Ni wapi haki inapatikana kwa kubembelezana kwa ving'ang'anizi wa madaraka? Chama cha ACT si ndio lilikuwa kinajifanya kinafanya siasa za hoja, matokea yake wameingizwa mkenge wakashiriki uchaguzi na mgombea wao kaenguliwa kimezengwe. Kama ustaarabu unalipa mbona uhalisia unakataa?Tunapishana pale tu tunapitafuta haki kwa kutumia vurugu, na mimi siyo muumini wa kambi hiyo.
Passive resistance is a method of securing rights by personal suffering; it is the reverse of resistance by arms. -Mahatma Gandhi)
Mkuu 'Stuxnet', najitahidi sana, tena sana mkuu wangu; Ninakuelewa sana.Labda umechelewa kunielewa, mimi napenda amani itawale ni sikubali kudai haki katika misingi ya uvunjifu wa amani.
Non-violence is a weapon of the strong.- (Mahatma Gandhi)
AHAAA!Sasa kama Mbeya inazalisha 6% ya GDP (Pato ghafi la Taifa) ikiwa nyuma ya Dar, Arusha na Mwanza halafu Serikali inakwenda kujenga mikoa ya wavivu kama Tabora, Mtwara na Ruvuma au Dodoma, kwanini niunge hiyo itikadi mbovu??
Mikoa ya wavivu ipo!! Ulishapita Tanga, Lindi, Tabora na Mtwara?AHAAA!
This is not 'SMART"!
Ukweli ni kwamba hakuna mkoa au mji wa wavivu; kuna viongozi wabovu tu kila sehemu
Vipi mkuu 'Stux', haya tutayajadili zaidi hii hekaheka ya ukombozi ikishafikia ukomo. Ni mjadala mzuri sana huu.
Nyumbu waliokosa matumaini ya kesho watamshangilia yeyote anayewatumainisha kesho iliyo bora.Nyumbu zinamshangalia mfalme wao
Principle ya dialogue ni moja kukubali kutokubaliana without getting into exchange of insults. Tanzania ni yetu wote, ikiungua hatuna pa kwenda. Mimi niko hivyo Serikali ikikosea nitakosoa na upinzani ukifanya vizuri nitapongeza.Mkuu 'Stuxnet', najitahidi sana, tena sana mkuu wangu; Ninakuelewa sana.
Ninakuomba tu usitazame nyuma tena, twende mbele. Tumepitia hali isiyokuwa ya kawaida hata kidogo katika taifa letu.
Tuliyochangia kwa maandishi, yote yamo humu humu JF, ni rekodi itakayodumu miaka yote; hatuwezi tena kubadili hayo ya nyuma,
Naomba tu tutazame ya mbele yetu.
Naelewa vyema kabisa wewe siyo juha, au sifa zingine zote nilizowahi kukusema nazo humu. Ninachoomba tu sote tuiangalie Tanzania yetu upya kabisa hapo hali itakapotengemaa.
Mimi siwezi kamwe kukuhukumu yaliyo moyoni mwako; ninachoona ni maandishi yaliyopita na haya mapya. Napenda tukazie haya mapya.
Uone hata aibu , nyumbu ni nani hapo wanao bebwa na malori au hao wanao enda kwa hiyarNyumbu zinamshangalia mfalme wao
Mifano haiendani, ANC walikuwa wanataka uhuru nyie mnagombea Katiba MpyaNi wapi haki inapatikana kwa kubembelezana kwa ving'ang'anizi wa madaraka? Chama cha ACT si ndio lilikuwa kinajifanya kinafanya siasa za hoja, matokea yake wameingizwa mkenge wakashiriki uchaguzi na mgombea wao kaenguliwa kimezengwe. Kama ustaarabu unalipa mbona uhalisia unakataa?
Yaani ni kama useme hukutaka ANC wafanye siasa za vile wakati wa utawala wa makaburu kwani ni kukosa ustaarabu. Acha unafiki bro.
Kuliko kumpigia kura yule kigagula Tulia Ackson au huyu Patrick Mwalunenge, nitampigia kura mpinzani yeyote atakayetokea. Haya mazezeta siyataki tena.
Eti Jiji la Mbeya lilikuwa na Naibu Spika 2015-20 halafu Spika 2020-25, na Spika ndiyo boss wa Wabunge wote na uwaziri wao. Ameshindwa kuifanya Mbeya ipate kilomita 22 za barabara ya lami?
Kwa sasa Urambo na Makambako ziapendeza kuliko Mbeya
Tatizo CCM wanaiba kura vibaya mno
Yaan Tume ya Uchaguzi inarundika kura kwa CCM
Huko Mbeya ndio Kuna wajinga wengi sana.View attachment 3614894
View attachment 3614895
Kwa namna ambavyo Serikali imeudharau mkoa wa Mbeya ambao ndiyo unalisha nchi kwa chakula na ambayo ndiyo lango la kwenda Zambia, DRC na Malawi, naungana na wana Mbeya Kuchangia ToneTone. Cc Erythrocyte, ChoiceVariable
Kumbuka ndiyo njia ya kupeleka 60% ya mizigo inayokwenda nchi jirani kupitia TPA ya DP WORLDTatizo la MBEYA vichwa ngumu wacha waoge vumbi wamewapopoa mawe marais wangapi wenyewe kwao
ndio Sifa🫎🫎
leo unawajengea Barabara yanini wacha waendelee kuvuta bangi zao wakitembea kwenye Vumbi wanajisikia wapo kwenye Lami bange oyee🫎🫎