hippocratessocrates
JF-Expert Member
- Jul 1, 2012
- 3,598
- 1,545
magufuli ni mpango wa mungu,hakuna namna nyingine tanzania inahitaji mtu mwenye kaliba ya magufuli aka kagame wa tanzania
Maneno kama haya yalisemwa kwa Lowassa, anyway ngoja tusubiri.
magufuli ni mpango wa mungu,hakuna namna nyingine tanzania inahitaji mtu mwenye kaliba ya magufuli aka kagame wa tanzania
Mkuki kwa nguruwe! Mmesahau 2010 mapadri walivyompigia debe dk slaa? Hii nchi inaongozwa na kanisa na Kama kanisa limeamua magufuri awe rais hakuna wa kupinga nyie mnasikiliza viongozi wenu wanasema nini na kufata tu, kipindi cha nyuma mliwalaumu waislam kwa kuchanganya dini na siasa ila hata nyie mlikuwa mnachanganya tatizo waislam hawakua wanafiki walisema waziwazi Kama mnavyofanya nyie leo
Waliosema wananchi wapige kura ya hapana kwa katiba pendekezwa mliona ni sawa tuu leo wamewaambia mmchague Magufuli imekuwa Nongwa tatizo lenu mnataka tu kusikia vitu vinavyowafurahisha na kwa taarifa leo Magufuli yuko chato na leo au kesho atafanyiwa misa Maalumu
Inasemekana rais mkristo atatoka katoliki tu. Na rais muislamu atatoka ------------tu hivyo basi huyu ajaye ni rais wa katoliki ingawa katoliki ilimtaka Pinda sasa inabidi wamsapoti huyu. EL dhehebu pia limemponza tz ni katoliki na shia. Mi mkatoliki wa kufa na kuzikana ila huyu padri anapaswa kuvuliwa joho mambo ya udini sifagiliii issue inaishia kwenye ukawa vs ccm
kama kawaida yao,ndio maana wanadharaulika,
ngoja nimpigie gwajima nimpe jina la huyu padri ampe za uso
Waliosema wananchi wapige kura ya hapana kwa katiba pendekezwa mliona ni sawa tuu leo wamewaambia mmchague Magufuli imekuwa Nongwa tatizo lenu mnataka tu kusikia vitu vinavyowafurahisha na kwa taarifa leo Magufuli yuko chato na leo au kesho atafanyiwa misa Maalumu
Mbona unajichanganya ......... kama unavyosema ni kweli, mbona Slaa hakuupata Urais 2010!!!
Je yule aliye acha upadri na kukimbilia tamaa ya Mwili?.... huyo padre alaaniwe
Tangu Mapadre na maaskofu walipoonekana kwenye wapokea fedha za wizi za ESROW na benk yao ndo ikahusika ,siwaamini tena na ndo malipo yao sasa wanatumikia.