MTANZANIA620
Member
- Jun 20, 2023
- 34
- 30
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (WN-OR TAMISEMI) Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa (MB) 'Mtu Kazi' atakuwa mgeni rasmi katika uwasilishaji wa taarifa ya utekelezaji wa shughuli za maendeleo zilizoahidiwa katika ilani ya uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2020-2025 kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Jimbo la Vunjo kufuatia mwaliko wa Mbunge wa Jimbo hilo Mheshimiwa Dkt Charles Stephen Kimei.
Itakuwa ni tarehe 12/12/2023 katika ukumbi wa Kilacha.
#SiasaNiMaendeleo #MaendeleoKwaVitendo
#TeamMaendeleo #SamiaNaKimei #SisiNaSamia #SisiNaKimei #CCMTena #VitendoVinaSauti #KaziIendelee #MchengerwaMtuKazi View attachment 2833717
Itakuwa ni tarehe 12/12/2023 katika ukumbi wa Kilacha.
#SiasaNiMaendeleo #MaendeleoKwaVitendo
#TeamMaendeleo #SamiaNaKimei #SisiNaSamia #SisiNaKimei #CCMTena #VitendoVinaSauti #KaziIendelee #MchengerwaMtuKazi View attachment 2833717