri wafanye biashara zao ili waondoke mabarabarani wanapofanyia biashara.
Kweli tulidhani kuwa tumemaliza kuyaona maajabu enzi za mwendazake kumbe sasa ndio tuna viongozi wanaojipendekeza kwa rais kiasi cha kufanya mambo yasiyo ya msingi kabisa.
Ongezeni tozo.
Fonts for Android and iPhone - www.fontskeyboard.com
Hii nchi mbona tumekuwa watu wa ajabu sana? Kwanini waliopewa mamlaka ya kiuongozi wamekuwa wajinga kiasi hiki?
Hivi kweli hili nalo ni tukio la muhimu kiasi hicho? Rais kurejea nchini ni tukio la kufanya kuwa kama shughuli ya kitaifa? Kwanini lisingefanyika kwa protocol za kawaida tu?
Huu ni ufujaji wa kodi za walalahoi. Hizo gharama za hizi shughuli zingetumika kuwajengea wamachinga mnaowavunjia vibanda vyao maeneo mazuri wafanye biashara zao ili waondoke mabarabarani wanapofanyia biashara.
Kweli tulidhani kuwa tumemaliza kuyaona maajabu enzi za mwendazake kumbe sasa ndio tuna viongozi wanaojipendekeza kwa rais kiasi cha kufanya mambo yasiyo ya msingi kabisa.
Ongezeni tozo.
View attachment 1951669
Ninyi akili zenu bana 😁😁😁😁Wewe twako tukubwa tuko wapi? 😁😁
Mbona mlikuwa mnahamishia serikali nzima kuzindua stand,kuzindua tumitadi uchwara ambayo Saizi wanafanya mawaziri huko mikoani..
Hapo chini nimeweka screenshot inaonyesha jinsi gharama za figo zitashuka kwa 66% baada ya serikali kununua mashine za uchunguzi na tiba tena zitawekwa kwenye hospital za kawaida tuu.
Kazi ya mama hii hapa inaendelea 👇
View attachment 1951925
View attachment 1951926
View attachment 1951927
Hamkuonekana airport kumuaga, acheni unaaa mkuuAcha wivu wa kijinga, kama Simba, Yanga, Mwakinyo, Diamond na yule mgonjwa wa Ubelgiji huwa wanapokelewa why isiwe Rais ambaye ni nembo ya Taifa? Kuna watu wamekaa kupinga pinga tu kila kitu