kingkongtz
JF-Expert Member
- Dec 28, 2019
- 1,059
- 3,646
mkuu ukisema hivyo ujue moyo wako hujakutana na mtu unayempenda bali umemtamani tu.Ni udhaifu mkubwa sana mwanaume kuteswa na kulia kisa mapenzi.
Nyie watu mpo very weak emotionally. Inakuwaje mnapenda penda mpaka mnaumizwa na kulia lia? Mbona mimi sipo hivyo wakuu?
asikudanganye mtu et unaweza kujizuia ukampenda kidogo,kwanza moyo haupangiwi labda utakuw unapunguza zile tabia kama kupiga piga simu,sms za kila mara,mazoea ya kila muda,ila moyo umeshapenda.
ila mwanaume kufikia hatua ya kulia mbele ya demu aisee hii level unakuwa umelogwa (unalia kabsa unatoa na kwikwi
)
