Sinanjema
JF-Expert Member
- Dec 11, 2017
- 286
- 522
Omba msamaha,mvute karibu alafu mpotezee taratibu.hizo ndo mbinu zetu sisi wahuniUjue nashindwa kuomba msamaha kwasababu hata sijakosa mm!! Unaombaje msamaha na huna makosa
Omba msamaha,mvute karibu alafu mpotezee taratibu.hizo ndo mbinu zetu sisi wahuniUjue nashindwa kuomba msamaha kwasababu hata sijakosa mm!! Unaombaje msamaha na huna makosa
Dogo ni under 20 Mr nainai 🤪🤪🤪Pole sana mr.nainai
Mie muuza majeneza, sasa msipotafuta pesa mnafikiri nitakula polisi?Kwanini unataka pesa za wanaume wenzako mkuu?
Huoni kwamba watakushikisha ukuta kirahisi sana aisee.
Take care mkuu.
Ndio nilichosema mimi. Unakuwaje mdhaifu kiasi hicho mkuu?Weak ni kushindwa ku handle situation kupenda sio weakness bali kushindwa kujidhibiti.
Siko weak maana sijashindwa hivi unaelewa ndugu!..Ndio nilichosema mimi. Unakuwaje mdhaifu kiasi hicho mkuu?
point noted.afu ninyi ndo wanaume legelege nyie, mnatuaibisha wanaume. Unalialia nini mtoto wa kiume, acha mambo ya kishoga, tafta mwingine wanawake wapo kibao mpaka kero.
Mwanaume unatakiwa uwe mgumu na maamuzi na msimamo.
We fala kweli, demu kishakuonyesha kuwa ni kicheche na bado unataka akurudie....si bora ukanunue tu Wahaya wa Tandale, ujichapie bila kujipa stress za kujitakia.Nilikuwa naona mafala wanaolia na mapenzi
Nilikuwa naona kama wadhaifu au wana roho za kidada!!
Sasa mgumu yamenikuta. Juzi nimemfuma mpenzi na namba za jamaa kicheche sana hapa mtaani!!
Na nilishasikiaga kama jamaa kapga mademu wote akiwemo huyu mpenzi wangu!!! Nikajua tetesi tu
Tulivoingia kwene mahusiano kanihakikishia niko mwenyewe kwanza mi ndo mpenzi wake wa pili!!
Eeh juzi nimeshika simu yake nikakuta namba imeandikwa jina la yule jamaa nikasala kumuuliza akapanik tukazinguana.
Kila mtu kaenda kivyake!!
Wiki sasa imepta sijamtafuta nimefuta na namba zake !!
Ila naumia aisee !! Kuna namna kanizoesha nai nai ambazo ckua nimezoea!! Sasa najaribu kujiweka busy namsahau sekunde nikikumbuka naaaumia!!! Stress
Kaa zote
Kuna muda nataman anitafute aniombe msamaha yaishe!!ila ndo hivo kanilia buyu
Aisee hamna mgumu mapenzi yanauma![]()
Hongera kwa kutozinguliwa Mkuu ..Mimi sijawahi kuwa na fake love na sijawahi kuwa na parallel relationships hata siku moja. Nikipenda napenda kwa dhati lakini huwa sizinguliwi mkuu.
Pole sanasio kama usipoandika ndio utaonekana mwamba .
Linapokuja swala la mapenzi sisi sote ni wamoja tu.
Napita kwenye situation kama yako mzee
Tumepishana muda tu
Me naenda wiki ya pili hi![]()
Pole sana mjubah😅 hii mambo ya ma Luv ni kisanga etisio kama usipoandika ndio utaonekana mwamba .
Linapokuja swala la mapenzi sisi sote ni wamoja tu.
Napita kwenye situation kama yako mzee
Tumepishana muda tu
Me naenda wiki ya pili hi![]()
He he he he he,,,humu jf wangetupa option ya ku attach gif 😀😀😀 kama whatsapp!🤣🤣 nicheke kwanza maana wengine tukiandikaga humu tunaonekana maboya haya Sasa umeshikwa panapostahili kushikwa na bado utanyooshwa Bata wewe.. watu wamafumania kabisa we unashika namba tu kelele nyingi hivi!! Tulia wakuchezeshe ngoma ya lidende..😜
Ni swala la muda tu mzee na uzi utauleta mwenyewe hapa! Walikuwapo wajanja kama kina Napoleone ila nao wametubu jukwaani 😅😅😅 japo walikazaga kuwa kulia haiwezekani😅Nilishaapa ,, nitalia kwa kitu kingine au kupigwa ila sio nilie kisa mapenzi... So God help me
MÊmENtO HoMO
Hela unazo au unaleta ukichaa tu!? 😅😅😅 Kiburi bila hela ni wendawazimuNaogopa ataniumiza zaid ataona kama mm ndo nimedoda!!
Shida nna kiburi fulan cha ukooo