Mapacha waliokiri kufanyiana mtihani chuo matatani, Chuo cha Ardhi wasema wanachunguza suala hilo

Hamna kesi hapo Babalevo kuna kitu kakiongea hapo mwishoni listen carefully
 
Kamasi zimeingiaje hapo..
Vijana wa siku hizi mnakosa Kabisa Uwezo wa kujenga hoja..
Umesoma nilichoandika?

Nilichozungumza ni Kama wao wakihojiwa na wakajibu hivyo kuna mtu Wa kuwashitaki?
Chuo kimeguswa wapi kwa kauli yao hiyo?
Je kuna mahali walikashfu chuo?

Wakati mwingine mjifunze kujenga hoja Sio mnaropoka tu kwa kuwa mna uwezo wa kuropoka..

Yule mwenzenu SUKUNUNU kumbe ni Kinyozi halafu anatukana Viongozi..

Unakuta hata wewe maskini Ya Mungu..Unakaa kwa shemeji yako..Na unalala Sebuleni au ni mwalimu wa Shule ya Kindergarten halFu unaniambia Nimejaza kamasi..?

Shame on you! Na ujifunze kujenga hoja bila matusi! matusi sio hoja
Nakuuliza tena,ukijisifu mbele ya camera ulifaulu kwa cheating chuo hakijajua...na unajua kwa mujibu wa sheria cheating ni criminal.
Huoni kuwa chuo cha Ardhi kinaingia kwenye kashfa nzito juu ya wahitimu wake, Taifa na Dunia kwa ujumla kuhusu wahitimu wanaozalishwa chuoni hapo?

wewe unaona hiyo ni kawaida kabisa?

Kwahiyo ukifanya criminal ukahojiwa ukasema nilifanya kiki unaachwa unatembea zako ?

Sukununu kajitengenezea kiki kama wewe na wewe boya umeingia kwenye mtego wake.

Kamasi toka lini likawa tusi?

Ndo maana nakuuliza dr mangungo kichwani umejaza kamasi mpaka hili linakushinda kuona?
 
Ukiwa na furaha sana au hasira kuwa makini sana na maneno utakayotamka.
Hao kitakachowasaidia serikali yetu inapenda kuficha mazaifu yao sana, utasikia "tumefanya uchunguzi tumegundua hao mapacha wamedanganya, mifumo yetu ni imara sana hakuna anaeweza kumfanyia mtihani mtu mwingine hata mfanane kama IST"
 
Hivi unakiri vipi kwenye kweye TV inayotazamwa na watu wengi hivyo jambo linaloweza kukuingiza matatani? Haya sasa mambo yameharibika!


Chuo Kikuu Ardhi kimepata taarifa kupitia Wasafi FM, chaneli ya YouTube ya mahojiano kati ya waandishi wa habari na mapacha wawili wanaofanana. Mahojiano hayo yalirushwa siku ya Jumatano, tarehe 6 Machi, 2024 kwenye kipindi cha Jana na Leo.

Kwenye mahojiano hayo, mapacha hao walisikika kupitia chombo hicho cha habari kuwa walisoma “Chuo cha Ardhi” na kufanya mtihani wa Hydrolojia. Katika mtihani huo, mmoja wa mapacha hao alikiri kumfanyia pacha mwenzake mtihani wa marudio (supplementary) kwa kutumia kitambulisho cha pacha mwingine.

Chuo Kikuu Ardhi tunchunguza ukweli wa taarifa hizo na baada ya uchunguzi kukamilika, umma utajulishwa matokeo ya uchunguzi huo

Imetolewa na:
Prof. Evaristo Liwa
Makamu Mkuu – Chuo Kikuu Ardhi
7 Machi, 2024

View attachment 2927199

Pia soma: Chuo cha Ardhi kinapaswa kuchukua hatua dhidi ya mabinti mapacha waliokiri kufanyiana mitihani
hakuna lolote hapo. Hiyo ni hearsay na wala haiwezi kuwa na nguvu za kisheria kuweza kuwafutia digrii zao. Kama mlishindwa kuwasimamia wakati wa mitihani, kaeni kimya.

Mapacha walikuwa wananipa shida sana darasani kwangu kiasi kuwa baadaye niligungua namna ya kuwakamata. Katika kila mapacha wawili, mmoja wao huwo siyo msemaji sana. Ukishajua hivyo basi unahakikisha unaijua registration namba ya huyo ambaye siyo msemaji, kwani ukimbana huwa siyo siyo mbishi sana,
 
Nakuuliza tena,ukijisifu mbele ya camera ulifaulu kwa cheating chuo hakijajua...na unajua kwa mujibu wa sheria cheating ni criminal.
Huoni kuwa chuo cha Ardhi kinaingia kwenye kashfa nzito juu ya wahitimu wake, Taifa na Dunia kwa ujumla kuhusu wahitimu wanaozalishwa chuoni hapo?

wewe unaona hiyo ni kawaida kabisa?

Kwahiyo ukifanya criminal ukahojiwa ukasema nilifanya kiki unaachwa unatembea zako ?

Sukununu kajitengenezea kiki kama wewe na wewe boya umeingia kwenye mtego wake.

Kamasi toka lini likawa tusi?

Ndo maana nakuuliza dr mangungo kichwani umejaza kamasi mpaka hili linakushinda kuona?
Habari Lukubuzo!
Kwanza kabisa Cheating sio Criminal.
Napata wasiwasi kama kweli unajua Sheria hata kidogo au Hata ile Ya Ngumbaru kama mimi..

Nakubali Kichwani Nimejaza kamasi lakini Siwezi kufika Mahali Nikasema Cheating is Criminal.

Kuna Tofauti Kubwa kati ya MisCONDUCT/Displinary Offence na Criminalism..

Nenda kajifunze kuhusu Hivyo..

Kwa leo nitakuelekeza kuhusu Misconduct ya Cheating..

Misconduct ni kuvunja Taratibu (Code of conduct) zilizowekwa na Chuo au Pia unaweza ukaita ni Displinary Offence (Uhalifu wa kinidhamu)..

Sasa Displinary Offence na Code of Conduct haiwezi kumcriminalise Mtu ila ina mDishonor (Kumuondolea Heshima aliokuwa nayo)..

Kwa mujibu wa Code of conduct za Ardhi..
Kifungu cha 8.8 kifungu kidogo cha 1 na 2 hapo utajifunza maana ya Code of conduct..

ila ukisoma 8.8[3](i) utaelewa kosa walilofanya Wale Mapacha..


Shukrani na Karibu
20240311_082840.jpg
 
Habari Lukubuzo!
Kwanza kabisa Cheating sio Criminal.
Napata wasiwasi kama kweli unajua Sheria hata kidogo au Hata ile Ya Ngumbaru kama mimi..

Nakubali Kichwani Nimejaza kamasi lakini Siwezi kufika Mahali Nikasema Cheating is Criminal.

Kuna Tofauti Kubwa kati ya MisCONDUCT/Displinary Offence na Criminalism..

Nenda kajifunze kuhusu Hivyo..

Kwa leo nitakuelekeza kuhusu Misconduct ya Cheating..

Misconduct ni kuvunja Taratibu (Code of conduct) zilizowekwa na Chuo au Pia unaweza ukaita ni Displinary Offence (Uhalifu wa kinidhamu)..

Sasa Displinary Offence na Code of Conduct haiwezi kumcriminalise Mtu ila ina mDishonor (Kumuondolea Heshima aliokuwa nayo)..

Kwa mujibu wa Code of conduct za Ardhi..
Kifungu cha 8.8 kifungu kidogo cha 1 na 2 hapo utajifunza maana ya Code of conduct..

ila ukisoma 8.8[3](i) utaelewa kosa walilofanya Wale Mapacha..


Shukrani na KaribuView attachment 2931050
That is unethical but not criminal.

Lakini ukitazama kwa angle nyingine holistically.

Kuna kosa la jinai impersonation.

Sijui kama utanielewa ama nimwage nondo zaidi
 
Ni ngumu kudhibitisha,un less chuo wa vidéo za CCTV. Halafu hao mapacha si wapumbavu,watajibu si kweli na walikuwa wanapamba content tu ili kuvuta hisia za watu.
Eti majitu mazima yamekaa yanasema yanataka kuchunguza, sasa yanachunguza nini hapo? Badala ya kufanya mambo Mengine
 
That is unethical but not criminal.

Lakini ukitazama kwa angle nyingine holistically.

Kuna kosa la jinai impersonation.

Sijui kama utanielewa ama nimwage nondo zaidi
Nakubaliana na Wewe kabisa kwamba it was Unethical na sio criminal..

Na nakuelewa Unaposema kuwa Inaweza ikawa kosa la jinai la Impersonation..

Sasa katika kosa la Impersonation inategemea na mazingira ya ufanyaji wa kosa..

Najua unazungumzia Penal Code (Kanuni ya Adhabu ya makosa ya jinai) Kifungu cha 369 mpaka 374..

Lakini usisahau kuwa Ardhi University Kupitia Displinary Commitee ni Quasi-Judicial bodies.

Hivyo kupitia Sheria zake za chuo wanao Uhuru kutatua kesi hizo kwa mujibu wa code of conduct walizoziweka na pia wana Procedure of Displinary Hearing na Inafahamika kisheria..
Kwakijitabu chao ni 8.9,8.10 na 8.11..

Kwa Sheria ya Makosa ya Jinai (Penal Code)..Niliyoweka hapo juu Sorces..
Screenshot_20240311_090521_Adobe Acrobat.jpg


Na kwa University prelimnary Judicial Procedure ni 8.9,8.10 na 8.11..
Hizi ni BAADHI..
20240311_091042.jpg

20240311_091101.jpg


Shukrani Mkuu.
 
Back
Top Bottom