Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,092
- 136,660
Komredi uliona yule jamaa aliyekuja kulia humu eti nimemla demu wake?
Tafuta USA baby hutojutia. lol. cc hamisi kishindindo
Sijamwona bhana... kama vipi niunganishie na mimi nikafanye mambo yetu ya caring...Komredi uliona yule jamaa aliyekuja kulia humu eti nimemla demu wake?
Mkuu nafurahi sasa umeanza kuelewa tactics za MMU babes,inaitwa JILENGESHENISATION,kwa hiyo hapo wewe tulia kama unanyolewa halafu subiri kitu kiingie kingi.Ohooo.....nawe usije ukawa mhanga wa Nyani Ngabu😀😀.
Manake mko wengi ati!
USA baby![]()
![]()
![]()
Duuh sasa wanaume wa jukwaa hili umewawekea KAUZIBE.pole sana jaribu kujichanganya na marafiki na epuka kukaa alone usikurupuke kutafuta wa kuziba pengo( wakukufariji)utakuja juta tulia na fanya yako kwa ajili ya maendeleo yako usipoteze muda kumfikiria ndege aliye jipeperusha mwenyewe utakonda bure
Baby mwambie ashagaike tena,mfundishe ile mapenzi yetu kwa njia ya posta,hakika atanenepa na kuchekelea.Shooga usilie tena piga moyo konde sema bas alafu jiongezee machoz ulio lia ayata enda bure all the best![]()
![]()
![]()
![]()
Itakuwa una tabia mbaya tu maana nyie watu kila siku kulalamika mnaonewa mwisho jamaa kakuchoka.Yaan nimeachwa kwenye mataa mapenzi yanauma jamani yaani nimekaa na huyu mwanaume kwa miaka mitano nimekataa wanaume kibao ambao alikua wanani-approach wakiwa na nia njema nahisi nimechanganyikiwa sielewi wapi pakuanzia.
Nimelia hadi sauti imekauka i regret the day i said yes to him. Wanaume shikamooni sikuwai kudhani kuwa alikua na mahusiano nje, kha nimepata life time lesson wanawake wa humu muwe macho hapa nawaza ningekua nimemzalia daaah ningekua na hali gani nahisi ningechizi.
Hebu wanajammii nishaurini ntamsahauje huyu maana naona kama siwez siku ya nne leo am not myself. Yaan kadiriki kumpa simu mwanamke wake mpya waniambie kuhusu uhusiano wao mapenzi yauma jamani najiuliza nina tatizo gani jaman jaman nitamsahauje huyu.........
Duuh sasa wanaume wa jukwaa hili umewawekea KAUZIBE.
Ndo maana yake Mkuu,maana hili ni jukwaa la mapenzi,ukiona mtu analia lia humu jukwaani ujue anatafuta wa kumfariji,na hasa ukizingatia mtu keshaumizwa huko,kilichobaki ni kupata bwana wa kumliwaza na maneno mataamu,na pia ikibidi apate ile kitu roho inapenda ili kuondoa ugwadu,na mwisho atamsahau yule boya aliomuumiza.so ningemwambia atafute ndege mwingine sio??????
Yaan nimeachwa kwenye mataa mapenzi yanauma jamani yaani nimekaa na huyu mwanaume kwa miaka mitano nimekataa wanaume kibao ambao alikua wanani-approach wakiwa na nia njema nahisi nimechanganyikiwa sielewi wapi pakuanzia.
Nimelia hadi sauti imekauka i regret the day i said yes to him. Wanaume shikamooni sikuwai kudhani kuwa alikua na mahusiano nje, kha nimepata life time lesson wanawake wa humu muwe macho hapa nawaza ningekua nimemzalia daaah ningekua na hali gani nahisi ningechizi.
Hebu wanajammii nishaurini ntamsahauje huyu maana naona kama siwez siku ya nne leo am not myself. Yaan kadiriki kumpa simu mwanamke wake mpya waniambie kuhusu uhusiano wao mapenzi yauma jamani najiuliza nina tatizo gani jaman jaman nitamsahauje huyu.........
Yaan nimeachwa kwenye mataa mapenzi yanauma jamani yaani nimekaa na huyu mwanaume kwa miaka mitano nimekataa wanaume kibao ambao alikua wanani-approach wakiwa na nia njema nahisi nimechanganyikiwa sielewi wapi pakuanzia.
Nimelia hadi sauti imekauka i regret the day i said yes to him. Wanaume shikamooni sikuwai kudhani kuwa alikua na mahusiano nje, kha nimepata life time lesson wanawake wa humu muwe macho hapa nawaza ningekua nimemzalia daaah ningekua na hali gani nahisi ningechizi.
Hebu wanajammii nishaurini ntamsahauje huyu maana naona kama siwez siku ya nne leo am not myself. Yaan kadiriki kumpa simu mwanamke wake mpya waniambie kuhusu uhusiano wao mapenzi yauma jamani najiuliza nina tatizo gani jaman jaman nitamsahauje huyu.........
ulikuwa kwenye process za kutupa ndoano nnNdo maana yake Mkuu,maana hili ni jukwaa la mapenzi,ukiona mtu analia lia humu jukwaani ujue anatafuta wa kumfariji,na hasa ukizingatia mtu keshaumizwa huko,kilichobaki ni kupata bwana wa kumliwaza na maneno mataamu,na pia ikibidi apate ile kitu roho inapenda ili kuondoa ugwadu,na mwisho atamsahau yule boya aliomuumiza.
Yaan nimeachwa kwenye mataa mapenzi yanauma jamani yaani nimekaa na huyu mwanaume kwa miaka mitano nimekataa wanaume kibao ambao alikua wanani-approach wakiwa na nia njema nahisi nimechanganyikiwa sielewi wapi pakuanzia.
Nimelia hadi sauti imekauka i regret the day i said yes to him. Wanaume shikamooni sikuwai kudhani kuwa alikua na mahusiano nje, kha nimepata life time lesson wanawake wa humu muwe macho hapa nawaza ningekua nimemzalia daaah ningekua na hali gani nahisi ningechizi.
Hebu wanajammii nishaurini ntamsahauje huyu maana naona kama siwez siku ya nne leo am not myself. Yaan kadiriki kumpa simu mwanamke wake mpya waniambie kuhusu uhusiano wao mapenzi yauma jamani najiuliza nina tatizo gani jaman jaman nitamsahauje huyu.........