Mapokezi ya Rais akitokea Marekani kwenye UNGA ni ufujaji wa kodi za walalahoi

Watu wengi walioteuliwa na Marehemu Magufuli walikuwa ni watu wenye uelewa mdogo, exposure duni, wasiojiamini, wanafiki, wasio na weledi, na kwa kiasi kikubwa, kwa sababu ya kukosa sifa zinazostahili, waliegemea kwenye kumsifu ili kuendelea kuwepo kwenye nafasi zao. Watu hao mpaka sasa bado wapo Serikalini.

Hao ndio wanaofanya upuuzi kama huu wa kulifanya tendo la Rais kurudi nyumbani ni la ajabu.
Jinga wewe, we unalipi umefanya?
 
Hii nchi mbona tumekuwa watu wa ajabu sana? Kwanini waliopewa mamlaka ya kiuongozi wamekuwa wajinga kiasi hiki?

Hivi kweli hili nalo ni tukio la muhimu kiasi hicho? Rais kurejea nchini ni tukio la kufanya kuwa kama shughuli ya kitaifa? Kwanini lisingefanyika kwa protocol za kawaida tu?

Huu ni ufujaji wa kodi za walalahoi. Hizo gharama za hizi shughuli zingetumika kuwajengea wamachinga mnaowavunjia vibanda vyao maeneo mazuri wafanye biashara zao ili waondoke mabarabarani wanapofanyia biashara.

Kweli tulidhani kuwa tumemaliza kuyaona maajabu enzi za mwendazake kumbe sasa ndio tuna viongozi wanaojipendekeza kwa rais kiasi cha kufanya mambo yasiyo ya msingi kabisa.

Ongezeni tozo.

View attachment 1951669
Nikisema huko ni kukosa maarifa na busara, Jamiiforums kwa sababu ya kujipendekeza watanifungia. Hivi anapokelewa kwa lipi alilofanya? Ebu acheni ujinga ninyi watu.
 
Mbona hatuonyeshwi ndege aliyo tumia?
Emirates boeing 777-300 registration A6-EPK flight no EK 725 tokea Dubai-kuja Dar.

Screenshot_20210925-123039.png
 
Hii nchi mbona tumekuwa watu wa ajabu sana? Kwanini waliopewa mamlaka ya kiuongozi wamekuwa wajinga kiasi hiki?

Hivi kweli hili nalo ni tukio la muhimu kiasi hicho? Rais kurejea nchini ni tukio la kufanya kuwa kama shughuli ya kitaifa? Kwanini lisingefanyika kwa protocol za kawaida tu?

Huu ni ufujaji wa kodi za walalahoi. Hizo gharama za hizi shughuli zingetumika kuwajengea wamachinga mnaowavunjia vibanda vyao maeneo mazuri wafanye biashara zao ili waondoke mabarabarani wanapofanyia biashara.

Kweli tulidhani kuwa tumemaliza kuyaona maajabu enzi za mwendazake kumbe sasa ndio tuna viongozi wanaojipendekeza kwa rais kiasi cha kufanya mambo yasiyo ya msingi kabisa.

Ongezeni tozo.

View attachment 1951669

Kweli, mapokezi kama haya ni matumizi ya ovyo ya shekeli za umma na ni upumbavu ulioendekezwa na nchi zetu masikini. Hiyo ni shughuli isiyokuwa na tija yoyote, bila kujali inafanywa kwa ajili ya Samia akitokea Marekani au Lissu alitokea Belgium. Kwa kuwa baadhi ya vyama vya siasa vinaendeshwa kwa ruzuku ya Serikali, hivyo vyama navyo vinapaswa kujiepusha na matumizi ya ovyo kama hayo.
 
Kweli, mapokezi kama haya ni matumizi ya ovyo ya shekeli za umma na ni upumbavu ulioendekezwa na nchi zetu masikini. Hiyo ni shughuli isiyokuwa na tija yoyote, bila kujali inafanywa kwa ajili ya Samia akitokea Marekani au Lissu alitokea Belgium. Kwa kuwa baadhi ya vyama vya siasa vinaendeshwa kwa ruzuku ya Serikali, hivyo vyama navyo vinapaswa kujiepusha na matumizi ya ovyo kama hayo.
Exactly hapo watu wanatumia hizo kama gaps za kujilipa tu per diem na safari zisizo na tija.
 
Jinga wewe, we unalipi umefanya?
Wenye akili hujibu kwa hoja. Punguani hutukana.

Mimi kwa nafasi yangu nimefanya mengi. Nimekuwa nazunguka mabara yote duniani nikitumia weledi wangu kwaajili ya manufaa yangu, familia, nchi na Ulimwengu. Simlambi miguu au nyayo yeyote yule ili anipe teuzi au maisha.

I was born free, I live with free mind.
 
Kwahiyo kumpokea ndugu yako akitokea Kantalamba pale standi ya mabasi Mbezi ni ufujaji wa hela?ukumbuke huyu ni Raisi wa nchi,ni mwanamke na kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi ameweza kuliwakilisha taifa UN...
Hizi mambo za "ni mwanamke" has nothing to do with her presidency! Aheshimiwe kama mwanadamu mwingine. Hizi ngonjera za jinsia yake sijui huwa mnamaanisha nini, acheni hizo.
 
Hii nchi mbona tumekuwa watu wa ajabu sana? Kwanini waliopewa mamlaka ya kiuongozi wamekuwa wajinga kiasi hiki?

Hivi kweli hili nalo ni tukio la muhimu kiasi hicho? Rais kurejea nchini ni tukio la kufanya kuwa kama shughuli ya kitaifa? Kwanini lisingefanyika kwa protocol za kawaida tu?

Huu ni ufujaji wa kodi za walalahoi. Hizo gharama za hizi shughuli zingetumika kuwajengea wamachinga mnaowavunjia vibanda vyao maeneo mazuri wafanye biashara zao ili waondoke mabarabarani wanapofanyia biashara.

Kweli tulidhani kuwa tumemaliza kuyaona maajabu enzi za mwendazake kumbe sasa ndio tuna viongozi wanaojipendekeza kwa rais kiasi cha kufanya mambo yasiyo ya msingi kabisa.

Ongezeni tozo.

Fonts for Android and iPhone - www.fontskeyboard.com

Hii nchi mbona tumekuwa watu wa ajabu sana? Kwanini waliopewa mamlaka ya kiuongozi wamekuwa wajinga kiasi hiki?

Hivi kweli hili nalo ni tukio la muhimu kiasi hicho? Rais kurejea nchini ni tukio la kufanya kuwa kama shughuli ya kitaifa? Kwanini lisingefanyika kwa protocol za kawaida tu?

Huu ni ufujaji wa kodi za walalahoi. Hizo gharama za hizi shughuli zingetumika kuwajengea wamachinga mnaowavunjia vibanda vyao maeneo mazuri wafanye biashara zao ili waondoke mabarabarani wanapofanyia biashara.

Kweli tulidhani kuwa tumemaliza kuyaona maajabu enzi za mwendazake kumbe sasa ndio tuna viongozi wanaojipendekeza kwa rais kiasi cha kufanya mambo yasiyo ya msingi kabisa.

Ongezeni tozo.

View attachment 1951669

Mpaka tufike mbinguni tutakuwa tumechoka kweli 😳😳
 
Wewe twako tukubwa tuko wapi? 😁😁

Mbona mlikuwa mnahamishia serikali nzima kuzindua stand,kuzindua tumitadi uchwara ambayo Saizi wanafanya mawaziri huko mikoani..

Hapo chini nimeweka screenshot inaonyesha jinsi gharama za figo zitashuka kwa 66% baada ya serikali kununua mashine za uchunguzi na tiba tena zitawekwa kwenye hospital za kawaida tuu.

Kazi ya mama hii hapa inaendelea 👇

View attachment 1951925

View attachment 1951926

View attachment 1951927
Ninyi akili zenu bana 😁😁😁😁
ndowale mnachamba Kwanzaa alafu ndo mnakunya kwakuogopa uchafu wamavi yenu!!

we chekbob izovitu hapo Kenya tuu wanazo toka hujazaliwa nawala hawataharuki wale kumshobokea rais maana nikodi zao... Muache ushamba!

viwaname muende kumpokea mama pochi mumpigie na vigelegele si midume tutakuwa kazini
 
Acha wivu wa kijinga, kama Simba, Yanga, Mwakinyo, Diamond na yule mgonjwa wa Ubelgiji huwa wanapokelewa why isiwe Rais ambaye ni nembo ya Taifa? Kuna watu wamekaa kupinga pinga tu kila kitu
Hamkuonekana airport kumuaga, acheni unaaa mkuu
 
Back
Top Bottom