Mapinduzi ya Zanzibar yako hatarini.. Wazanzibari wamelala...

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,463
39,929
Watakapoamka watakuja counter revolution will be complete. Watch carefully, as long as there is the union the revolution of January 12, 1964 will be defended. Outside the union the revolution will be at its weakest and THERE WILL BE a counter revolution. As long as the people of Zanzibar will not defend their own revolution which toppled the monarch and the puppet government against counter-revolution elements their own future is at stake and the gains of the revolution will be abandoned.

It is for this reason, sisi watu wa bara tumechoka kulinda mapinduzi ambayo Wazanzibari wenyewe hawataki kuyalinda; hatutaki Muungano na vyombo vya Muungano viendelee kulinda mapinduzi wakati serikali ya "Mapinduzi" ya Zanzibar ikifikiria na kutoa hata baraka za kubadili jina lake! Hatutaki polisi na JWTZ la Muungano lilinde mapinduzi ambayo halikuyafanya! Wazanzibar walibnde mapinduzi yao nje ya Muungano!!!

Let Zanzibar Go!!!

a. Serikali ya Zanzibar ilete mswada wa kupiga kura ya maoni ili wananchi wa Zanzibar waamue kutoka kwenye Muungano
b. Waweke threshold ya asilimia 80 ya Wazanzibar watakaokubali kutoka basi Zanzibar itatoka kwenye Muungano ASAP
c. Serikali ya Muungano ijiandae kuondoa vyombo vyake Zanzibar na kufanya mpango wa mpito ili nchi ya Zanzibar iweze kujitegemea na kujiendesha.
 
Watakapoamka watakuja counter revolution will be complete. Watch carefully, as long as there is the union the revolution of January 12, 1964 will be defended. Outside the union the revolution will be at its weakest and THERE WILL BE a counter revolution. As long as the people of Zanzibar will not defend their own revolution which toppled the monarch and the puppet government against counter-revolution elements their own future is at stake and the gains of the revolution will be abandoned.

It is for this reason, sisi watu wa bara tumechoka kulinda mapinduzi ambayo Wazanzibari wenyewe hawataki kuyalinda; hatutaki Muungano na vyombo vya Muungano viendelee kulinda mapinduzi wakati serikali ya "Mapinduzi" ya Zanzibar ikifikiria na kutoa hata baraka za kubadili jina lake! Hatutaki polisi na JWTZ la Muungano lilinde mapinduzi ambayo halikuyafanya! Wazanzibar walibnde mapinduzi yao nje ya Muungano!!!

Let Zanzibar Go!!!

a. Serikali ya Zanzibar ilete mswada wa kupiga kura ya maoni ili wananchi wa Zanzibar waamue kutoka kwenye Muungano
b. Waweke threshold ya asilimia 80 ya Wazanzibar watakaokubali kutoka basi Zanzibar itatoka kwenye Muungano ASAP
c. Serikali ya Muungano ijiandae kuondoa vyombo vyake Zanzibar na kufanya mpango wa mpito ili nchi ya Zanzibar iweze kujitegemea na kujiendesha.

Ya leo kali ndugu yangu ....:wink2:
 
Mzee wangu upo mbali na matukio, wazanzibar hawana shida na hayo so called mapinduzi daima.

Hoja ya leo Baraza la wawakilishi, iliyoanzishwa na JUSSA, ni kuhusu kurudishwa Jamuhuri ya watu wa zanzibar na kufuta neno serikali ya mapinduzi ya zanzibar.
Waziri wa sheria ameeleza very clear, kuwa jina hilo linaweza kurudishwa tena bila zengwe, na hakuna mwakilishi aliyebisha wala kunung'unika. hii ina maana gani?
 
Mzee wangu upo mbali na matukio, wazanzibar hawana shida na hayo so called mapinduzi daima.

halafu

Hoja ya leo Baraza la wawakilishi, iliyoanzishwa na JUSSA, ni kuhusu kurudishwa Jamuhuri ya watu wa zanzibar na kufuta neno serikali ya mapinduzi ya zanzibar.
Waziri wa sheria ameeleza very clear, kuwa jina hilo linaweza kurudishwa tena bila zengwe, na hakuna mwakilishi aliyebisha wala kunung'unika. hii ina maana gani?
 
Hakuna kitu kibaya kinachotusumbua waafrika kama kutotaka kufikiri kwa kutumia vichwa vyetu. Muungano ndio unaolinda yale mapinduzi...wenye hela na nguvu wataichukua nchi yao the moment muungano utakapoondoka. Ila kama kawaida, aliye na masikio na asikie...maana tunaona fahari kulumbana bila kuleta hoja....as if maneno yamewahi kutengeneza bomu kama la nyuklia.
 
The old fashioned slogan (mostly used by church mission fanatics) especially nyerere follows;

1. kuwatisha wazenj eti bila muungano watapigana ebo..mnachosha kwa unafiki

2. Eti sultani atarudi ikiwa muungano utafika kikomo ebo.. mnachosha kwa unafiki na ujinga..

3. Eti wazanzibar wamelala mapinduzi yako hatarini ebo..mapinduzi walikuwa na faida gani?? hakuna anayesema ..mnachosha kwa unafiki na uadui wenu kwa wazenj..mna nini nyie??

Mwanakijiji, nyerereism camp, catholics camps..mnachosha kwa chuki zenu kwa wazenj
 
Watakapoamka watakuja counter revolution will be complete. Watch carefully, as long as there is the union the revolution of January 12, 1964 will be defended. Outside the union the revolution will be at its weakest and THERE WILL BE a counter revolution. As long as the people of Zanzibar will not defend their own revolution which toppled the monarch and the puppet government against counter-revolution elements their own future is at stake and the gains of the revolution will be abandoned.

It is for this reason, sisi watu wa bara tumechoka kulinda mapinduzi ambayo Wazanzibari wenyewe hawataki kuyalinda; hatutaki Muungano na vyombo vya Muungano viendelee kulinda mapinduzi wakati serikali ya "Mapinduzi" ya Zanzibar ikifikiria na kutoa hata baraka za kubadili jina lake! Hatutaki polisi na JWTZ la Muungano lilinde mapinduzi ambayo halikuyafanya! Wazanzibar walibnde mapinduzi yao nje ya Muungano!!!

Let Zanzibar Go!!!

a. Serikali ya Zanzibar ilete mswada wa kupiga kura ya maoni ili wananchi wa Zanzibar waamue kutoka kwenye Muungano
b. Waweke threshold ya asilimia 80 ya Wazanzibar watakaokubali kutoka basi Zanzibar itatoka kwenye Muungano ASAP
c. Serikali ya Muungano ijiandae kuondoa vyombo vyake Zanzibar na kufanya mpango wa mpito ili nchi ya Zanzibar iweze kujitegemea na kujiendesha.

Tangu mwanzo niliuliza wanataka Zanzibar huru wanataka "Uhuru wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) au wanataka uhuru wa Jamhuri ya Zanzibar?
 
Hakuna kitu kibaya kinachotusumbua waafrika kama kutotaka kufikiri kwa kutumia vichwa vyetu. Muungano ndio unaolinda yale mapinduzi...wenye hela na nguvu wataichukua nchi yao the moment muungano utakapoondoka. Ila kama kawaida, aliye na masikio na asikie...maana tunaona fahari kulumbana bila kuleta hoja....as if maneno yamewahi kutengeneza bomu kama la nyuklia.

Mapinduzi yanalindwa kwasababu gani?

Muungano (Tanganyika) ndio ulileta mapinduzi??

Kumbe ndio maana wazenj hawataki hayo mapinduzi ya kulindwa na watu wengine zaidi ya wao wenyewe..
 
Mlipo wapa wapemba waongoze kisiwa mlitegemea nini? Cuf anaonyesha makucha yake ambayo miaka yote aliyaficha ya Ubinafsi uliompatia mwenza wake ccm ili kisiwa cha unguja kisitawalike, Mwendawazimu amekabidhiwa RUNGU tegemea kilio
 
nyinyi wachangiaji wa bara kwa kweli zanzibar yenyewe hamuijui mnaisoma tu ya 64, zanzibar hakukuwa na mapinduzi zilikua ni fitna tu za nyerere kutaka kuufuta uislamu kama alivomuondoa idd amini. walikodiwa watu kwenda kufanya mapinduzi wakati watu walikua wametulia.
 
Mapinduzi yanalindwa kwasababu gani?

Muungano (Tanganyika) ndio ulileta mapinduzi??

Kumbe ndio maana wazenj hawataki hayo mapinduzi ya kulindwa na watu wengine zaidi ya wao wenyewe..
Kaka nisaidie, hao wazenj ni watu gani?
 
MKJJ, honestly do you really care?
Most Tanganyikans are beyond caring for these people, we've carried their bags for much too long!
 
MKJJ, honestly do you realy care?
Most Tanganyikans are beyond caring for these people, we've carried their bags for much too long!

Really? mwanakijiji and his fellows (st. nyerere follows) wana mission to accomplish in Zanzibar

Ndio maana yeye, karugendo (padre) and the like....wanaandika kwa majina tofauti tofauti ili kuwatisha wazanzibar..their argument centred on three PATHETIC issues

a. eti wazanzibar wataua bila muungano ebo? b. eti sultani atarudi bila muungano ebo?? c. eti mapinduzi yanataka kupinduliwa?? bila kutaja nani alipindua in the first place?? (assuming ni wazanzibar si waache walinde??)

Waislam wa Tanganyika tunaombwa wazanzibar Allah awajaalie na kuwafanyia wepesi wapate nchi yao..

Wakristo wa Tanganyika wanan'angania Zanzibar sijui kwanini??
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom