Mapenzi yanauma jamani

Mapenzi yanauma jamani

Kwanini unataka pesa za wanaume wenzako mkuu?

Huoni kwamba watakushikisha ukuta kirahisi sana aisee.

Take care mkuu.
Mie muuza majeneza, sasa msipotafuta pesa mnafikiri nitakula polisi?
 
Ukiwa mzembe kihisia hivi hakuna mwanamke atakulewa. Unakuwaje mzembe hivi?! Ina maana kichwa chako kinawaza mapenzi badala ya maisha sasa mwanamke gani atakuhitaji wewe?!
 
afu ninyi ndo wanaume legelege nyie, mnatuaibisha wanaume. Unalialia nini mtoto wa kiume, acha mambo ya kishoga, tafta mwingine wanawake wapo kibao mpaka kero.

Mwanaume unatakiwa uwe mgumu na maamuzi na msimamo.
point noted.
 
Nilikuwa naona mafala wanaolia na mapenzi

Nilikuwa naona kama wadhaifu au wana roho za kidada!!

Sasa mgumu yamenikuta. Juzi nimemfuma mpenzi na namba za jamaa kicheche sana hapa mtaani!!

Na nilishasikiaga kama jamaa kapga mademu wote akiwemo huyu mpenzi wangu!!! Nikajua tetesi tu

Tulivoingia kwene mahusiano kanihakikishia niko mwenyewe kwanza mi ndo mpenzi wake wa pili!!

Eeh juzi nimeshika simu yake nikakuta namba imeandikwa jina la yule jamaa nikasala kumuuliza akapanik tukazinguana.

Kila mtu kaenda kivyake!!

Wiki sasa imepta sijamtafuta nimefuta na namba zake !!

Ila naumia aisee !! Kuna namna kanizoesha nai nai ambazo ckua nimezoea!! Sasa najaribu kujiweka busy namsahau sekunde nikikumbuka naaaumia!!! Stress
Kaa zote

Kuna muda nataman anitafute aniombe msamaha yaishe!! ila ndo hivo kanilia buyu

Aisee hamna mgumu mapenzi yanauma
We fala kweli, demu kishakuonyesha kuwa ni kicheche na bado unataka akurudie....si bora ukanunue tu Wahaya wa Tandale, ujichapie bila kujipa stress za kujitakia.
 
🤣🤣 nicheke kwanza maana wengine tukiandikaga humu tunaonekana maboya haya Sasa umeshikwa panapostahili kushikwa na bado utanyooshwa Bata wewe.. watu wamafumania kabisa we unashika namba tu kelele nyingi hivi!! Tulia wakuchezeshe ngoma ya lidende..😜
He he he he he,,,humu jf wangetupa option ya ku attach gif 😀😀😀 kama whatsapp!

Muhuni anakula ubatizo wa moto shenzi type! Mapenzi hayana komandoo unalizwa chap
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom