Sababu si wameshatoa kuwa Corona hawajawahi kushuhudia zaidi ya kelele tu za wanasiasa na media.Ukiwauliza wana sababu gani kuipinga, hawana
Ukiwauliza je wamelazimishwa?
Mkuu watu kukataa chanjo sio Tanzania tu hata US na Europe Kuna wengi tu wamekataa chanjo, unataka kusema na hao Magufuli aliwaaminisha chanjo haifai?Magufuli alishawaaminisha kuwa chanjo haifai!
Subiri hadi pale itapogundulika Covid inapunguza nguvu za kiume na chanjo inarejesha majeshi vitani...
😂😂
Hata wanawake nao watakimbilia kuchanjwa kama hiyo chanjo inaongeza nguvu za kiume?Subiri hadi pale itapogundulika Covid inapunguza nguvu za kiume na chanjo inarejesha majeshi vitani...
😂😂
Nazungumzia WatanzaniaMkuu watu kukataa chanjo sio Tanzania tu hata US na Europe Kuna wengi tu wamekataa chanjo, unataka kusema na hao Magufuli aliwaaminisha chanjo haifai?
Fundi we ushachanjwa?Sishangai. Kampeni ya mwaka jana ilikuwa very effective. Na watu tuna imani zaidi na tiba mbadala kuliko za kizungu. Aidha, watu kama Gwajima na mashehe wanaaminiwa kuliko serikali. Ndio maana point ya Mwembe ni muhimu. Watu waambiwe ukweli na sio kujaribu ku rewrite history.
Amandla...
Mkuu kuna sehemu unakosea, Ni mambo mangapi Magufuli kayasema na watu waliyapinga na kuyakataa?Nazungumzia Watanzania
Watanzania majority ambao hawakwenda shule hata hizo taarifa za marekani wanazipata saa ngapi?, wengi wanasikiliza mamlaka za nchini, na Magufuli alishawaprogramu tayari
Mbona wapo waliosema kuwa wanaipinga kwa sababu ni ya mwendokasi…Ukiwauliza wana sababu gani kuipinga, hawana
Ukiwauliza je wamelazimishwa?
Bado Nyani. Lakini sio kwa kupenda.Fundi we ushachanjwa?
Yale ya level za wasomi wasomi waliyakataa na raia wa kawaida wala hawakuwa na interest nayoMkuu kuna sehemu unakosea, Ni mambo mangapi Magufuli kayasema na watu waliyapinga na kuyakataa?
Hivyo suala la kukataa chanjo wala sio sababu ya Magufuli kusema hazifai na ndio maana unaona karibu kila nchi kuna watu wengi tu wanazipinga na kuzikataa hizo chanjo.
Hata Magufuli angesema zinafaa, bado kuna watu wengi tu wangezikataa na kuzipinga
Sasa huoni hii inakinzana na hoja yako hapo juu?Chanjo nisizojua 10 years from now itakuwaje nichanje ya nini?, what if ikaenda kuvuruga sehemu sehemu za mfumo wangu na kusababisha hereditary deformities?.
Chanjo naziamini ila hii ya covid haina utafiti wa kutosha juu ya usalama wake
Halafu huku TZ COVID siyo serious kivile, kwa mujibu wa takwimu rasmi hawajaambukizwa watu wanaofika hata 3000
Hahaaaa. Swali zuri kweliWe kamanda ushachanjwa?
...makubwa kama ya mwenyekiti wa Maisha wa saccos?Ndio watajua madhara ya madaraka makubwa ya Raisi.
Hata wanawake nao watakimbilia kuchanjwa kama hiyo chanjo inaongeza nguvu za kiume?
...Utawala umebadilika mkuu...huenda raia nao wakabadili misimamo.Magufuli alishawaaminisha kuwa chanjo haifai!