Gwalihenzi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 5,125
- 1,300
Wazanzibar wote huitwa wazenj?Wazanzibar
Wazanzibar wote huitwa wazenj?Wazanzibar
nyinyi wachangiaji wa bara kwa kweli zanzibar yenyewe hamuijui mnaisoma tu ya 64, zanzibar hakukuwa na mapinduzi zilikua ni fitna tu za nyerere kutaka kuufuta uislamu kama alivomuondoa idd amini. walikodiwa watu kwenda kufanya mapinduzi wakati watu walikua wametulia.
nyinyi wachangiaji wa bara kwa kweli zanzibar yenyewe hamuijui mnaisoma tu ya 64, zanzibar hakukuwa na mapinduzi zilikua ni fitna tu za nyerere kutaka kuufuta uislamu kama alivomuondoa idd amini. walikodiwa watu kwenda kufanya mapinduzi wakati watu walikua wametulia.
Mzee Mwanakijiji,Kinachofanywa - na labda kwa haki - ni kuwa Wazanzibari wanaambiwa mapinduzi hayakuwa sahihi; yalikuwa ni makosa na sasa wanataka kusahihisha makosa hayo. Na wana CCM wa Zanzibar (watu wa ASP) wamekubali kuwa mapinduzi ya kumng'oa Sultani na serikali ya Shamte yalikuwa ni makosa.
Wakati umefika kwa Serikali ya Jamhuri ya Zanzibar kumuomba radhi Sultani na uzao wake na kuwaomba radhi wale wote walioathirika na mapinduzi. Hii ni pamoja na kuandaa namna ya kuwalipa wale waliopoteza ndugu zao na mali zao.
Watakapoamka watakuja counter revolution will be complete. Watch carefully, as long as there is the union the revolution of January 12, 1964 will be defended. Outside the union the revolution will be at its weakest and THERE WILL BE a counter revolution. As long as the people of Zanzibar will not defend their own revolution which toppled the monarch and the puppet government against counter-revolution elements their own future is at stake and the gains of the revolution will be abandoned.
It is for this reason, sisi watu wa bara tumechoka kulinda mapinduzi ambayo Wazanzibari wenyewe hawataki kuyalinda; hatutaki Muungano na vyombo vya Muungano viendelee kulinda mapinduzi wakati serikali ya "Mapinduzi" ya Zanzibar ikifikiria na kutoa hata baraka za kubadili jina lake! Hatutaki polisi na JWTZ la Muungano lilinde mapinduzi ambayo halikuyafanya! Wazanzibar walibnde mapinduzi yao nje ya Muungano!!!
Let Zanzibar Go!!!
a. Serikali ya Zanzibar ilete mswada wa kupiga kura ya maoni ili wananchi wa Zanzibar waamue kutoka kwenye Muungano
b. Waweke threshold ya asilimia 80 ya Wazanzibar watakaokubali kutoka basi Zanzibar itatoka kwenye Muungano ASAP
c. Serikali ya Muungano ijiandae kuondoa vyombo vyake Zanzibar na kufanya mpango wa mpito ili nchi ya Zanzibar iweze kujitegemea na kujiendesha.
Nadhani hata huku bara rais Kikwete anaona kuwa mapinduzi ya mwaka 1964 yalikuwa ni makosa. Kama sivyo kwa nini amekaa kimya na wakati alikula kiapo kulinda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania? Tafakari.Kinachofanywa - na labda kwa haki - ni kuwa Wazanzibari wanaambiwa mapinduzi hayakuwa sahihi; yalikuwa ni makosa na sasa wanataka kusahihisha makosa hayo. Na wana CCM wa Zanzibar (watu wa ASP) wamekubali kuwa mapinduzi ya kumng'oa Sultani na serikali ya Shamte yalikuwa ni makosa.
Wakati umefika kwa Serikali ya Jamhuri ya Zanzibar kumuomba radhi Sultani na uzao wake na kuwaomba radhi wale wote walioathirika na mapinduzi. Hii ni pamoja na kuandaa namna ya kuwalipa wale waliopoteza ndugu zao na mali zao.
Hakuna kitu kibaya kinachotusumbua waafrika kama kutotaka kufikiri kwa kutumia vichwa vyetu. Muungano ndio unaolinda yale mapinduzi...wenye hela na nguvu wataichukua nchi yao the moment muungano utakapoondoka. Ila kama kawaida, aliye na masikio na asikie...maana tunaona fahari kulumbana bila kuleta hoja....as if maneno yamewahi kutengeneza bomu kama la nyuklia.
mm naona kama majority ya wazenji hawapendi kuongelea kitu mapinduzi niliwahi kuishi kule zenji wakati wa siku za sherehe za mapinduzi vijana wengi huwa hawahudhurii sherehe zile wanaona bora wapate ganja zao na kwenda beach ku Chill out:hand:
mwanakijiji maelezo yako huwa sahihi kwakiwango kikubwa ila nasahihisha hili la majeshi .kwani JWTZ ni pamoja na hao wazanzibar ndio likaitwa hivyo na pia wanajeshi wa upande huo wameshiriki kikamilifu kuilinda Tanzania ikiwemo vita vya uganda na pia vya msumbiji hivi vya renamo nimeona kwa macho yangu mtwara makaburi mchanganyiko yapo .sasa ni vyema uka waamsha wazanzibar na ujanja unaopita hivi sasa na masikini hawajaelewa janja iliopo ya kubadili mapinduzi kwa njia ya ujanja .sio wote wanaotaka muungano uvunjike hawa wana wa ASP wapo lakini masikini nguvu zao zimepunguzwa wamebaki wakisikitika kwa chini chini .ole wao ole wao iko siku sio mbali zanzibar inawezekana iwe hapatoshi pindi hao wana wa ASP ambao wamekuwa wana CCM wakisema sasa basi, basi utaandika mambo mengine sio hayo .tuombe Mungu marais JK na Shein nao wataamka kwa haraka kuzuiya kero hii ya hao wasiotaka muungano .mie ni mkereketwa wa hali ya juu lakini iko siku ukiona maji yanayochemshwa hayangurumi kwenye sufuria ujue hayajawiva sasa tuombe mungu yasichemke kwani itakuwa hatari .endelea kuwa elimisha lakini na wewe punguza jazba. ushauri wa bure wazanzibar wasubiri kamati ya Warioba wa ende wakaeleze yote hata kama hawataki muungano pia waeleze hebu wawe wastaarabu wasiigeuze zanzibar kuwa afghanistan
niliwahi kumuuliza mjamaa flani kuhusu mapinduzi akanijibu kuwa yale Mapinduzi yalipangwa na watawala wa Tanganyika Wajerumani na waengereza wakati bado wakiwa katika Serikali ya Tanganyika baada ya uhuru 1961 na kumtumia Nyerere kufanya njama zile Nyerere na baada ya Mapinduzi wazungu wakamtumia tena Nyerere kwenda kumdanganya Karume kama wakoloni wanafanya mipango ya kwenda kumpindua ndio akamwambia bora waunganishe
Vipi ant unatype kwa keyboard kama una maumivi ya kichwa au vipi?
ninavyowajua wana ASP asili na wana mapinduzi wengi na watoto zao wamebadilika wanataka Jamhuri ya watu wa Zanzibar irudi..kama ilivyokuwa kabla ya muungano hasa mtu kama Mzee Nassor Moyo alikuwa Judge mkuu wa mwanzo wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar na shahidi wa siku ya kutia saini ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar!!wengine ni amani karume,Mansour himid mtoto wa mwana mapinduzi late Yussuf himid bi asha bakari mwana asili wa ASP
ukitaka majina ya wana ASP asili wengine wanataka jamhuri ya watu wa zanzibar irudi feel free to ask:hand:
Vipi ant unatype kwa keyboard kama una maumivi ya kichwa au vipi?
ninavyowajua wana ASP asili na wana mapinduzi wengi na watoto zao wamebadilika wanataka Jamhuri ya watu wa Zanzibar irudi..kama ilivyokuwa kabla ya muungano hasa mtu kama Mzee Nassor Moyo alikuwa Judge mkuu wa mwanzo wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar na shahidi wa siku ya kutia saini ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar!!wengine ni amani karume,Mansour himid mtoto wa mwana mapinduzi late Yussuf himid bi asha bakari mwana asili wa ASP
ukitaka majina ya wana ASP asili wengine wanataka jamhuri ya watu wa zanzibar irudi feel free to ask:hand:
Sawa sawa, nina kaswali kadogo. Hivi Jamhuri ya watu wa Wazanzibar ikirudi baraza la mapinduzi litavunjwa?Vipi ant unatype kwa keyboard kama una maumivi ya kichwa au vipi?
ninavyowajua wana ASP asili na wana mapinduzi wengi na watoto zao wamebadilika wanataka Jamhuri ya watu wa Zanzibar irudi..kama ilivyokuwa kabla ya muungano hasa mtu kama Mzee Nassor Moyo alikuwa Judge mkuu wa mwanzo wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar na shahidi wa siku ya kutia saini ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar!!wengine ni amani karume,Mansour himid mtoto wa mwana mapinduzi late Yussuf himid bi asha bakari mwana asili wa ASP
ukitaka majina ya wana ASP asili wengine wanataka jamhuri ya watu wa zanzibar irudi feel free to ask:hand:
Sawa sawa, nina kaswali kadogo. Hivi Jamhuri ya watu wa Wazanzibar ikirudi baraza la mapinduzi litavunjwa?
Lazima myalinde maana nyie ndio mliopindua! .
Nyereist yeyote hawezi kupinga Muungano, kwa hili suala Unyerere ulishamshinda Mwanakijiji zamani, wakati tunapigania haki na maslahi ya Watanzania Bara miaka yote hapa JF Mwanakijiji alitupinga vikali, aliweka mbele symbolism na utukufu wa "Baba wa Taifa."Mwanakijiji, nyerereism camp, ....mnachosha kwa chuki zenu kwa wazenj