wasumu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 2,028
- 1,695
eeeeeh pole bhas si mnapenda masharo baro ee sio waoaji hao unajuaaNi vile hayakukumba eh usicheke kovu ndugu
eeeeeh pole bhas si mnapenda masharo baro ee sio waoaji hao unajuaaNi vile hayakukumba eh usicheke kovu ndugu
Yaaan uzi kama huu nikiuona natamani nitoe somo lakini mda wa kuandika siupati. Natamani niongee rala akaandike!
Hivi dada una umri gani kutojua hawa wanaume? Kwanza ukipata mtu from now vaa ngozi ya kondoo tumia vizuri miezi miwili ya kwanza kiasi kwamba likiondoka huna hasara! Jutu unalionesha kulipenda kuliko hata mama yako? Vaa ngozi ya kondoo fanya mambo yako likiondoka lipe na nauri ya kulisafirisha.
Sanaa tu hii, anachangamsha kundi tu huyuVai mambo, wewe hujaumizwa
ilo ndio wazo kwa kwelihebu nitafte nifute machozi yako ili upate kuwa na furaha tena
Utalinganishaje mwanaume na mma yako? Labda sijakuelewa.Yaaan uzi kama huu nikiuona natamani nitoe somo lakini mda wa kuandika siupati. Natamani niongee rala akaandike!
Hivi dada una umri gani kutojua hawa wanaume? Kwanza ukipata mtu from now vaa ngozi ya kondoo tumia vizuri miezi miwili ya kwanza kiasi kwamba likiondoka huna hasara! Jutu unalionesha kulipenda kuliko hata mama yako? Vaa ngozi ya kondoo fanya mambo yako likiondoka lipe na nauri ya kulisafirisha.
Yaan nimeachwa kwenye mataa mapenzi yanauma jamani yaani nimekaa na huyu mwanaume kwa miaka mitano nimekataa wanaume kibao ambao alikua wanani-approach wakiwa na nia njema nahisi nimechanganyikiwa sielewi wapi pakuanzia.
Nimelia hadi sauti imekauka i regret the day i said yes to him. Wanaume shikamooni sikuwai kudhani kuwa alikua na mahusiano nje, kha nimepata life time lesson wanawake wa humu muwe macho hapa nawaza ningekua nimemzalia daaah ningekua na hali gani nahisi ningechizi.
Hebu wanajammii nishaurini ntamsahauje huyu maana naona kama siwez siku ya nne leo am not myself. Yaan kadiriki kumpa simu mwanamke wake mpya waniambie kuhusu uhusiano wao mapenzi yauma jamani najiuliza nina tatizo gani jaman jaman nitamsahauje huyu.........