Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,519
Kupitia BBC, haya ni maoni ya baadhi ya Watanzania kuhusu chanjo ya Corona iliyozinduliwa jana na Rais Samia.
Kwenye video hii, walioipinga [waliokataa kuchanjwa] ni wengi kuliko walioikubali.
Watu hawa sijui ndo kama wanaakisi maoni ya Watanzania kwa ujumla; yaani Watanzania wengi kuikataa hiyo chanjo.
Hebu nasi tupige kura ya maoni humu JF.