Hiyo ni automatic notification kabisa..😄Popote atakapotajwa Mungu ni kama unakuwa notified 🤔
Aisee !! Ndugu yangu ndio kwanza Jana nimetoka kuchukua Hela ya loan taratibu basiii dah !!
😁😁😁 Sijajiandaa vyema Kwa vita LeoMalizia tu paanze kuchangamka.. 😂 kuna mafaili yana hamu ya kuliona jua la meimosi😂
Dahh 🤣To!🤣
Niajiri niwe nakutumia direct kabisa mkuu😅Hiyo ni automatic notification kabisa..😄
Uwee hapana!🤣Hiyo sio total celibacy.. Ni partial kwahiyo haina shida😀
Mtu anapinga wenzie kujiuza/kudanga jf wakati na yeye anataka,analombwa freshy tu ila wenzie aanh! Matokeo yake anakuja na id nyingine kuiuza waziwazi! pepo la umalaya wa kimya kimya hili🤣Pepo la unafiki -mtu anapinga kitu hadharani, faraghani anakifanya kimya kimya.
Na kubwa kuliko yote ni pepo la kutokujitambua—ndilo mama wa yote.
Coz I’ve tried it several times🥹Sasa umejuaje😂
Unapenda sana kusisitiza wanafique wako wakifika waanze kunichambua kama wamenizaa😏...several times...📌🔨 Good trials😁
Boss unawaza JD asubuhi asubuhi😁Pepo la ujuaji, JD karibia kila mtu ni mjuaji😂
🤣🤣Niajiri niwe nakutumia direct kabisa mkuu😅