tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 22,053
- 18,588
Kithibitisheje wakati wenyewe wamekiri kosa hadharani? Kilichopo ni kuwakamata na kuwafungulia mashtaka. Wakifungwa jela miaka 30 wakitoka hivyo vyeti vitakuwa havina maana tena.Chuo kitawezaje kuthibitisha hili?