Mapinduzi ya Zanzibar yako hatarini.. Wazanzibari wamelala...

Nilipo BLUE.

Nimeipenda sana kauli hii.

Je ukiwekeza kwene uwongo na propaganda za kizandiki utapata nini?
L
akin nitakusaidia zaidi kukwambia HISTORIA sio nadharia bali ni matukio yaliyojitokeza huko nyuma na ni lazima kuyarejea kwani ndanimwe kuna misingi ya UHURU wenu. Ndio maana tunaiheshimu na kuithamini sana historia kwa kuyaona yote mazuri na mabaya yake na kuyatendea yote haki zake kuhakikisha kile kibaya kinapotea na mema yanaimarika kwa kutumia kaanun ya uwazi na ukweli.

nafikiri umeiona kathia ya Znz ambako bila waZnz kuziona tofauti zao na kutafuta suluhu mpaka leo yangekuwepo na yangezidi kudumaza maendeleo ya jamii. Hiyo ndio historia na huo ndio umuhimu wake.

Waswahili wanasema. Mdharau mwiba ...

Wewe unafikiri nani ni muongo na mzandiki na anastahili kubeba lawama hizo unazojaribu kumtupia?
 
tatizo hapa mnazungumza yatokanayo na mapinduzi lakini siri kubwa hamuijui,na kama mnaijua basi mwajitia ujuha hebu niambieni uchaguzi huru wa haki na wa vyama vingi zanzibar ulifanyika kabla ya muungano au baada ya muungano wa 1964

Ngoso,
Hoja si uchaguzi huru na wa haki na kipindi ulipofanyika (kama kweli ulishawahi kufanyika - hili linategemea mtazamo wa mtu maana kuna mtu anaweza kukwambia kuwa chaguzi zote hazikuwa huru wala za haki na mwingine akakwambia zote zilikuwa huru na haki). Hoja hapa ni Wazanzibari wanalazimishwa kuwa kwenye muungano au la, wanaweza kujitoa au la.
 
Watakapoamka watakuja counter revolution will be complete. Watch carefully, as long as there is the union the revolution of January 12, 1964 will be defended. Outside the union the revolution will be at its weakest and THERE WILL BE a counter revolution. As long as the people of Zanzibar will not defend their own revolution which toppled the monarch and the puppet government against counter-revolution elements their own future is at stake and the gains of the revolution will be abandoned.

It is for this reason, sisi watu wa bara tumechoka kulinda mapinduzi ambayo Wazanzibari wenyewe hawataki kuyalinda; hatutaki Muungano na vyombo vya Muungano viendelee kulinda mapinduzi wakati serikali ya "Mapinduzi" ya Zanzibar ikifikiria na kutoa hata baraka za kubadili jina lake! Hatutaki polisi na JWTZ la Muungano lilinde mapinduzi ambayo halikuyafanya! Wazanzibar walibnde mapinduzi yao nje ya Muungano!!!

Let Zanzibar Go!!!

a. Serikali ya Zanzibar ilete mswada wa kupiga kura ya maoni ili wananchi wa Zanzibar waamue kutoka kwenye Muungano
b. Waweke threshold ya asilimia 80 ya Wazanzibar watakaokubali kutoka basi Zanzibar itatoka kwenye Muungano ASAP
c. Serikali ya Muungano ijiandae kuondoa vyombo vyake Zanzibar na kufanya mpango wa mpito ili nchi ya Zanzibar iweze kujitegemea na kujiendesha.


Naona Mwanakijiji harakati za ukombozi wa Zanzibari zimekuudhi/kukukera sana inavoonesha ndgu yangu, pole sana kwa machungu ulionayo moyoni.

Sasa hakuna haja ya kuwapangia Wazenji % ya kujitoa kwenye muungano nadhani hata 60% is enough.

Nadhani ikiwa kama si chuki binafsi ulionayo dhidi ya Wazanzibari, basi wewe ungalitumia uwezo wako wote kuwashawishi wabunge waTanganyika kuipeleka hoja binafsi huko bungeni ili kuitishwa kura ya maoni dhidi ya muungano kwa vle tayari Zenji wako tayari any time nadhani utapata support kubwa na utawasaidia sana kuliko kuendesha propaganda zako humu JF.
 
Kinachofanywa - na labda kwa haki - ni kuwa Wazanzibari wanaambiwa mapinduzi hayakuwa sahihi; yalikuwa ni makosa na sasa wanataka kusahihisha makosa hayo. Na wana CCM wa Zanzibar (watu wa ASP) wamekubali kuwa mapinduzi ya kumng'oa Sultani na serikali ya Shamte yalikuwa ni makosa.

Wakati umefika kwa Serikali ya Jamhuri ya Zanzibar kumuomba radhi Sultani na uzao wake na kuwaomba radhi wale wote walioathirika na mapinduzi. Hii ni pamoja na kuandaa namna ya kuwalipa wale waliopoteza ndugu zao na mali zao.
swadakta! na bila kusahau kuwa baada ya Mapinduzi Karume alitifisha ardhi iliyokuwa ikimilikiwa na sultan na mamwinyi na kuigawa kwa wananchi walalahoi, kwa sababu hiyo Serikali ya jamhuri ya zanzibar irejeshe ardhi hiyo kwa 'wenyewe', kwa maana kuwa kurejesha status quo ya awali kabla ya mapinduzi. Na itakapofikia hapo serikali ya Jamhuri ya zanzibar ianze kuwakusanya raia wake waliopatwa na bahati mbaya ya kuishi Tanganyika ama km wafanyabiashara ama wakazi wa kawaida ili warudi kwenye nchi yao wakapate upepo mpya mwanana na hivyo waondokane na kubanwa banwa kule tandika, kariakoo, ilala nk.
 
Mzee Mwanakijiji,

Rais Kikwete atoe tamko/kauli kuwa Serikali ya Muungano inaunga mkono kufanyika kwa kura ya maoni kuhusu Muungano huko Zanzibar.

Au Mh. Pinda asimame bungeni aseme kuwa serikali ya Muungano haina pingamizi na uitishaji wa kura ya maoni huko Zanzibar.

!
Hilo nadhani ni jukumu la SMZ kufanya maamuzi..kwani si ina baraza lake la wawakilishi, rais wake, na mahakama zake! Kwa nini wasiitishe kura za maoni kwa wananchi wake ili kujua msimamo wao... baada ya matokeo hayo Watanganyika nao wanaweza kupima hatua inayofaa kuchukuliwa ili kulinda maslahi yao!
 
Hebu angalieni video ya siku ya mapinduzi Zanzibar ( Zanzibar revulution 1964) iliyopigwa na askari wa KAR kutoka angani na mitaani...google utube ili ujisogeze na uhalisia wake.
 
Someni hii excerpt ya kutoka archives za Daily News

JPRS-SSA-85-018
7 March 1985
TANZANIA

HAMAD INTERVIEWED ON UNION, GOVERNMENT ASPIRATIONS
Dar es Salaam DAILY NEWS in English 18 Jan 85 p 1

The Zanzibar Chief Minister, Ndugu Seif Shariff Hamad, has said
the people of Tanzania are generally happy with the Union of the Isles
and Tanganyika, attributing this to correct understanding of the true
nature, aspirations and problems of the Union.

He said in an interview with the British Broadcasting Corporation (BBC)
at his Dar es Salaam residence that only rumour-mongers and a few misguided
and disgruntled elements still questioned the value and relevance of the
"historic fact."

The Chief Minister said while the enemies of the Union were raising hell
over "such imaginary problems as Mainland resentment over apparent overrepresentation of the Isles in the Union affairs," available data spoke
a totally different story.

He said the Party and Government had effectively educated the people into
thinking Tanzanian and not Zanzibari or Tanganyikan. "There is no longer
any racial, religious or ideological resentment over the fact of the Union,"
he said.
Ndugu Hamad also said there was now a more mutual understanding between
the Revolutionary Government of Zanzibar and Union Government.
While the past administration in the Isles sought to tackle the problems
there through "corridor grumbles behind the back of the Union Government,"
the present one will always inform the Union Government on whatever problems
arose and measures being taken to solve them.
The interview will form part of a 45-minute documentary programme on Tanzania to be aired by the BBC national radio network on February 6 and 8 this
year under the "Analysis" series.
Others interviewed by the two-man BBC team which has been in the country
since Monday are the Minister of State in the President's Office Responsible
for Cabinet Affairs, Ndugu Amir Jamal; Finance Minister Cleopa Msuya and
Planning and Economic Affairs Minister Kighoma Malima.
133On the economic problems facing both the Isles and Mainland, the Chief
Minister said these were basically the same as those facing many other
developing countries.
"It is principally a balance of payments problem," he said, adding that
the only sure solution lay in increased production of agricultural and
other commodities.
On whether Tanzania's ideological aspirations were not in principle opposed
to tourism, Ndugu Hamad said the Party and the Government never felt that
this could corrupt the country's socialist morality.
On external aid and its effect on the country's socialist policies, Ndugu
Hamad said the policy now was to seek and accept "only assistance which
is sure to help us become more socialist and more self-reliant."
"We are going to look for assistance to help us develop our agriculture,"
he said, adding that this would include investment in irrigation and
factories for manufacturing farm implements.
He said Tanzania had used aid availed to it more judiciously than many
other beneficiaries. "While in some countries there have been reports
of leaders diverting the aid to personal uses, there are no private
pockets in Tanzania. All aid is spent on projects that benefit the people.
1
He also said the Isles Government was working out more comfortable modalities regarding taxation and repatriation of profits to attract foreign
investors in a new drive to revive the economy.
He said there should be no reason to fear "unreasonable nationalisation"
since the new Isles Constitution provided adequate safeguards. :
Ndugu Jamal said the Union was "a natural and irreversible historical
development" binding together peoples with a common heritage.
He told the BBC that the Union was "a very much living organism which
Tanzanians highly prize." There was nothing that could derail Tanzanians
off their unity track, he said.
He added: "We are consolidating our hard-won unity brick by brick. There
is no reason to be too happy over the progress we have made. We shall
only be satisfied with our achievements the day it will be possible for us to safely say good-bye to external aid."

Source: http://www.dtic.mil/cgi-bin/GetTRDoc?AD=ADA338345

Sasa Barubaru, Tume ya Katiba, Njiwa, na wengineo mnasema nini kuhusu hii?
 
Tanganyika iliisha rasmi 1964...labda kama imeanzishwa tena bila kujua.
.
Ahlan,Mkuu Ndahani

Baada ya maamkizi hayo kwa hisani ya Nguruvi3

Tanganyika ilikwenda wapi baada ya 1964?

Mkuu Tanganyika ilifanyiwa usanii tu.
Je unatambua jina la asili la Muungano? Kama umelisahau, Jamhuri ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar...Jina hili lilifanyiwa uchakachuaji, mizengwe, mazingaombwe, kiini macho au tuseme usanii likaopolewa Jamhuri ya Muungano wa Tan+Zan+ ia.

Huo ulikuwa uchakachuaji nambari moja, uchakachuaji nambari mbili ni ile sehemu inayoitwa Tanganyika,(iliyofupishwa kuwa Tan kuitwa Bara au Tanzania bara.

Wapi umepata kusikia kuwa mwanachama wa Muungano anapotea?
Muungano wa Tanzania una wanachama wangapi?

UK ambayo inatumia mfumo wa unitary gvt ina wanachama wake, England, Scotland, Wales na annexed-Nothern Ireland.

Usirudi na usanii kusema Tanzania ina wananachama wawili, Bara na Zanzibar.
Umempongeza Barubaru juu ya umuhimu wa elimu. Tumia elimu yako sasa kutafuta jibu hapo. Sio lazima kurudi hapa kujibu.

Ukivunjika Muungano kesho huyu mwanachama aliyeungana na Zanzibar hatotumia jina lake la asili(Tanganyika)?

Katika Muungano yapo mambo yanayoitwa mambo ya Muungano, halafu kuna mambo ambayo kila mwanachama wa Muungano ana mambo yake kivyake. Hutopata tabu kusema kuna mambo ya Zanzibar. Je mambo ya Tanganyika utasema ni mambo ya nani? Bara? Tanzania bara? au ya yule mwanachama aliyeungana na Zanzibar na kukubaliana kuwa kuna mambo hayatokuwa ni mambo ya Muungano?
Hivi Zanzibar iliungana na nani? Basi hayo mambo hapa yatakuwa ya huyu uliyemtaja.

Halafu kitu nisichoweza kufanya kwa haraka katika maisha yangu ya kawaida ni kukimbilia kutoa jibu kwenye suala ambalo najua sina facts...ntaanzia wapi mkuu? .
Mtu hahitaji darubini kuona kuwa msuguano kama ulikuwa haupo Tanganyika basi sasa unajengeka.

Unauliza; "ntaanzia wapi mkuu?"
Barubaru ametahadharisha tusifiche maradhi.
Kuna haya yanayojiri Tanganyika.
1.Ndugu zake Mkandara wanataka mahakama ya kadhi, ambayo ilikuwepo mwanzoni, irejeshwe tena.
2.Kuna shule za kiislamu zinalalamikia matokeo ya mitihani.
3.Kuna BAKWATA wanataka kipengele cha dini ya raia kiingizwe kwenye sensa au itahamasisha waunga mkono wao kususia/ kugomea sensa.
4.Kuna MOU ya serikali na kanisa amabyo inalalamikiwa na wasio na MOU na serikali.
5.Kauli aliyoitaja Barubaru kuhusu Mzee Edwin Mtei na wingi wa wajumbe wa dini moja.
6.Malalamiko ya teuzi anazofanya Kikwete. kwa hili fungua mada zinazotaarifu teuzi za rais hapa JF.
7. Malalamiko kuwa kuna idadi ndogo ya wabunge wa imani moja bungeni.
8. Malalamiko kuwa Serikali inaendeshwa kwa mfumo-kristo.
9. Kauli kuwa CUF ni ya wavaa kanzu chafu na vibaragashia na kauli kuwa CHADEMA ni cha wakristo au watu wa kanda za juu,kaskazini.
10. Kauli zinazotoka za kuwa UAMSHO wanachoma moto makanisa ya "machogo" ambazo pia zinachukua sura ya "waislamu vs wakristo"
11. Kauli za dharau kuhusu/dhidi ya wanamadrasa kwa upande mmoja na "wanaona nchi hii kuwa ni mali yao" kwa upande mwingine.


Hata kama haya yote si kweli, yawe ni matamshi yanayoelea hewani tu, lakini ni vyema kuwa na tahadhari, kwani maumivu ya kichwa huanza pole pole.
Kukana kuwa hakuna msuguano unaojengeka ni kujifanya mbuni. Kuzika kichwa mchangani, udongoni huku mwili wote uko nje!

Pale penye kasoro ni vyema kufanyiwa kazi kurekebisha kasoro hizo kwa manufaa ya jamii.
 
Mapinduzi au utakatifu upo hatarini? kuwa mkweli japo kidogo.
 
Ndahani.

Ahali yangu nimezungumzia skuli sana kwa maana mtu anatakiwa kuwa mdadisi wa mambo na nimekupa masuala mawili naona hukuyaona. nakukumbusha hebu jibu hayo masuala.

Lakin pia nimekubainishi kuwa HUWEZI FICHA HISTORIA na siku zote HISTORIA HUWA INAJIRUDIA. Urithi wa madhara ya Ukoloni kutokana na mfumo wao wa gawanya utawale ilikuwa Ukabila kwa Kenya na Uganda. Na hilo sio siri huko Kenya na Uganda. Znz kuna yao ambayo kwa sasa SMZ imaliona na kulitatua kwa kuunda SUK.

Je Tanganyika kunani?

Kumbuka kuwa najenga hoja zangu kwa kutumia historia na wewe kama unataka nihukumu basi ujue unaihukumu Historia yenu.

Nasubiri majibu ya masuala yangu kwako.


Hivi wewe ni mwarabu? samahani kwa swali hili?
 
Watakapoamka watakuja counter revolution will be complete. Watch carefully, as long as there is the union the revolution of January 12, 1964 will be defended. Outside the union the revolution will be at its weakest and THERE WILL BE a counter revolution. As long as the people of Zanzibar will not defend their own revolution which toppled the monarch and the puppet government against counter-revolution elements their own future is at stake and the gains of the revolution will be abandoned.



It is for this reason, sisi watu wa bara tumechoka kulinda mapinduzi ambayo Wazanzibari wenyewe hawataki kuyalinda; hatutaki Muungano na vyombo vya Muungano viendelee kulinda mapinduzi wakati serikali ya "Mapinduzi" ya Zanzibar ikifikiria na kutoa hata baraka za kubadili jina lake! Hatutaki polisi na JWTZ la Muungano lilinde mapinduzi ambayo halikuyafanya! Wazanzibar walibnde mapinduzi yao nje ya Muungano!!!

Let Zanzibar Go!!!

a. Serikali ya Zanzibar ilete mswada wa kupiga kura ya maoni ili wananchi wa Zanzibar waamue kutoka kwenye Muungano
b. Waweke threshold ya asilimia 80 ya Wazanzibar watakaokubali kutoka basi Zanzibar itatoka kwenye Muungano ASAP
c. Serikali ya Muungano ijiandae kuondoa vyombo vyake Zanzibar na kufanya mpango wa mpito ili nchi ya Zanzibar iweze kujitegemea na kujiendesha.


mlinda mapinduzi na huyo anayelindwa wote hoi,
mtu anapigana na kupata kipande cha muhogo kutwa nzima hajui afanye nini , kuna kufikiria mapinduzi hapo ??

Tumbo linahitaji mapinduzi kwanza ya kupata mlo wa kutosha

mwanakijiji hujasikia madaktari wanadai mshahara zaidi???? kuna kulinda mapinduzi hapo???
 
Watakapoamka watakuja counter revolution will be complete. Watch carefully, as long as there is the union the revolution of January 12, 1964 will be defended. Outside the union the revolution will be at its weakest and THERE WILL BE a counter revolution. As long as the people of Zanzibar will not defend their own revolution which toppled the monarch and the puppet government against counter-revolution elements their own future is at stake and the gains of the revolution will be abandoned.

It is for this reason, sisi watu wa bara tumechoka kulinda mapinduzi ambayo Wazanzibari wenyewe hawataki kuyalinda; hatutaki Muungano na vyombo vya Muungano viendelee kulinda mapinduzi wakati serikali ya "Mapinduzi" ya Zanzibar ikifikiria na kutoa hata baraka za kubadili jina lake! Hatutaki polisi na JWTZ la Muungano lilinde mapinduzi ambayo halikuyafanya! Wazanzibar walibnde mapinduzi yao nje ya Muungano!!!

Let Zanzibar Go!!!

a. Serikali ya Zanzibar ilete mswada wa kupiga kura ya maoni ili wananchi wa Zanzibar waamue kutoka kwenye Muungano
b. Waweke threshold ya asilimia 80 ya Wazanzibar watakaokubali kutoka basi Zanzibar itatoka kwenye Muungano ASAP
c. Serikali ya Muungano ijiandae kuondoa vyombo vyake Zanzibar na kufanya mpango wa mpito ili nchi ya Zanzibar iweze kujitegemea na kujiendesha.

You are missing the point Mwanakijiji, the bigger plan is to weaken the Revolution, and that can easily be achieved by doing away the Union. We are not yet there at the tipping point, but if all becomes clear to the people of isles, come to referendum, it will be 50-50 or somewhere around that. Kwa kuwa in principal Zanzibar is bi-polar, kuna wale wanaotaka kuendeleza utawala wa ki-sultan (CUF na wapemba) na kuna wale wanaotaka heshima na utu kwa wa Afro Shirazi. Kwa kama wakipiga kura katika mazingira ya uwazi bila uchakachuzi itakuwa kama ni kuchagua CUF au CCM. Unajua kwa sasa Seif is in play, baada ya Unity government hajaacha ndoto zake za kuvunja muungano.

Polisi, TISS na JWTZ wakiondoka kule, Seif atachekelea sana, next day ataita kaka zake toka Arabuni.
 
You are missing the point Mwanakijiji, the bigger plan is to weaken the Revolution, and that can easily be achieved by doing away the Union. We are not yet there at the tipping point, but if all becomes clear to the people of isles, come to referendum, it will be 50-50 or somewhere around that. Kwa kuwa in principal Zanzibar is bi-polar, kuna wale wanaotaka kuendeleza utawala wa ki-sultan (CUF na wapemba) na kuna wale wanaotaka heshima na utu kwa wa Afro Shirazi. Kwa kama wakipiga kura katika mazingira ya uwazi bila uchakachuzi itakuwa kama ni kuchagua CUF au CCM. Unajua kwa sasa Seif is in play, baada ya Unity government hajaacha ndoto zake za kuvunja muungano.

Polisi, TISS na JWTZ wakiondoka kule, Seif atachekelea sana, next day ataita kaka zake toka Arabuni.

A counter revolution move is almost perfect... inashangazwa CCM bara na Zanzibar imelala na kudoda; wanafikiria kuwa hili ni kuhusu Muungano; Muungano ni chombo (vehicle) tu ya kushambulia mapinduzi.
 
A counter revolution move is almost perfect... inashangazwa CCM bara na Zanzibar imelala na kudoda; wanafikiria kuwa hili ni kuhusu Muungano; Muungano ni chombo (vehicle) tu ya kushambulia mapinduzi.

I would say that you are very right to the point. Muungano ndio firm defender of revolution probably much more than SMZ, particulary now that there is a unity Government in place. It is becoming evident that there are deliberate efforts to do away with the Union, ndio maana i keep saying tuangalie kwanza manufaa ya Muungano na kwanini ulikuja, kabla ya kuanza kuingia mkenge wa wana uamsho na kutaka kuuvunja. Wana Uamsho wanajua wanataka nini, hawawezi kupandikiza chuki bila kuahidiwa kitu.
 
Ahlan,Mkuu Ndahani

Baada ya maamkizi hayo kwa hisani ya Nguruvi3

Tanganyika ilikwenda wapi baada ya 1964?

Mkuu Tanganyika ilifanyiwa usanii tu.
Je unatambua jina la asili la Muungano? Kama umelisahau, Jamhuri ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar...Jina hili lilifanyiwa uchakachuaji, mizengwe, mazingaombwe, kiini macho au tuseme usanii likaopolewa Jamhuri ya Muungano wa Tan+Zan+ ia.

Huo ulikuwa uchakachuaji nambari moja, uchakachuaji nambari mbili ni ile sehemu inayoitwa Tanganyika,(iliyofupishwa kuwa Tan kuitwa Bara au Tanzania bara.

Wapi umepata kusikia kuwa mwanachama wa Muungano anapotea?
Muungano wa Tanzania una wanachama wangapi?

UK ambayo inatumia mfumo wa unitary gvt ina wanachama wake, England, Scotland, Wales na annexed-Nothern Ireland.

Usirudi na usanii kusema Tanzania ina wananachama wawili, Bara na Zanzibar.
Umempongeza Barubaru juu ya umuhimu wa elimu. Tumia elimu yako sasa kutafuta jibu hapo. Sio lazima kurudi hapa kujibu.

Ukivunjika Muungano kesho huyu mwanachama aliyeungana na Zanzibar hatotumia jina lake la asili(Tanganyika)?

Katika Muungano yapo mambo yanayoitwa mambo ya Muungano, halafu kuna mambo ambayo kila mwanachama wa Muungano ana mambo yake kivyake. Hutopata tabu kusema kuna mambo ya Zanzibar. Je mambo ya Tanganyika utasema ni mambo ya nani? Bara? Tanzania bara? au ya yule mwanachama aliyeungana na Zanzibar na kukubaliana kuwa kuna mambo hayatokuwa ni mambo ya Muungano?
Hivi Zanzibar iliungana na nani? Basi hayo mambo hapa yatakuwa ya huyu uliyemtaja.


Mtu hahitaji darubini kuona kuwa msuguano kama ulikuwa haupo Tanganyika basi sasa unajengeka.

Unauliza; "ntaanzia wapi mkuu?"
Barubaru ametahadharisha tusifiche maradhi.
Kuna haya yanayojiri Tanganyika.
1.Ndugu zake Mkandara wanataka mahakama ya kadhi, ambayo ilikuwepo mwanzoni, irejeshwe tena.
2.Kuna shule za kiislamu zinalalamikia matokeo ya mitihani.
3.Kuna BAKWATA wanataka kipengele cha dini ya raia kiingizwe kwenye sensa au itahamasisha waunga mkono wao kususia/ kugomea sensa.
4.Kuna MOU ya serikali na kanisa amabyo inalalamikiwa na wasio na MOU na serikali.
5.Kauli aliyoitaja Barubaru kuhusu Mzee Edwin Mtei na wingi wa wajumbe wa dini moja.
6.Malalamiko ya teuzi anazofanya Kikwete. kwa hili fungua mada zinazotaarifu teuzi za rais hapa JF.
7. Malalamiko kuwa kuna idadi ndogo ya wabunge wa imani moja bungeni.
8. Malalamiko kuwa Serikali inaendeshwa kwa mfumo-kristo.
9. Kauli kuwa CUF ni ya wavaa kanzu chafu na vibaragashia na kauli kuwa CHADEMA ni cha wakristo au watu wa kanda za juu,kaskazini.
10. Kauli zinazotoka za kuwa UAMSHO wanachoma moto makanisa ya "machogo" ambazo pia zinachukua sura ya "waislamu vs wakristo"
11. Kauli za dharau kuhusu/dhidi ya wanamadrasa kwa upande mmoja na "wanaona nchi hii kuwa ni mali yao" kwa upande mwingine.


Hata kama haya yote si kweli, yawe ni matamshi yanayoelea hewani tu, lakini ni vyema kuwa na tahadhari, kwani maumivu ya kichwa huanza pole pole.
Kukana kuwa hakuna msuguano unaojengeka ni kujifanya mbuni. Kuzika kichwa mchangani, udongoni huku mwili wote uko nje!

Pale penye kasoro ni vyema kufanyiwa kazi kurekebisha kasoro hizo kwa manufaa ya jamii.

Hili si jipya nalijaanza leo wala jana...wavivu wavivu wengi wanalishupalia hili ili liwatoe kimaisha na kimaslahi mjini. Angalia asilimia kubwa wanaokomaa na hili jambo. Hawana la kufanya. Wanaamka asubuhi bila agenda na wanalala bila agenda. Udini huu wanaoutafuta hawataupata...wanajihangaisha nafsi na kujipotezea muda tu. Labda leta hoja nyingine sio hii ya udini ntakuelewa.
 
You are missing the point Mwanakijiji, the bigger plan is to weaken the Revolution, and that can easily be achieved by doing away the Union. We are not yet there at the tipping point, but if all becomes clear to the people of isles, come to referendum, it will be 50-50 or somewhere around that. Kwa kuwa in principal Zanzibar is bi-polar, kuna wale wanaotaka kuendeleza utawala wa ki-sultan (CUF na wapemba) na kuna wale wanaotaka heshima na utu kwa wa Afro Shirazi. Kwa kama wakipiga kura katika mazingira ya uwazi bila uchakachuzi itakuwa kama ni kuchagua CUF au CCM. Unajua kwa sasa Seif is in play, baada ya Unity government hajaacha ndoto zake za kuvunja muungano.

Polisi, TISS na JWTZ wakiondoka kule, Seif atachekelea sana, next day ataita kaka zake toka Arabuni.

kwani kuna ubaya gani Seif kuwaita kaka zake kutoka uarabuni ,

Mbona Mkapa amewaita wazungu na kuwapa migodi kwa bei poa tu ??? Au hao ni ndugu zake ??

Tumeshughulishwa na kazanzibari na propaganda zisizo maana badala ya kuyashughulikia matatizo yetu yanayotuzidi kimo

LET THEM DO WHAT EVER THEY LIKE IT IS THEIR COUNTRY - TUSIWE WACHOYO NA ROHO MBAYA WAKATI TUNA JINCHI LETU KAZANZIBARI KANAINGIA MARA 100 000
 
Hili si jipya nalijaanza leo wala jana...wavivu wavivu wengi wanalishupalia hili ili liwatoe kimaisha na kimaslahi mjini. Angalia asilimia kubwa wanaokomaa na hili jambo. Hawana la kufanya. Wanaamka asubuhi bila agenda na wanalala bila agenda. Udini huu wanaoutafuta hawataupata...wanajihangaisha nafsi na kujipotezea muda tu. Labda leta hoja nyingine sio hii ya udini ntakuelewa.

Wala madai ya wakoloni kutudhulumu hayakuanza mara moja..ilianza na mijadala na ilichukua miaka 100 baadaye wananchi kujikomboa

Madai ya udini yameanza na yanaendelea kushamiri kwa kasi ya ajabu Tanganyika..

Wala katika madai hayo hakuna ambalo si kweli (YOTE ni kweli)

a. MoU ipo na inafaidisha wakristo na miradi yao Wakristo walioko serikalini kwasababu ya udini wao hawawezi kuhoji na hata hapa bungeni hakuna anayethubutu..

b. Teuzi za JK ni za kujipendekeza na maamuzi mengi anashinikizwa na Maaskofu (udhaifu wake mkubwa huu)

Tutafika hatutaacha kusema, japo watasema unavaa suruali fupi, na kejeli zingine..

Aliyeshindwa hoja huwa huanza kejeli badala ya kuongelea ukweli kwa faida na usalama wa taifa..
 
Wala madai ya wakoloni kutudhulumu hayakuanza mara moja..ilianza na mijadala na ilichukua miaka 100 baadaye wananchi kujikomboa

Madai ya udini yameanza na yanaendelea kushamiri kwa kasi ya ajabu Tanganyika..

Wala katika madai hayo hakuna ambalo si kweli (YOTE ni kweli)

a. MoU ipo na inafaidisha wakristo na miradi yao Wakristo walioko serikalini kwasababu ya udini wao hawawezi kuhoji na hata hapa bungeni hakuna anayethubutu..

b. Teuzi za JK ni za kujipendekeza na maamuzi mengi anashinikizwa na Maaskofu (udhaifu wake mkubwa huu)

Tutafika hatutaacha kusema, japo watasema unavaa suruali fupi, na kejeli zingine..

Aliyeshindwa hoja huwa huanza kejeli badala ya kuongelea ukweli kwa faida na usalama wa taifa..

Wewe ndo umeongea kwa faida????????????
 

Mimi nimeishi sana Tanganyika na kubahatika kusomea huko kuanzia skuli darasa la sita Mchikichini, Tambaza Boys sec, Ilboru boys Sec na UDSM na nikapita JKT ruvu na kumalizia Mgulani.
Mkuu Barux2, nadhani wewe ni miongoni mwa watu wanaotakiwa kuwa na shurani kwa muungano, mimi pia ni product ya Tambaza na Ilboru, sipati picha wewe ulikuwa na mwanafunzi wa aina gani?!, ila ninachikijua kuhusu wewe kwa sasa, hayo mafakio yote uliyonayo sasa, yako contributed na Tambaza, Ilboru na JKT!, kwa hili pekee, mtu mwenye shukrani, alipaswa kushukuru na sio kukashifu!.

Kuna mengi yaliyofanywa baada ya mapinduzi, hayatamkiki, hayasemeki, hayazungumziki na hayaandikiki!, subirini muungano uvunjike, kuna wengine watatafuta pa kutokea na njia wasiione!.

Ama kweli, mkataa pema, pabaya panamuita!.

Let Zanzibar Go!

Pasco.
 
Back
Top Bottom