Mapenzi yanauma jamani

3c699d85e5b8628b3447293856bf1942.jpg


inauma sana..
 
Pole sana dada yangu...life is not fair at all...yani unampenda mtu halafu what u get in return ni maumivu....
Wewe sio wakwanza kupitia hayo dada yangu...jikaze, jiweke busy naumove on na maisha yako.
Tena shukuru Mungu hujamzalia coz nahisi ungechanganykiwa maisha.
Wala usione ni kitu cha ajabu sana..ni kawaida kabisa katika mahusiano ya sasahivi.
Mungu akutie Moyo..
 
Hizi hasira mmh!!! Lkn makosa ni yenu wenyewe hakuna mtu wa kulaumiwa hapa jilaumuni wenyewe for wrong choices.
Umeamua kuachana na mfumo wa maisha uliopangwa na Mungu ukaamua kufata mfumo na muundo ulioandaliwa na kubuniwa na wanadamu hayo ndio madhara yake. Kila siku kulaum na kutamani kutoa masomo kama lecturer wa udom.

Hata hao ambao hawajalizwa leo au kesho watalia tu so long umedeviate from God's principles of life.
Yaaan uzi kama huu nikiuona natamani nitoe somo lakini mda wa kuandika siupati. Natamani niongee rala akaandike!

Hivi dada una umri gani kutojua hawa wanaume? Kwanza ukipata mtu from now vaa ngozi ya kondoo tumia vizuri miezi miwili ya kwanza kiasi kwamba likiondoka huna hasara! Jutu unalionesha kulipenda kuliko hata mama yako? Vaa ngozi ya kondoo fanya mambo yako likiondoka lipe na nauri ya kulisafirisha.
 
Kwa miaka 5 bila mtoto? Hamkupanga kuoana. Hujachelewa. Tupo wengi
 
Yaaan uzi kama huu nikiuona natamani nitoe somo lakini mda wa kuandika siupati. Natamani niongee rala akaandike!

Hivi dada una umri gani kutojua hawa wanaume? Kwanza ukipata mtu from now vaa ngozi ya kondoo tumia vizuri miezi miwili ya kwanza kiasi kwamba likiondoka huna hasara! Jutu unalionesha kulipenda kuliko hata mama yako? Vaa ngozi ya kondoo fanya mambo yako likiondoka lipe na nauri ya kulisafirisha.
Utalinganishaje mwanaume na mma yako? Labda sijakuelewa.
 
Pole sana inabidi ukubali kuwa umeachwa na umeumia sana kwa jinsi ulivyompenda then jipe muda wa kwako atakuja.
 
Inawezekana Ulikua Mzigo kwake kwa miaka mitano
Kama kawaida ya Jususii alisubiria muda muafaka akajitoa kifungonii..
Pole Dada..
 
Sio kila uhusiano lazma uwe ndoa, kwa jazba ulioonyesha hapa yaonekana una gubu sana na hujui ku appreciate kwa kila unchofanyiwa thus y umekula ki raba! Pole sana VZ
 
Pole sana bibie, ila hakuna kitokeacho bila sababu kuna kitu utakuwa umemfanyia akaona hamuwezi kuendana. So bora kila mtu atafute watakayewezana japo nahisi atakuwa hajakuambia tatizo nini.

Kuna wanaume wengine huwa hatupendi kukomandiwa,kuendeshwa hata kupayukiwa na wenza wetu yawezekana ukawa na moja kati ya hayo.
jibu hilo juu jiulizeee
 
Ninajua aina ya maumivu inayopitia maana nilishawahi kukutana na Kisanga cha aina hiyo indirectly. Binafsi nilihama kabisa na kuepuka vitu ambavyo vilikuwa vinanipa kumbukumbu Zake. Nikawa mtu wa kanisani zaidi. nilipoona kumuepuka imeshindikana kupunguza maumivu nilihama nchini kwa muda. Hii ilifanya kazi kwani ni mwaka tu nikamsahau kimoja. So na wewe anza kufuta namba yake, futa meseji zote za kila aina mlizotumiana, vunja picha zake, nguo zake Choma moto, epuka kukutana au kuongea na watu watakaokukumbusha habari zake, ma mwisho kabisa kuwa busy na mambo ya kanisa au msikitini. kumbuka kumsahau mtu ni process hivyo kidogo kidogo itazoea.
 
du, pole sana vaileth. miaka 5 yote hajakuzalisha mtoto? wewe ndio basi tena...sikio la kufa.
 
Yaan nimeachwa kwenye mataa mapenzi yanauma jamani yaani nimekaa na huyu mwanaume kwa miaka mitano nimekataa wanaume kibao ambao alikua wanani-approach wakiwa na nia njema nahisi nimechanganyikiwa sielewi wapi pakuanzia.

Nimelia hadi sauti imekauka i regret the day i said yes to him. Wanaume shikamooni sikuwai kudhani kuwa alikua na mahusiano nje, kha nimepata life time lesson wanawake wa humu muwe macho hapa nawaza ningekua nimemzalia daaah ningekua na hali gani nahisi ningechizi.

Hebu wanajammii nishaurini ntamsahauje huyu maana naona kama siwez siku ya nne leo am not myself. Yaan kadiriki kumpa simu mwanamke wake mpya waniambie kuhusu uhusiano wao mapenzi yauma jamani najiuliza nina tatizo gani jaman jaman nitamsahauje huyu.........

Safi sana.
 
Mkuu nisamehe kwa kutokukupa 'support'.
Tukubali kuwajibika kwa makosa yetu wenyewe wakati mwingine.
Kama hujaoa/olewa,naamini ukisalitiwa na mpenzio mnaegegedana bas huna haki ya kulaumu yeyote zaidi yako ulojitoa bila ndoa mkuu.
Ni matokea ya maamuzi yetu.
Labda kama ulikua kwenye ndoa mkuu,hapo una haki ya kulaumu.
 
Aisee pole sana ila wanawake mnaingia mkenge sana kwa sababu siku hizi mnajifanya wajuaji sana. Enzi zile mlipokuwa mnatusikiliza kaka zenu haya mambo hayakuwa yanatokea kwa sababu tulikuwa tuna uwezo wa kuwalinda na makanjanja. Ila siku hizi utasikia, "mtu mzima nina uhuru wa kufanya maamuzi yangu binafsi". Mtaendelea kumegwa sana na kuachwa kwa akili hizi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom