Ngoja waunge bando!š¤£Wanafique WangušView attachment 3582253
Utaambiwa tafuta helašššUtajiri ....
Ukileta story yako ya ufukara humu , jumbe utakazopewa ni aidha kuchekwa ama ule ushauri wa kuonewa hruma as If kila mtu ni tajeeer.
...njoo kwenye uhalisia sasa...pangu pakavu tule mchuzi
Mkuu uzi wako hujaetendea haki, maana pepo kuu kuliko yote hujalitaja!Pepo la umbea/udaku (mafaili buku)
Pepo la kukataa ndoa
Pepo la kujichua
Pepo la uchawa
Pepo la upigaji
Pepo la uzushi
Pepo la ushoga
Ongezea yaliyosahaulika
NB: pepo la ushirikina, uchawi na ulozi limedhoofika sana baada ya wadau wake kutubu na kuokoka
šššMi anilenge tu shabaha, nakaa pale mbele kwa hiari yangu.
Pepo la kuanzisha uzi alfajiri wenzio tukiwa morning glory.Pepo la umbea/udaku (mafaili buku)
Pepo la kukataa ndoa
Pepo la kujichua
Pepo la uchawa
Pepo la upigaji
Pepo la uzushi
Pepo la ushoga
Ongezea yaliyosahaulika
NB: pepo la ushirikina, uchawi na ulozi limedhoofika sana baada ya wadau wake kutubu na kuokoka
Aaaah yaani uvuruge mwenyewe then unisingizie mimi kweli!! Shindwaaaaaš¤£š¤£Umefanya fitina mpaka nimeachwa halafu unaniringishia.. SikubaliiiiView attachment 3582269
Amina kubwaaaa !Wote tusemee AAAMEEEN
Mwanaume hana tawi la kushika kwakweli. Ni kujipambania mwenyewe tušš