Simulizi ya kweli : Nani alistahili?🎵🥱 (Kisa cha mapenzi chenye kusisimua)

Rahidin73

Member
Oct 25, 2024
23
30
NANI ALISTAHILI 🎵🥱
Sehemu ya Kwanza
MTUNZI: Madodi ✍🏼
WHATSAPP: 0655 969 973
Mambo??
Habari??
Hi??
Zilikuwa jumbe tatu nilizozikuta upande WA messenger katika account Yangu ya
Facebook Kutoka Kwa Rick. Nilijiuliza 'nani huyu?? Mbona jina jipya simfahamu?' Niliamua kujibu Kwa sms moja
"Safi nani"

Niliutuma ujumbe ule Kisha nikaendelea na Kaz zingine maana hakuwa hewani. Baadae nilipoingia kuangalia simu nilikuta friend request ya yule mtu niliyetoka kumjibu ujumbe muda mfupi. Hapa Sasa nilipata wazo la kumkagua niligundua ombi la urafiki lilikuwa na siku 3 nyuma na jumbe zile zilikuwa za Jana yake tu.

Jambo lingine ni kwamba tulikuwa tunashare na baadhi ya marafiki wa Fb yaani "mutual friends zaidi ya 60, nilipokagua niligundua ni wanafunzi niliokuwa nimehitumu nao advance. Hapo ilikuwa mwezi wa 8 tu na mtihani nilitoka kufanya mwez wa 7 hivyo nilifikiria huenda ni classmate ameanua kutumia jina lingine ama alikuwa mchepuo (combination) mwingine maana wanasayansi wengi sikuwa nikiwafahamu kutokana na wingi wa wanafunzi pale shuleni.

Cha kwanza nilimkubalia ombi la urafiki bila hata kujiuliza sana Kisha nilitoka hewani. Jioni ya siku hiyo mida yaa saa 1 jioni niliingia Tena Facebook nilishangaa kukuta jumbe kama mbili hivi akiwa ameomba radhi Kwa kuchelewa kujibu ujumbe wangu.1 Pia alinipa maelezo Kwa ninialichelewa kujibu ujumbe ule. Nilimjibu sawa haina shida kama ishara ya kumtoa wasiwasi.

Muda huo huo alijibu ujumbe ule (kumbe alikua Online) nilimwambia simfahamu, akajitambulisha
"Mi naitwa Rick, kwetu ni Mtumba ila pia sikufahamu"

Pia aliomba kunifahamu kama nipo mtumba. Mtumba ni shule niliyosoma advance huko sumbawanga.
Basi nilimuelewesha kuwa nilishaondoka pale na tayari nikawa na majibu kuwa alinifahamu tu kupitia mutual friends. Tulichaty kidogo kama dakika 10 nikamuaga kuwa Niko bize anitafute saa 3 usiku, aliuliza na dakika ngapi??

😌😛mwee Mimi na haya mambo ya kupewa care wapi na wapi jamani??? Kitambo sana hamna wa kuniambia saa ngapi niwe on time huyu veeepe. Nikamjibu saa 3 na dakika 5😌 Niliondoka zangu nikaenda ukumbini kuendelea na kazi zingine za mapishi. Mpaka kufikia saa tatu na dakika 20 nilikuwa free nikaenda chumbani kwangu nikachukua simu KHEEE.......... 🙄🙄🙄🙄 😍nikakuta sms, mwamba kashanishtua😛 nilikagua kwanza profile yake nione kama yaliyomo yamo 😛alooh niliona yamo yamo japo siyo kilokole ila yamo yamo.


Nikajibubana,"hello nambie”
Hapo tulifungulia chating rasmi😛(jamani nilishamiss haya mambo ya kubebika kitambo sana hahahah. Hata sijatongozwa jaman eti kubebika eeh hivyo hivyo niliwaza bana ila sijui anataka nini kaka wa watu mstaarabu huyu mweee nmesahau hapo nilikuwa nachatia kichatio jamani lkn kinaingia fb🤣na picha naona na kutuma natuma alafu free mode watoto WA 2005 hawajanielewa lakini ilikuwa hivyo.


Basi akaomba namba nikatoa chap, siyo eti nilikuwa nashoboka No unajua kichatio kule fb Kiko slow halafu maandishi madogo yanaumiza macho so nikaona Bora sms za kawaida. Sasa nilitoa namba jaman🤣tukahamia normal, Mungu wangu tulivyofika huwezi kuamini............ITAENDELEA.
Unajua kwanini Inaitwa "NANI ALISTAHILI.." UTAJUA KWANINI COVER INA WANAUME WAWILI.
HIVI UNAJUA MWAMBA KAMAFANYAJE. NDIO KWANZA INAANZA HUMU NDANI KUNA UTAMU MWINGI SANA.

UTABURUDIKA, UTAJIFUNZA NA UTATAMANI USOME YOTE KWA WAKATI MMOJA.

NUKUU "Mapenzi ya kweli hayajaandikwa yatatokea wapi, mpenzi wako wa kweli hujui atatokea mazingira gani? Unaweza mpata kwenye daladala bila kutarajia, unaweza kumpata online na mkaishi milele. Kikubwa usimdharau usiyemjua kwani hujui nia na dhamira yake ni ipi kwako"
,
 

Attachments

  • Screenshot_20241103-193614_Gallery.jpg
    Screenshot_20241103-193614_Gallery.jpg
    382.3 KB · Views: 13
NANI ALISTAHILI 🎵🥱
Sehemu ya pili
MTUNZI: Madodi ✍🏼
WHATSAPP: 0655 969 9
Kabla ya kuendelea na kuhusu Rick, Naomba unafahamu kidogo.
Mimi naitwa Hesha, wakati nakutana na Rick FB nilikuwa naishi Kwa dada Yangu huko kigoma. Ila kabla ya kwenda Kigoma ni kuwa tangu nilipohitimu masomo yangu ya kidato Cha nne na matokeo yalipotoka hayakuwa mazuri sana nilikuwa na division three ya 25 kwahyo walipotoa mkeka wa majina ya wanaoenda advance langu halikuwepo.


Nikawa Nyumbani tu Musoma najiandaa tu kufanya mpango mwingine, mama nae akawa kama amenikatia tamaa yaani kaharibu hela kunisonesha halafu sijaenda advance. Sikutaka kubishana nao sana nikawa nipo nipo hapo hadi nikapata kijamaa kina mke huko na hapo nilikuwa home tu huyo kaka alishanitongoza tangu Niko darasa la 7 mpaka nimehitimu form 4 ananitafuta tu. Ikabidi nimkubalie maana alishajipata na alikuwa na mke tayari, Yani mke wake anazaa Kila mwaka so alikuwa na watoto watatu tayari 😞


Siku ya siku shida zilinipeleka kwa Edga (sio jina lake halisi) bwana tukapanda gari usiku tukakulane, tulikulana hapo, mwenzangu kumbe kanogewa nikashangaa anasema hamna kurudi nyumbani nakuoa.
Mweeh😛mara hii tu niwe Bi mdogo jaman lakini nilipowaza mazingira ya pale nyumbani nishajichokea mie acha niolewe tu kwanza sina ishu kwani nini. Kwanza niliamini huyu atanipeleka chuo kabisa si ana hela bwana. Yes, ndio anazo shida iko wapi jamani, 😄 nilivyokua najiaminisha utadhani pes za baba yangu haaahaa.


Basi mwanaume alichofanya alipiga simu kwa mke wake, kweli mke akapandishwa gari akaenda ukweni na watoto Mimi na jamaa tukaenda kule alikokuwa anaishi na mke wake. Jamani msinilaumu sikuwa najua lolote 😔hata huko alikokuwa anaishi sikuwahi kufika kabisa.

Basi nilikaa pale siku 4 nikamwambia
"Narudi home" (alionekana kunogewa na mimi) akasema
"Nakupeleka mimi mwenyewe" Nikastuka mmh!!
"Nataka kuondoka nikamsaidie mama kupalillia mihogo😌" Aisee kumbe alikua serious na mimi alimpigia mama simu hapo hapo ndani ya siku kama 3 hivi alikuwa amejenga nae urafiki kabisa kama mkwe akamtumia Hela ya kupalilia shamba zote, mama aseme nini sasa jamani toto lenyewe limejipeleka mwenyewe😊



Nilikaa na jamaa tunajiandaa kuchumbiana lakini nilipomuomba anipeleke chuo masharti yakaanza eti

"Ooh hauko serious na ndoa" mara "Nizalie mtoto umuache ndo uende shule" Alikua anaamini kwenye kufyatua huyo 🤣daah yaani mke wake mwenyewe anazaa tu haruhusiwi hata kutumia uzazi mpango. Hajapewa hata cherehani wala duka Mimi ndo nizae halafu nipelekwe shule?? Kwa uzuri Gani huo jamani🤣

Kwanza mwanaume mwenyewe ana wivu kama nini☹, nikaanza kuish Kwa akili alikuwa ananipa Hela sana nikaanza natunza Kila siku akinipa. Nilikuwa na mipango yangu basi ndo hadi dada akanichukua nikaenda Kigoma maana yule kaka ilifika hatua anataka nizae Kwa nguvu halafu baba zangu nao wakaanza nongwa oooh sijui nini kiufupi waliona gele maana baba mzazi alishakufaga.

Basi maneno yalikuwa mengi sana ila yule Ediga alikuwaga ananipenda sema ana mfumo dume hatari. Kingine alikuwa ni malaya malaya sana yaan kulala na ndugu wa mama mmoja siyo shida zake au kununua barmaid.

Baada ya kuona hapa hamna la maana niliamua zangu kusepa nikatoka Musoma huko Hadi Kigoma. Sikujipeleka tu Dada ndo aliniita sana maana mie kuishi Kwa ndugu sipendagi basi nilienda huko Kwa dada binamu.


Sasa Pale Kwa dada niliinua mikono🙌 nilishindwa looh lakini ningefanyaje, Yani dada ni mkaliiiii mkali yaan mdomoo mdomo Kila kitu kugomba kuamka kanuna kama anaishi jela alaah. Nikawa napanga kusepa tu lakini bahati nzuri matokeo ya awamu ya pili (second selection) yakatoka 😁😁😁hivi mnaijua bahati ya mtende nyie👌nilifurahi sana nikasema Kwa niliyopitia mtaani naenda kusoma Kwa bidii sana sana.


Maandalizi yakafanyika mama akatuma hela nikajiandaa Kigoma to Sumbawanga a.k.a swax kuanza form 5 msiseme naringa jamani Mimi ndo msomi wa ukoo mzima ubabani na upande wa Mama🤣. Sasa kufika huko shule nikapata kajamaa kangu kalikuwa boda boda kalinipenda hakoo yaan kana mwili mdogo ila umri wa kutosha kalinipenda kakawa kananihudumia maana nyumbani wakishanitupa shule ndo basi hawajui pen imeisha

Waala pedi au kubadili chakula huyo boda kokote aliko Mungu amtunze jaman alinivusha sana 🙏 Mimi sikuwa nampenda hata kdg aisee ni shda tu ziliniweka kwake afu alikuwa ananijali sana basi sikuta kumcheat mpaka nilipomaliza form 6 nikarudi Kwa dada tulikuwa tunapaita jeshini siyo Kwa kununa kule usipochambwa asubuhi, jioni ni Yako dada🤣 yaan hata akikuona umekaa tu Hauna Kaz zote zimeisha ni kama anaona unafaidi atatafita lolote ili akupe joto mweeeh🙌

Yale maisha yalinikera sana nikawa mpweke Jamani nilikuwa mpweke mno kulia Kila siku halafu Sina hata WA kumuomba Hela. Kipindi hicho Shem ananitaka bwana tena ni...........ITAENDELEA. AISEE UKIKOSA HUU UHONDO UJILAUMU.

JE ALIPITA NA SHEM WAKE🤔 Usikose sehemu ya 3.
NUKUU "Wakati mwingine watu wanapitia njia ambazo wengine wanaona sio halali na sio za kuigwa katika jamii lakini watu hufanya hivyo kutokana na mazingira magumu anayotoka, maisha aliyooitia na aina ya watu wanaomzunguka. Jifunze kutokujaji sana maisha maisha ya watu bila kujua ukweli"
 

Attachments

  • Screenshot_20241103-193614_Gallery.jpg
    Screenshot_20241103-193614_Gallery.jpg
    382.3 KB · Views: 9
NANI ALISTAHILI 🎵🥱
Sehemu ya Tatu
MTUNZI: Madodi ✍🏼
WHATSAPP: 0655 969 973
👇🏽
ILIPOISHIA....basi sikuta kumcheat mpaka nilipomaliza form 6 nikarudi Kwa dada tulikuwa tunapaita jeshini siyo Kwa kununa kule usipochambwa asubuhi, jioni ni Yako dada🤣 yaan hata akikuona umekaa tu Hauna Kaz zote zimeisha ni kama anaona unafaidi atatafita lolote ili akupe joto mweeeh🙌
Yale maisha yalinikera sana nikawa mpweke Jamani nilikuwa mpweke mno kulia Kila siku halafu Sina hata WA kumuomba Hela. Kipindi hicho Shem ananitaka bwana tena ni........... mtumishi wa serikali kabisa lakini sikutaka kabisa kuingilia ndoa za watu mpaka siku hiyo aliyonitafuta Rick kidigo niliona nimepata mfariji.

TUENDELEE
Basi tuliingia chating na Rick, Mimi napenda sana kuchat aisee, Kwa mara ya kwanza milimeet na boy anaenichatisha vizuri, tulichat ndani ya siku 3 tukawa kama Kuna mahusiano hivi nyie si mnayajua Yale mapenzi ya bila kutongozana🤣yaan urafiki unakuwa mkubwa mnawekana wazi Kila kitu Kila mtu anajua mi ndo furaha ya Fulani halafu hana mtu. Tukawa watu wenyewe ndo sisi HATIMAEE🙄😍 tukawa wapenzi bwana 😋

Alianza kunihudumia huyu mwamba yaani nilimuelezea life yangu yote so alijiongeza Hela ya Pedi napewa Kila kitu napewa hapo yeye anasoma chuo kikuu alikuwa na mkopo mkubwa na kipind hicho alikuwa field yake ya kwanza. Alifanya field hadi akamaliza Kila siku kuchat asubuhi, mchana na jioni.

Na pia alinisaidia sana aisee hadi nikawa nashangaa hana Maisha ila anajitoa jaman kama mzazi vile Hatimae tuliapplyy vyuo nikapata Cha Tabora huko kusoma Diploma ya Ualim yeye pia alikuwa anasoma degree ualimu.

Tuliishi Mapenzi ya hewani kuanzia mwezi wa nane hadi wa 12 yeye hapo anasoma chuo Mkwawa Iringa mwaka pili pili Mimi nasoma Tabora mwaka wa kwanza. Kiukweli kama ungekuta tunachat usingeamini kama hatujawahi onana yaani tulikuwa kama mke na mume kabisa.

kaka wa watu hakuwa na mambo mengi namimi niliamua kutulia nae kabisa, Sasa mwezi huo wa 12 tulipanga kuonana Sasa. Rick alipanga bajeti na tarehe ya kuja alituma hela nikalipa gest bwana nikafanya maandalizi yote baby anakuja kunikula 🤣msiseme Mimi muhuni jamani si hela zake hata Mimi nakula Sasa shido Iko wapi 🤣

Basi mwezi wa 12 wiki moja kabla ya Christmas chuo tulipata likizo fupi, wiki hiyo ndo tuliitumia kuonana (ilikua kama ile wiki ya polisi ya Nenda kwa Usalama au ile ya Tigo wiki ya huduma kwa wateja"

Kwanza siku hyo alilala Dodoma, ili kupunguza urefu wa safari. Mimi sikuwa na utulivu kabisa nilihemea hiki nikasahau kile nikarudi sokoni nikanunua hiki yaan shida tupu 🤣 ambao wameshapitia hii situation wanajua vizuri mtu mnaeonana Kwa mara ya kwanza 😌.

Nilitamka siku husika nikapika chakula tambi, pilau nyama chai ( aliomba chai) na Kila kitu cha muhimu matunda na vyombo pia niliandaa (sisi chuoni kwetu tulikuwa tunapika wenyewe hosteli) Basi nilipomaliza alituma sms "My nmefika🙈

"Wahudumu hawajakusumbua?

"No,Wana huduma nzuri sana, wastaarabu"

"Okey nakuja"
Jamani nilikuwa natetemeka sijui kwanini, Sasa nilichukua ndoo nikapanga chakula vizuri mkononi nilishikilia hotpot na beg la mgongoni ambapo ndoo ya chakula niliweka nyuma ya bajaji pale juu maana kulikuwa na abiria wengine pia .

Basi bajaji ilitembea mpaka ilipofika maeneo ya stand ya bajaji ilisimama nikashuka Kwa nilivyokuwa na HARAKA plus wasinwasi, Wenge humo humo nilishuka tu na kuvuka bara bara huku bajaji ikiondoka nilipofika upande wa pili wa barabara ndio nikakumbuka kumbe nimeacha ndoo ya chakula na chupa kwenye bajaji jamani😭😭nililia nililia militia huruma🤣 Nitaenda kumpa nini mpenzi wangu, Nitasemaje au Nisiende......ITAENDELEA.

JE ATAKIPATA CHAKULA AU ATAENDA KUPIKA CHAKULA KINGINE, VIPI MPENZI WAKE ATAMCHULIAJE AKISEMA CHAKULA NIMESAHAU KWENYE BAJAJI 🤣🤣

USHAWAHI KUPATWA NA WENGE LA PENZI LIKIANZA🤣🤣🤣

NUKUU "Siku zote penzi likianza kila mtu anakua na wenge, kila mtu anakuwa na shauku na mwenzake. Unaweza kukosea na ukaona unapatia, unaweza kushauriwa kitu hata mzazi wako then ukaona nae anakuonea wivu🤣 yani unajikuta wewe ndio unaimiliki Dunia. Jifinze kuwa na kiasi katika kupenda kwetu, tuwe waangalifu tusije kujenga huku tukabomoa huku"

#highlights
#highlightseveryone
 
NANI ALISTAHILI 🎵🥱
Sehemu ya Nne
MTUNZI: Madodi ✍🏼


Basi madereva wakaja pale nikawaelezea walijaribu kuitafuta bajaji lakini walisema kashaenda hadi akirud na hatuna uhakika nae maana hujakariri hata namba Wala picha ya bajaji☹ nisemeje Sasa 😔

Niliishia kuwapa namba ili kama wangemuona basi wanisaidie. (Aisee yule Dereva Bajaji alifaidi pilau langu) hapo ni saa 7 kuelekea saa 8 mchana jaman mgeni kashafika yuko gest ananisubiri nipeleke chakula napeleka nini sasa 😭😭halafu bahati mbaya nimetumia Hlhela nyingi kupika jamani huyo dereva bajaji si ajipngeze tu😭😭 nililia mwish wa siku nikakubali matokeo tu, inachekesha lakini mwenzenu nililia.

Nilienda hadi lodge nikasimama kwanza mlangoni moyo unadunda tu, humu ndani Kuna nani jaman chumba nilikikodi mwenyewe lakini siku hyo nilikiogopa nilienda reception 🤣 🤣 kwanza kupunga upepo nikamuuliza mhudumu
"Umemuona mgeni wangu? Yukoje🤣" yule dada alicheka jamani khaaa, nikasema
"Wewe Cheka ila ndo nambie yukoje yaani" Akasema

"Shem mdogo mdogo hivi mpole halafu ana adabu, maji ya kunde fulani hivi mweupe mweupe🤣" nikamuuliza
"Hivyo tu basi??" Akasema
"Eeee ndio yuko hivyo we nenda bwana🤣"

Alinikokota maana tulishazoeana tangu siku amenikabidhi chumba nikaenda kuonana na Simba anaesubiri kunikula hapo Nina mawazo chakula changu jaman🤣 atanielewaje na nishamwambia msosi naleta tena yeye ndo aliomba tambi Sasa nazitoa wapi Mimi😔😞


Nikanyonga kitasa kilikuwa wazi nikazama ndani polepole kama mwizi🤣 jamaa alikuwa kwenye kochi asee anachezea simu, huwezi amini kumuona tu nilinuna🤣yaan nilijilazimisha tabasamu tu khaaaaa🤣🤣🙌

Yaani yule Rick wa kwenye picha alikuwa mweupe ana ndevu nzuri nyeusiii ana kamwili mwili hivi na kakifua🤣 alikuwa na nywele flani amazing na vinyweleo vizuri virefu🤣 Sasa huyu ni nani tenaaaaa mbona kanyoa kipara jamani🤣🤣🤣 nani kamwambia anyoee kipara aah🤣huyu mbona hajajazia halafu anaonekana katoto kakidevu kadogo kama njugu, mwili kama Leonardo wa CHEKA TU🤣.


Hivi nyie mnawajua wanaume wenye ndevu wakinyoa wanavyokuwa?? 😔sasa huyu wangu alinyoa ndevu na nywele na Kila kitu jamani eti nije nimuone mcha Mungu nisijedhani ni kibaka tu 🤣Dunia Ina mambo hii🤣🙌

Basi bwana aliinuka akanikumbatia alikuwa kavua shati akanikumbatia vile vinyweleo vinanichoma choma nasikia kero hatari, kwanza hivyo mtu kashanikera hata siyo handsome Sasa kwanini nisinune akinigusa??🤣

Niliposhusha presha, nikamuelezea kuhusu chakula pale akasema nisijali kabisa akachomoa hela akanipa nikanunue chakula, ila ilikua baadae maana Kwa muda huo hakutaka kuniachia alikuwa ananikagua Kila sekunde alikuwa ananibinya binya mwili wangu huku amefunga macho 🤣aiii anavyobinya kama anatafuta parachiculhi lililoiva mimi nakereka jaman lakini inabidi nitulie tu 🤣 Sasa nikanogewa nilimpa ushirikiano nikampa matee akapokea aisee lakini hata siyo fundi meno yanagongana, Sasa huyu veeepe jamani mbona shido hii🤣

Alinipeleka kitandani chap tu kashaitoa hiyo boxer yake mie nimejiziba macho sitaki kuonekana muhuni kabisa maana si mnajua mwanenu mie siyo muhuni kabisa jamani🥱

Basi bana tuligalagazana pale akasema aonje yaan alikuwa vibaya mno Kwa hisia maana tunakojozanaga tu hewani siku Ile anataka aisugue Sasa nikajiweka sawa nikajitoa 🥱🤣 nguo maana niliona huyu mjomba anaweza nichania nguo huyu😁

Basi game ilianza bwana hata sikutoa ushirikiano kiviiile ila nilifanya kuifinya hivi Kwa ndani kama naikatalia jamaa aliingia Kwa shido ila iliingia bwana nilibaki kusema

"Naumia my toa kwanza baby jaman mimi nina muda mrefu itoe kwanza,😌"

Jamaa ndo kwanza anakazana hakuchelewa Wala hakuwai kama kuku bao la kwanza si mnalijua ..🙈 akawa amemaliza aisee alichukua taulo akanifuta nayeye akajisafiaha Kisha akanishika mkono tukaenda bafuni kuoga hapo nina aibu za mwaka 🙌 Basi kule bafuni aka......ITAENDELEA.

SITAKI KUSEMA KILICHOTOKEA BAFUNI AISEE NAOGOPA HATA KUSEMA.
HAKIKISHA HAUKOSI SEHEMU IJAYO.

NUKUU "Wakati mwingine katika kufanya mapenzi haitakiwi mkutane mnaojua wote, mmoja ajue then mwingine ajifunze ufundi. Yani inatakiwa mmoja anogoewe kwa vitu anavyopewa kwamba hajawahi kupata popote then mwingine aenjoy kumpa mwenzake vitu ambavyo hajawahi kupatiwa na mtu mwingine yoyote. Hapo ndio huzaliwa ile kauli kuwa huyu kwa anayonipatia simuachi na mwingine anasema Namfundisha mwenyewe huyu hawezi kuniacha, yes Mapenzi Matamu ukimpata mnaependana Alisema Aslay"
 
NANI ALISTAHILI 🎵🥱
Sehemu ya 5
MTUNZI: Madodi ✍🏼

........ILIPOISHIA........"Naumia my toa kwanza baby jaman mimi nina muda mrefu itoe kwanza,😌"

Jamaa ndo kwanza anakazana hakuchelewa Wala hakuwai kama kuku bao la kwanza si mnalijua ..🙈 akawa amemaliza aisee alichukua taulo akanifuta nayeye akajisafiaha Kisha akanishika mkono tukaenda bafuni kuoga hapo nina aibu za mwaka 🙌 Basi kule bafuni aka......SONGA NAYO.

Akataka tena yan aliposhusha la kwanza P Diddy hakulala aisee basi kudigo tu akawa anataka tena nikampa Oyooo nyiee maana ashanambia style yake pendwa so tulianzia huko huko bafuni tulikulanaaa hakukojoa tukahamia kitandani Sasa nikabinuka vizuri nikampa unooo aaaashhh dakika 2 tu akasalimu amri😋 turilud kuoga Sasa hapo ni saa 10 jioni then tukala.

Kidogo Sasa hata lilee wenge langu lilipungua tukawa tumezindua mapenzi yetu jamani. Sasa kesho yake niliamka kwa bibi kunauma yaan kama nimebikiriwa vile jamaa alikuwa hataki hata nitoke nje alikuwa ananikumbatia muda wote ananiambia hajutii kuwa na mimi amefurahi sana alinipa zawadi zangu.

Sasa nilikaa naumwa ilifika hatua akiniingilia hadi vidamu vinatoka mmmh hii nini Tena??? Yaan niliumia jaman nadhan ni kule kusuguliwa Kila muda. Huyu ndiye mwanaume alilia na kumwaga chozi mbele yangu alilia jamani.

Nikamsimulia Maisha yangu tangu mwanzo na yeye aliniaimulia Kila kitu kuhusu kwao nililia zaidi jamani historia ya kwao haikuwa nzuri hata kidogo na yeye ndo alikuwa mkombozi wa kwao kama mimi tu tulilia mno😭

Tukaweka nadhiri kuwa makaburi yetu tutazikwa mchanga ushikane, yaan hamna kuachana japo halikuwa kiapo Cha damu ila tuliunganisha Kwa machozi kuwa Kila mtu awe mfariji wa mwenzie mpaka mwisho, alinipa uhuru na Kila kitu chake. (Someni kwa makini ili mje mseme nani alistahili)

Nilichompendea huyu Rick hanibani yani kama simu hafatilii mambo ya watu. Kutoka anakuruhusu halafu ni muelewa siyo wale wanajifanya wajuaji sana, kingine mkimya alikuwa hana maneno ya papara Noo halafu simu yake Haina password wala hatafutwi navidada hana mazoea hayo full amani.

Tulikaa lodge pale siku 5 zikaisha alikataa kuondoka tukaongeza siku moja zikawa 6 hapo. Sasa jaman nyieee😭Siku ya kuamkia safari hatukulala tulilia usiku kucha. Kiukweli sikutaka kuwa nae mbali kabisa alikuwa mwanaume na nusu😭alijua kunipooza alifuta Kila kovu moyoni kwangu nilisamehe hadi niliokuwa na vinyongo nao wote.


Hapa Sasa nimemiliki mwanaume wangu wa peke yangu, wa kutamba nae😛😋kwanza siyo bahili bwana alaah siyo unadate na limtu kazi kuuliza kichwa kinauma kwani ulifanyaje 😏badala atume Hela uende hospitali alaah.

Usiku huo ulikuwa wa ahadi tu na viapo ulikuwa usiku wa kupangilia maisha yetu na ya kitaaluma pia hatukulala kabisa.

Imefika saa 10 akaenda bafuni basi mimi usingizi ukanibeba akaanza kujiandaa aisee Mimi nmelala alioga akavaa nguo, akawa amepanga Kila kitu halafu yuko mlangoni anafungua mlango weeeh🙄usingizi ulikata wote.

Nilikurupuka usingizini nikaona ameshavaa weee nilitoka nduki hadi alipo na hivi Mimi ni chobonge aisee🤣nilimkumbatia nalia eti

"Rick unataka kunitoroka, kwanini unatoroka? nilijua tu utanichezea uniache!!🙈"

Alinibeba juu juu Hadi kwenye kochi akawa amenipakata akanibeba akaanza kunituliza eti "najiandaa ila muda Bado sana kwahiyo lala nitakuamsha" nikasema hapana hapo tumelala saa 10 hiyo hiyo yeye hakurudi kulala ila me ndo nikawa nimeanza kusinzia.

Basi tulianza kulia tu tukiongozwa na maneno "SIWEZI KUKUACHA, NITALINDA AHADI ZETU, NAKUPENDA, NATAMANI NISISAFIRI"😛 yani nisiwadanganye jamaa kitandani nilimfundiaha Kila kitu jamani alikuwa anajua kuingza na kutoa tu,😌 denda shida kunyonya shida so nilimfundisha Kila kitu tulikuwa tunafanya kama practical yaan hizo siku 5 tulijaribu Kila kitu kwenye mapenzi kasoro michezo mibaya ya sodoma na gomora hatuna huo ujinga ,lakini anajua kucare,alinipa muda wake woote .

Basi mida ya saa 11 alafajiri hiyo Aliniinua akanionesha vitu alivyonipa nguo bukta taulo saa na kofia na mshati mkubwa hivi alisema baba yake alimpaga huo mshati kwahiyo kanipa kama ishara ya kuniingiza kwenye familia Yao rasmi,😌 ili mradi tu ukumbuaho uwepo.

Basi bwana hatimae akaondoka nilibaki nalia kama nimefiwa alivyosikia nalia akarud Tena ndani😛 akaniambia haya shika biblia ( aliniletea hiyo biblia kama zawadi ) akanipa mistari ya kusoma basi akanambia niikariri anakuja kunisikiliza niirudie nikiweza kuikariri haondoki anaongeza siku moja mbele😛........ITAENDELEA. AISEE UTAMU KUNOGA😍

JE ALIWEZA KUKARIRI, JE HAIKUA DANGANYA TOTO UKUTE RICK KASEPA! JE ALIONGEZA SIKU MOJA MBELE KWELI? MASWALI YOTE MAJIBU EPISODE IJAYO.

NUKUU "Siku zote kila penzi likianza wapenzi hujiona hapa ni mpaka kifo, na watu wengi huinjoy mapenzi yao mwanzoni kabisa, sio kwamba wengine wengine hawainjoy mbeleni ila sio wote wanawapata waliosahihi au wengine wanakuja kuingiwa na tamaa katika Maisha yao ya mahusiano"
 
NANI ALISTAHILI 🎵🥱
Sehemu ya 6.
MTUNZI: Madodi ✍🏼

.....ILIPOISHIA.....Basi bwana hatimae akaondoka nilibaki nalia kama nimefiwa alivyosikia nalia akarud Tena ndani😛 akaniambia haya shika biblia ( aliniletea hiyo biblia kama zawadi ) akanipa mistari ya kusoma basi akanambia niikariri anakuja kunisikiliza niirudie nikiweza kuikariri haondoki anaongeza siku moja mbele😛SONGA NAYO 👇🏽

Wee niliinamia biblia kama mweu nakariri 😄imefika saa 12 nasema huyu mbona haji magari yatamuacha au kahairisha😄 nashika simu nakutana na sms eti

"Ndo tunaondoka stand mke wangu byeeee" (Kweli wanaume wanaume tu)

Aaagh😄niliachia msonyo wa uchungu Aaaa ila ndo kashaenda Sasa bwna. Basi nilimwambia alale maana usiku tumekesha akasema sawa analala saivi na mimi nikachukuaa blanket nikauchapa usingizi hadi saa 4.

Niliipoamka nikaagiza chai nikanywa nikakagua vitu vyangu alivyonipa baby then nikarudi zangu chuoni Sasa😔. Yani kufika chuo daah nilikuwa nawaona wanachuo wote kama wavuta shisha🤣msiseme nina dharau jamani wewe umetoka kumpata wa peke yako halafu sio mhuni utaacha kuringa???

Mawasiliano yaliendelea yani penzi ndo lilizaliwa upya sasa mara 3 ya lile ambalo lilikuwepo kabla hatujaonana. Niliinjoy sana huyu boy jamn alikuwa ananipenda halafu ananipenda Tena. Alikuwa ananiambia huko alikopita alikuwa anakutana na uchi ila kwangu ndo kapata tunda tamu heheheh yaani nilikuwa naulizwa ruhusa kwakila kitu hata dada zake wakimtafuta ananipa umbea wife Kuna hili na lile. Hata kama yuko kipindi tunachat au ananipanga akitoka tu tunaendelea bwana kwan bei gani 🤣

Nimesoma chuo bila kuchepuka wala kuwaza kuchepuka nilikuwaga na baby face jamani sura ninayo, shape ndo ya bibi ila wanaume kama kawaida hawaachi kusumbua na hivi najipenda. Mimi nilikuwa nikitongozwa chap Nampa umbea baby wangu basi tutamjadili huyo boy mpaka akome🤣 na yeye kadadaaada kakimshobokea tu ananiambia chap tutakajadili mpaka kafe.


😛Huyu alikuwa ni zaidi ya mpenzi, zaidi ya rafiki yaan tuliunda hadi majina tukawa tunaitana 🤣Tulikuwa na rejesta zetu ukisikia "meals mega" hapo ujue mtu anataka kupuchua hahah wahuni washanielewa🤣

Basi tuliishi hivyo bwana full amani ugomvi ulikuwepo lakini wa kiheshima ikitokea tumekwaruzana hali mtu wala halali mpaka amani ipatikane na penzi liwe la moto zaidi. Sisi tulikuwaga tunaamini KILA UGOMVI/ MGOGORO TUNAOPITIA UNAKUZA KIWANGO CHA UPENDO NA UAMINIFU. Pale Chuoni niliwadanganya nimeshaolewa na huyo ni mume wangu, Yeye pia huko chuo kwao alisema ana mke ndo Mimi hapa 🤣.

Basi kufika mwezi wa pili uzalendo ulimshinda chibaba akaamua ahamie getho kumbuka chuo alikuwaga anakaa hostel. Basi alipanga chumba ili iwe rahisi mimi niwe naenda kwake ili kupunguza gharama za guest maana tunategemea mkopo na pia kupata uhuru zaidi asee kweli alinunua kitanda akapanga getho akaweka kila kitu, meza ya kusomea na gas na vyombo vya kupikia nikawa natafuta ruhusa chuo huyoooo naendaaa yani mimi ni wale watu ambao kusoma siyo kiviiile ila kufaulu tunafaulu 🤣yaan sihudhurii vipindi kahisaaa.

Kwa mara ya kwanza nilisafiri nikaenda Iringa jamani aaaagh kufika tu nili........ITAENDELEA.

ALIFANYAJE TENA?
JE KIPI KITATOKEA HUKO IRINGA? HATARUDI NA MIMBA KWELI HUYU🤔😢 JE KWAO KAAGA VIPI? JE WAKIJUA ITAKUAJE?

NUKUU "Mapenzi hayafi kwa umbali ila yanakufa kwakua na mashaka, Haijalishi ni umbali kiasi gani ili kama mizizi ya penzi lenu ipo imara na inaendelea kustawi utalifuata penzi tu. Penzi hili la Rick ni mfano wa penzi la kweli linavyotakiwa kuwa"
 
NANI ALISTAHILI 🎵🥱
Sehemu ya 6.
MTUNZI: Madodi ✍🏼

.....ILIPOISHIA.....Basi bwana hatimae akaondoka nilibaki nalia kama nimefiwa alivyosikia nalia akarud Tena ndani😛 akaniambia haya shika biblia ( aliniletea hiyo biblia kama zawadi ) akanipa mistari ya kusoma basi akanambia niikariri anakuja kunisikiliza niirudie nikiweza kuikariri haondoki anaongeza siku moja mbele😛SONGA NAYO 👇🏽

Wee niliinamia biblia kama mweu nakariri 😄imefika saa 12 nasema huyu mbona haji magari yatamuacha au kahairisha😄 nashika simu nakutana na sms eti

"Ndo tunaondoka stand mke wangu byeeee" (Kweli wanaume wanaume tu)

Aaagh😄niliachia msonyo wa uchungu Aaaa ila ndo kashaenda Sasa bwna. Basi nilimwambia alale maana usiku tumekesha akasema sawa analala saivi na mimi nikachukuaa blanket nikauchapa usingizi hadi saa 4.

Niliipoamka nikaagiza chai nikanywa nikakagua vitu vyangu alivyonipa baby then nikarudi zangu chuoni Sasa😔. Yani kufika chuo daah nilikuwa nawaona wanachuo wote kama wavuta shisha🤣msiseme nina dharau jamani wewe umetoka kumpata wa peke yako halafu sio mhuni utaacha kuringa???

Mawasiliano yaliendelea yani penzi ndo lilizaliwa upya sasa mara 3 ya lile ambalo lilikuwepo kabla hatujaonana. Niliinjoy sana huyu boy jamn alikuwa ananipenda halafu ananipenda Tena. Alikuwa ananiambia huko alikopita alikuwa anakutana na uchi ila kwangu ndo kapata tunda tamu heheheh yaani nilikuwa naulizwa ruhusa kwakila kitu hata dada zake wakimtafuta ananipa umbea wife Kuna hili na lile. Hata kama yuko kipindi tunachat au ananipanga akitoka tu tunaendelea bwana kwan bei gani 🤣

Nimesoma chuo bila kuchepuka wala kuwaza kuchepuka nilikuwaga na baby face jamani sura ninayo, shape ndo ya bibi ila wanaume kama kawaida hawaachi kusumbua na hivi najipenda. Mimi nilikuwa nikitongozwa chap Nampa umbea baby wangu basi tutamjadili huyo boy mpaka akome🤣 na yeye kadadaaada kakimshobokea tu ananiambia chap tutakajadili mpaka kafe.


😛Huyu alikuwa ni zaidi ya mpenzi, zaidi ya rafiki yaan tuliunda hadi majina tukawa tunaitana 🤣Tulikuwa na rejesta zetu ukisikia "meals mega" hapo ujue mtu anataka kupuchua hahah wahuni washanielewa🤣

Basi tuliishi hivyo bwana full amani ugomvi ulikuwepo lakini wa kiheshima ikitokea tumekwaruzana hali mtu wala halali mpaka amani ipatikane na penzi liwe la moto zaidi. Sisi tulikuwaga tunaamini KILA UGOMVI/ MGOGORO TUNAOPITIA UNAKUZA KIWANGO CHA UPENDO NA UAMINIFU. Pale Chuoni niliwadanganya nimeshaolewa na huyo ni mume wangu, Yeye pia huko chuo kwao alisema ana mke ndo Mimi hapa 🤣.

Basi kufika mwezi wa pili uzalendo ulimshinda chibaba akaamua ahamie getho kumbuka chuo alikuwaga anakaa hostel. Basi alipanga chumba ili iwe rahisi mimi niwe naenda kwake ili kupunguza gharama za guest maana tunategemea mkopo na pia kupata uhuru zaidi asee kweli alinunua kitanda akapanga getho akaweka kila kitu, meza ya kusomea na gas na vyombo vya kupikia nikawa natafuta ruhusa chuo huyoooo naendaaa yani mimi ni wale watu ambao kusoma siyo kiviiile ila kufaulu tunafaulu 🤣yaan sihudhurii vipindi kahisaaa.

Kwa mara ya kwanza nilisafiri nikaenda Iringa jamani aaaagh kufika tu nili........ITAENDELEA.

ALIFANYAJE TENA?
JE KIPI KITATOKEA HUKO IRINGA? HATARUDI NA MIMBA KWELI HUYU🤔😢 JE KWAO KAAGA VIPI? JE WAKIJUA ITAKUAJE?

NUKUU "Mapenzi hayafi kwa umbali ila yanakufa kwakua na mashaka, Haijalishi ni umbali kiasi gani ili kama mizizi ya penzi lenu ipo imara na inaendelea kustawi utalifuata penzi tu. Penzi hili la Rick ni mfano wa penzi la kweli linavyotakiwa kuwa"
Tunasubiri muendelezo boss
 
NANI ALISTAHILI 🎵🥱
Sehemu ya 6.
MTUNZI: Madodi ✍🏼

.....ILIPOISHIA.....Basi bwana hatimae akaondoka nilibaki nalia kama nimefiwa alivyosikia nalia akarud Tena ndani😛 akaniambia haya shika biblia ( aliniletea hiyo biblia kama zawadi ) akanipa mistari ya kusoma basi akanambia niikariri anakuja kunisikiliza niirudie nikiweza kuikariri haondoki anaongeza siku moja mbele😛SONGA NAYO 👇🏽

Wee niliinamia biblia kama mweu nakariri 😄imefika saa 12 nasema huyu mbona haji magari yatamuacha au kahairisha😄 nashika simu nakutana na sms eti

"Ndo tunaondoka stand mke wangu byeeee" (Kweli wanaume wanaume tu)

Aaagh😄niliachia msonyo wa uchungu Aaaa ila ndo kashaenda Sasa bwna. Basi nilimwambia alale maana usiku tumekesha akasema sawa analala saivi na mimi nikachukuaa blanket nikauchapa usingizi hadi saa 4.

Niliipoamka nikaagiza chai nikanywa nikakagua vitu vyangu alivyonipa baby then nikarudi zangu chuoni Sasa😔. Yani kufika chuo daah nilikuwa nawaona wanachuo wote kama wavuta shisha🤣msiseme nina dharau jamani wewe umetoka kumpata wa peke yako halafu sio mhuni utaacha kuringa???

Mawasiliano yaliendelea yani penzi ndo lilizaliwa upya sasa mara 3 ya lile ambalo lilikuwepo kabla hatujaonana. Niliinjoy sana huyu boy jamn alikuwa ananipenda halafu ananipenda Tena. Alikuwa ananiambia huko alikopita alikuwa anakutana na uchi ila kwangu ndo kapata tunda tamu heheheh yaani nilikuwa naulizwa ruhusa kwakila kitu hata dada zake wakimtafuta ananipa umbea wife Kuna hili na lile. Hata kama yuko kipindi tunachat au ananipanga akitoka tu tunaendelea bwana kwan bei gani 🤣

Nimesoma chuo bila kuchepuka wala kuwaza kuchepuka nilikuwaga na baby face jamani sura ninayo, shape ndo ya bibi ila wanaume kama kawaida hawaachi kusumbua na hivi najipenda. Mimi nilikuwa nikitongozwa chap Nampa umbea baby wangu basi tutamjadili huyo boy mpaka akome🤣 na yeye kadadaaada kakimshobokea tu ananiambia chap tutakajadili mpaka kafe.


😛Huyu alikuwa ni zaidi ya mpenzi, zaidi ya rafiki yaan tuliunda hadi majina tukawa tunaitana 🤣Tulikuwa na rejesta zetu ukisikia "meals mega" hapo ujue mtu anataka kupuchua hahah wahuni washanielewa🤣

Basi tuliishi hivyo bwana full amani ugomvi ulikuwepo lakini wa kiheshima ikitokea tumekwaruzana hali mtu wala halali mpaka amani ipatikane na penzi liwe la moto zaidi. Sisi tulikuwaga tunaamini KILA UGOMVI/ MGOGORO TUNAOPITIA UNAKUZA KIWANGO CHA UPENDO NA UAMINIFU. Pale Chuoni niliwadanganya nimeshaolewa na huyo ni mume wangu, Yeye pia huko chuo kwao alisema ana mke ndo Mimi hapa 🤣.

Basi kufika mwezi wa pili uzalendo ulimshinda chibaba akaamua ahamie getho kumbuka chuo alikuwaga anakaa hostel. Basi alipanga chumba ili iwe rahisi mimi niwe naenda kwake ili kupunguza gharama za guest maana tunategemea mkopo na pia kupata uhuru zaidi asee kweli alinunua kitanda akapanga getho akaweka kila kitu, meza ya kusomea na gas na vyombo vya kupikia nikawa natafuta ruhusa chuo huyoooo naendaaa yani mimi ni wale watu ambao kusoma siyo kiviiile ila kufaulu tunafaulu 🤣yaan sihudhurii vipindi kahisaaa.

Kwa mara ya kwanza nilisafiri nikaenda Iringa jamani aaaagh kufika tu nili........ITAENDELEA.

ALIFANYAJE TENA?
JE KIPI KITATOKEA HUKO IRINGA? HATARUDI NA MIMBA KWELI HUYU🤔😢 JE KWAO KAAGA VIPI? JE WAKIJUA ITAKUAJE?

NUKUU "Mapenzi hayafi kwa umbali ila yanakufa kwakua na mashaka, Haijalishi ni umbali kiasi gani ili kama mizizi ya penzi lenu ipo imara na inaendelea kustawi utalifuata penzi tu. Penzi hili la Rick ni mfano wa penzi la kweli linavyotakiwa kuwa"
Tunasuisubiri boss
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom