Vitalis Msungwite
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 3,311
- 7,955
Hutaki kuzaa
yafutiki hayahebu nitafte nifute machozi yako ili upate kuwa na furaha tena
pole,ni jambo la kawaida katika mapenzi,ila ungeweka picha yako japo tukuone unavotia huruma

i swear to you my dia ntakufanya usahau yote yaliyopita na kutafakari mapya katika moyo wakohahahahaha sio rahisi ha
yafutiki haya
Vaileth zainabu
Majina yalimchanganya wewe Ni dini gani?
Ukiitwa Vaileth unaitika
Ukiitwa Zainaibu pia upo




Ni vile hayakukumba eh usicheke kovu ndugukoma lia sana tena sana penda Mungu kwanza
Yaan nimeachwa kwenye mataa mapenzi yanauma jamani yaani nimekaa na huyu mwanaume kwa miaka mitano nimekataa wanaume kibao ambao alikua wanani-approach wakiwa na nia njema nahisi nimechanganyikiwa sielewi wapi pakuanzia.
Nimelia hadi sauti imekauka i regret the day i said yes to him. Wanaume shikamooni sikuwai kudhani kuwa alikua na mahusiano nje, kha nimepata life time lesson wanawake wa humu muwe macho hapa nawaza ningekua nimemzalia daaah ningekua na hali gani nahisi ningechizi.
Hebu wanajammii nishaurini ntamsahauje huyu maana naona kama siwez siku ya nne leo am not myself. Yaan kadiriki kumpa simu mwanamke wake mpya waniambie kuhusu uhusiano wao mapenzi yauma jamani najiuliza nina tatizo gani jaman jaman nitamsahauje huyu.........
Ni kweli kbs usikutwle huyu kaja kujitetea tu na kujifariji lkn ukweli wote anaujua yeyeSisi wanaume huwa hatuna tabia kama za wanyama za kuwaacha tu wapenzi bila sababu lazima kuna kitu ulimfanyia kibaya must