Mapenzi yanauma jamani

Mapenzi yanauma jamani

Naona hekma yako ni ndogo dada,usioneshe hasira jinsi hii,matatizo huwa yapo pande zote,hata kwetu wanaume tunakutwa na changamoto kama hizi!Mshauri ajiangalie tu na ajipime!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
well said. ukiachwa jitathmin umeachwaje na ilikuwaje na kama tatizo ni wewe jirekebishe.
 
Yaan nimeachwa kwenye mataa mapenzi yanauma jamani yaani nimekaa na huyu mwanaume kwa miaka mitano nimekataa wanaume kibao ambao alikua wanani-approach wakiwa na nia njema nahisi nimechanganyikiwa sielewi wapi pakuanzia.

Nimelia hadi sauti imekauka i regret the day i said yes to him. Wanaume shikamooni sikuwai kudhani kuwa alikua na mahusiano nje, kha nimepata life time lesson wanawake wa humu muwe macho hapa nawaza ningekua nimemzalia daaah ningekua na hali gani nahisi ningechizi.

Hebu wanajammii nishaurini ntamsahauje huyu maana naona kama siwez siku ya nne leo am not myself. Yaan kadiriki kumpa simu mwanamke wake mpya waniambie kuhusu uhusiano wao mapenzi yauma jamani najiuliza nina tatizo gani jaman jaman nitamsahauje huyu.........

Ushaanza kilimo cha mbaazi bibie....?
 
Yaan nimeachwa kwenye mataa mapenzi yanauma jamani yaani nimekaa na huyu mwanaume kwa miaka mitano nimekataa wanaume kibao ambao alikua wanani-approach wakiwa na nia njema nahisi nimechanganyikiwa sielewi wapi pakuanzia.

Nimelia hadi sauti imekauka i regret the day i said yes to him. Wanaume shikamooni sikuwai kudhani kuwa alikua na mahusiano nje, kha nimepata life time lesson wanawake wa humu muwe macho hapa nawaza ningekua nimemzalia daaah ningekua na hali gani nahisi ningechizi.

Hebu wanajammii nishaurini ntamsahauje huyu maana naona kama siwez siku ya nne leo am not myself. Yaan kadiriki kumpa simu mwanamke wake mpya waniambie kuhusu uhusiano wao mapenzi yauma jamani najiuliza nina tatizo gani jaman jaman nitamsahauje huyu.........
Pole sana tatizo lenu wanawake ni wepesi kusahau! Umechelewa kujua kuwa si kila uhusiano lazima hudumu mi lele! Kwenye kila kinacho tokea kwenye maisha yako unatakiwa kujua huwa kuna sababu mbili inaweza kuwa ni baraka au funzo!

Pole sana hayo ndio maisha!
 
wanawaĸe мda мwιngne мnajιѕaнaυ ѕana....υмewaнι ĸυjιυlιza ĸwaĸo anaĸoѕa nn???
 
Pole sana dada futa machozi endelea na safari, japo inauma lakini jiulize je kabla yake ulikuwa unaishije? Miaka mitano ni michache sana kumbuka una safari ndefu. weka kipaumbele kwenye kutafuta maisha uwe busy then atakuja ambae atakufuta machozi na utasahau.
 
Dada pole sana,yaliyokupata wewe yalinipata mimi,ingawa mie ni mwanaume.Yupo dada mmoja nilimpenda sana sana,na nilimkuta darasa la 7 nikamsomesha akafika diploma,nikampangia nyumba na nikamtafutia kazi,mie nina mke wangu wa ndoa yeye akawa nyumba ndogo.Tuliishi nae miaka 7 na kila nikimpa mimba anatoa,akaomba nimbunulie gari nikafanya hivyo na kila alichoomba nilijitahidi kumpa.Siku moja alinipigia simu akiwa na mama take mzazi na kuniambia nimkome na kwamba hana shida na mimi bali alikuwa na shida na hela zangu hivyo nisimjue tena.Nilisikia uchungu sana nikamjibu asante.Kila siku nilikuwa namuomba mungu anipe uwezo nimsahau na ansamehe yule dada,baada ya mwaka nilimsahau kabisa na nilipata mdada mwingine ambae tunaishi nae vizuri sana,sasa baaday ya miaka 4 hivi yule dada alipigika ile mbaya sasa hivi yupo tu hapa mjini anafanya vibarua vya kufagia ofisi za watu,nakuomba ujifunze kitu kwenye huu mkasa wangu
Samahani lakini, sijui nimekuelewa vibaya..

Umesema una mke, halafu ulikuwa na mdada mwingine (mchepuko) ambaye ulimkuta ana elimu ya darasa la 7 ndo ukamsomesha hadi diploma? Afu baadaye akakutukana na kukukana na after 4 years amenyorodoka?

Baada ya hapo umepata mchepuko mwingine ambao umedai unaishi nao vizuri sana, right?
 
Pole sana. Huwezi jua mungu kakuepusha na nini. Kubali na move on. Wapo wengine bora zaidi yake ni suala tu la muda
I agree i remember tha frst tym i almost killed ma self coz ov em..!!! Bt tnx to God he shown me the right path..!!! My dear all i can say is that time is the only best healer..!!! Utapata furaha n faraja moyon mwako
 
Yaan nimeachwa kwenye mataa mapenzi yanauma jamani yaani nimekaa na huyu mwanaume kwa miaka mitano nimekataa wanaume kibao ambao alikua wanani-approach wakiwa na nia njema nahisi nimechanganyikiwa sielewi wapi pakuanzia.

Nimelia hadi sauti imekauka i regret the day i said yes to him. Wanaume shikamooni sikuwai kudhani kuwa alikua na mahusiano nje, kha nimepata life time lesson wanawake wa humu muwe macho hapa nawaza ningekua nimemzalia daaah ningekua na hali gani nahisi ningechizi.

Hebu wanajammii nishaurini ntamsahauje huyu maana naona kama siwez siku ya nne leo am not myself. Yaan kadiriki kumpa simu mwanamke wake mpya waniambie kuhusu uhusiano wao mapenzi yauma jamani najiuliza nina tatizo gani jaman jaman nitamsahauje huyu.........
Picha yako plz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom