Mapenzi yanauma jamani

Mapenzi yanauma jamani

Huu ndio uongo ambao wengi huwa wanadanganyana.

Pesa inasaidia kuficha uharisia mbele za macho ya watu tu lakin ukwel unabaki pale pale
Ndo maana hata wenye hela huishia kujiua japo kwa nje wanaonekana kuwa na furaha na wameyapatia maisha.

Kwenye hii ishu ni kuupa muda nafasi yake na kupona taratibu vinginevyo kuna hatari ya kubakia bitter na mwenye makovu ya kudumu.
 
Mkuu
Nilikuwa naona mafala wanaolia na mapenzi

Nilikuwa naona kama wadhaifu au wana roho za kidada!!

Sasa mgumu yamenikuta
Juzi nimemfuma mpenzi na namba za jamaa kitombiii sana hapq mtaani!!

Na nilishasikiaga kama jamaa kapga mademu wote akiwemo huyu mpenzi wangu!!! Nikajua tetesi tu

Tulivoingia kwene mahusiano kanihakikishia niko mwenyewe kwanza mi ndo mpenzi wake wa pili!!

Eeh juzi nimeshika simu yake nikakuta namba imeandikwa jina la yule jamaa nikasala kumuuliza akapanik tukazinguana.

Kila mtu kaenda kivyake!!

Wiki sasa imepta sijamtafuta nimefuta na namba zake !!

Ila naumia aisee !! Kuna namna kanizoesha nai nai ambazo ckua nimezoea!! Sasa najaribu kujiweka busy namsahau sekunde nikikumbuka naaaumia!!! Stress
Kaa zote

Kuna muda nataman anitafute aniombe msamaha yaishe!! ila ndo hivo kanilia buyu

Aisee hamna mgumu mapenzi yanauma
Mwenzio imenikuta jana usiku ivo ivo uziwako sipunguzi kitu apo sema tofauti ni kwamba mm uyu manzi wangu ndio kama wanaanza ila leo full kushinda kwangu anajipendekeza kwa kila jambo afu mzee najifanya kama sija mind ...dah kaka moto ninao sikia moyon acha tuu . Kweli aya makitu hayana mbabe nimekubali mkuu
 
Mkuu

Mwenzio imenikuta jana usiku ivo ivo uziwako sipunguzi kitu apo sema tofauti ni kwamba mm uyu manzi wangu ndio kama wanaanza ila leo full kushinda kwangu anajipendekeza kwa kila jambo afu mzee najifanya kama sija mind ...dah kaka moto ninao sikia moyon acha tuu . Kweli aya makitu hayana mbabe nimekubali mkuu
Haina makombo na wewe kula tuu
 
Nilikuwa naona mafala wanaolia na mapenzi

Nilikuwa naona kama wadhaifu au wana roho za kidada!!

Sasa mgumu yamenikuta
Juzi nimemfuma mpenzi na namba za jamaa kitombiii sana hapq mtaani!!

Na nilishasikiaga kama jamaa kapga mademu wote akiwemo huyu mpenzi wangu!!! Nikajua tetesi tu

Tulivoingia kwene mahusiano kanihakikishia niko mwenyewe kwanza mi ndo mpenzi wake wa pili!!

Eeh juzi nimeshika simu yake nikakuta namba imeandikwa jina la yule jamaa nikasala kumuuliza akapanik tukazinguana.

Kila mtu kaenda kivyake!!

Wiki sasa imepta sijamtafuta nimefuta na namba zake !!

Ila naumia aisee !! Kuna namna kanizoesha nai nai ambazo ckua nimezoea!! Sasa najaribu kujiweka busy namsahau sekunde nikikumbuka naaaumia!!! Stress
Kaa zote

Kuna muda nataman anitafute aniombe msamaha yaishe!! ila ndo hivo kanilia buyu

Aisee hamna mgumu mapenzi yanauma
Me ndo maana nliona bora nijiunge chama la watendaji na sio ili chama la kulia lia......hapa nmetoka mchapia kidume mwenzang dem wake ambae ni ex wang.....namsaidia majukumu maana yupo mbali na anamtolea mahali.mapenzi konyo
 
1.Epuka kudate na pisi kali zaidj yaani tafuta demu wa kawaida,

2.epuka kusikilizia Sana,ile kitu muda mwingine sex aombe yeye.wengine hushindwa kumtamkia mwanamume ila wewe tengeneza mazingira ili mradi aanze yeye

3.kuwa busy siyo unamtext kila muda mara video call huko wasapu .wakati mwingine subiri akutafute

4.Usikurupuke tengeneza mazingira ya kupendwa na siyo kupenda hapa panawasumbua wengi mno

5.Kuwa mwenye mikato mwanamume wa kweli hawi muongeaji

6.Mpe Hela,mpe pesa,Naaam! Mpatie vitu anavyopendelea
 
Tafuta hela kenge wewe, wanaume wenye pesa hawana muda wa kulialia kwenye mapenzi.
kama mond platnams, anakuambia; "mi siwatafuti, wananitafuta wao, ukitaka kusepa wee sepa watakuja wengine, nawala na wao wakizingua wapite kule sina time, sibembelezi mtu mzima".

Hapa ndo nilipoonaga uanaume wa dimond, nilikuwa sitaki hata kuskia nyimbo zake, nikaanzaga na kuzisikiliza sasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom