Hii ni 'principle', sijawahi kuisikia; bali huwa nasikia msemo huu mara nyingi tu, na sijawahi kuuchukulia kuwa ni 'principle'.Principle ya dialogue ni moja kukubali kutokubaliana without getting into exchange of insults
Wewe unazungumzia 'insults'; hujaona waTanzania wanatekwa na kuuliwa kwa kuwa tofauti na hao uliokuwa unawashangilia sana humu. Sasa unataka hata tukatafute maandishi uliyoweka kuleta ushuhuda juu ya hili?
Mkuu 'Stuxnet', hivi unanichukuliaje wewe. Siji humu kufanunya mizaha wala kulaumu mtu bila ya sababu.
Nimekwishakueleza, na bila shaka unaweza kutafakari mwenyewe "yaliyomo moyoni mwako" kama ni tofauti sana na uliyowahi kuandika humu. Nilitaka tu kukupa fursa hiyo ya ku'reflect' mwenyewe. Haya unayoweka hapa ni maonyesho tu anayoweza kuyaona kila mtu.
Utaniwia radhi kwa haya yafuatayo; lakini mfano wa mtu fundi sana wa maonyesho ni Samia (sijasema kuwa na wewe ni kama Samia katika ufundi huo, ila nimetumia mfano ulio wazi kabisa kwa kila mtu kuelewa ninachojaribu kueleza.
Kuhusu hili, natumaini nimemalizana nalo kwa matumaini makubwa juu ya Tanzania inayokuja.