KARANJA 007
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,990
- 2,521
Hapana, mimi nimeshapata wangu wa ubani humu humu jukwaani, bado hatujaonana,lakini tushafanya tendo la ndoa mara nyingi sana.ulikuwa kwenye process za kutupa ndoano nn
Hapana, mimi nimeshapata wangu wa ubani humu humu jukwaani, bado hatujaonana,lakini tushafanya tendo la ndoa mara nyingi sana.ulikuwa kwenye process za kutupa ndoano nn
Hata mkojo wa nguruwe pia ni dawa ya kukufanya uzubae halafu usahau,maana unakuwa zoba.Dada wenzio kule IG wametoa ushuhuda kwamba ukinywa haja ndogo yako ukanuia kumsahau inatokea matokeo ndani ya siku mbili tu.
Keel kabisaaaa yaan mtu amuache tu hiv hiv haiwezekan naona anavutia kwake zaidSisi wanaume huwa hatuna tabia kama za wanyama za kuwaacha tu wapenzi bila sababu lazima kuna kitu ulimfanyia kibaya must
Yaan nimeachwa kwenye mataa mapenzi yanauma jamani yaani nimekaa na huyu mwanaume kwa miaka mitano nimekataa wanaume kibao ambao alikua wanani-approach wakiwa na nia njema nahisi nimechanganyikiwa sielewi wapi pakuanzia.
Nimelia hadi sauti imekauka i regret the day i said yes to him. Wanaume shikamooni sikuwai kudhani kuwa alikua na mahusiano nje, kha nimepata life time lesson wanawake wa humu muwe macho hapa nawaza ningekua nimemzalia daaah ningekua na hali gani nahisi ningechizi.
Hebu wanajammii nishaurini ntamsahauje huyu maana naona kama siwez siku ya nne leo am not myself. Yaan kadiriki kumpa simu mwanamke wake mpya waniambie kuhusu uhusiano wao mapenzi yauma jamani najiuliza nina tatizo gani jaman jaman nitamsahauje huyu.........
Si kweli, sema sisi wanaume kuna sehemu tunajua tunapita na hatusemi ukweli.Keel kabisaaaa yaan mtu amuache tu hiv hiv haiwezekan naona anavutia kwake zaid
Hata mkojo wa nguruwe pia ni dawa ya kukufanya uzubae halafu usahau,maana unakuwa zoba.
Kweli kojo la punda dawa,lakini ni dawa ya kikohozi tu.Mimi nachojua kojo la Punda ndio dawa.
teh teh sijui mlilifanyaje hilo tendo angali bado hamjaonana hiyo itakuwa miujiza mkuuHapana, mimi nimeshapata wangu wa ubani humu humu jukwaani, bado hatujaonana,lakini tushafanya tendo la ndoa mara nyingi sana.
Tuko karne ya 21,yaani KI DOT COM,AU KIDIGITALI,sisi tunafanya kitu inaitwa cybersex kielectroniki na tunatosheka na uvhovu juu.teh teh sijui mlilifanyaje hilo tendo angali bado hamjaonana hiyo itakuwa miujiza mkuu
Kuna wanaume hata umbembe mgongoni lakini hajui anachokitaka alafu ni ushamba kumuumiza mwenzio kwa kumpa mwanamke mwenzie aongee nae yaonyesha uyo kaka ndo tabia yake au hana confidence ya kujieleza maana ingekuwa vyema kama angemueleza tu personally mwenyewePole sana bibie, ila hakuna kitokeacho bila sababu kuna kitu utakuwa umemfanyia akaona hamuwezi kuendana. So bora kila mtu atafute watakayewezana japo nahisi atakuwa hajakuambia tatizo nini.
Kuna wanaume wengine huwa hatupendi kukomandiwa,kuendeshwa hata kupayukiwa na wenza wetu yawezekana ukawa na moja kati ya hayo.
Yaani kuna siku nilisha wahi kuachwa na demu nili data hadi nikamtafuta mwanasaikologia akanipa msaada japo msaada wake kwa kiasi flani ulinisaidia now na miaka 7 sijawah kuwa na mahusiano na mwanamke nikiwa na shida naenda ilala naende kuchukua mzingo wa buku mbili jero natulinza mtima wangu!
Pole dada vaileth zainab wanaume hatuko hivyo kuna kitu utakua umemuuzi! Jikeep busy utamusahau tu, miaka mitano mbna kidogo sana mi nikajua mumezaliwa wote mkakua wote, fikiria kipindi hujamfahamu kwani uliishije.
Dada pole sana,yaliyokupata wewe yalinipata mimi,ingawa mie ni mwanaume.Yupo dada mmoja nilimpenda sana sana,na nilimkuta darasa la 7 nikamsomesha akafika diploma,nikampangia nyumba na nikamtafutia kazi,mie nina mke wangu wa ndoa yeye akawa nyumba ndogo.Tuliishi nae miaka 7 na kila nikimpa mimba anatoa,akaomba nimbunulie gari nikafanya hivyo na kila alichoomba nilijitahidi kumpa.Siku moja alinipigia simu akiwa na mama take mzazi na kuniambia nimkome na kwamba hana shida na mimi bali alikuwa na shida na hela zangu hivyo nisimjue tena.Nilisikia uchungu sana nikamjibu asante.Kila siku nilikuwa namuomba mungu anipe uwezo nimsahau na ansamehe yule dada,baada ya mwaka nilimsahau kabisa na nilipata mdada mwingine ambae tunaishi nae vizuri sana,sasa baaday ya miaka 4 hivi yule dada alipigika ile mbaya sasa hivi yupo tu hapa mjini anafanya vibarua vya kufagia ofisi za watu,nakuomba ujifunze kitu kwenye huu mkasa wanguYaan nimeachwa kwenye mataa mapenzi yanauma jamani yaani nimekaa na huyu mwanaume kwa miaka mitano nimekataa wanaume kibao ambao alikua wanani-approach wakiwa na nia njema nahisi nimechanganyikiwa sielewi wapi pakuanzia.
Nimelia hadi sauti imekauka i regret the day i said yes to him. Wanaume shikamooni sikuwai kudhani kuwa alikua na mahusiano nje, kha nimepata life time lesson wanawake wa humu muwe macho hapa nawaza ningekua nimemzalia daaah ningekua na hali gani nahisi ningechizi.
Hebu wanajammii nishaurini ntamsahauje huyu maana naona kama siwez siku ya nne leo am not myself. Yaan kadiriki kumpa simu mwanamke wake mpya waniambie kuhusu uhusiano wao mapenzi yauma jamani najiuliza nina tatizo gani jaman jaman nitamsahauje huyu.........
Ninajua aina ya maumivu inayopitia maana nilishawahi kukutana na Kisanga cha aina hiyo indirectly. Binafsi nilihama kabisa na kuepuka vitu ambavyo vilikuwa vinanipa kumbukumbu Zake. Nikawa mtu wa kanisani zaidi. nilipoona kumuepuka imeshindikana kupunguza maumivu nilihama nchini kwa muda. Hii ilifanya kazi kwani ni mwaka tu nikamsahau kimoja. So na wewe anza kufuta namba yake, futa meseji zote za kila aina mlizotumiana, vunja picha zake, nguo zake Choma moto, epuka kukutana au kuongea na watu watakaokukumbusha habari zake, ma mwisho kabisa kuwa busy na mambo ya kanisa au msikitini. kumbuka kumsahau mtu ni process hivyo kidogo kidogo itazoea.
Shooga usilie tena piga moyo konde sema bas alafu jiongezee machoz ulio lia ayata enda bure all the best![]()
![]()
![]()
![]()
Kwan na comment vibayaBest leo naona umeandika gazeti...halafu full mabusara..ha ha ha
hahahahahahha jamaniiii unaweza uka imagine tu mtu anayetia huruma yukoje na wewe umuonee hurumapole,ni jambo la kawaida katika mapenzi,ila ungeweka picha yako japo tukuone unavotia huruma