Mapepo ya JF

Mapepo ya JF

Hilo halina tiba ni pepo la ujana ni pepo la kiumeni.. Lina baraka zakešŸ¤£šŸ™ŒšŸæ
Babu yetu mshua wetu mfalme Suleiman alikuwa na wake halali wa ndoa 700 lakini bado akawa na michepuko 300 na bado akamgonga mke wa mjakazi wake!šŸ˜‚
Hivi siku zake za uzeeni hakutembelea mkongojo kweli?Maana centre bolt yake sijui kama haikupata rabsha!
 
Hivi siku zake za uzeeni hakutembelea mkongojo kweli?Maana centre bolt yake sijui kama haikupata rabsha!

Biblia inaeleza kuwa Sulemani alikufa kwa amani baada ya uongozi wa miaka 40 na kuzikwa katika Mji wa Daudi. Wasomi wanakadiria alikuwa na umri wa kati ya miaka 60 hadi 80 wakati anafariki
 
Hakuna mapepo.

Hakuna Mungu.
4dd55855899fd1200112468106cdb239.jpg
 
Back
Top Bottom