Manoah ni mfano wa Kuigwa JF

Manoah ni mfano wa Kuigwa JF

Nisikatae huenda mna mfahamu, ila wasifu wake, ni binti mrembo kutoka Tanga, ana umri wa miaka 21, umbo na sura ni kama Jokate, anasoma chuo flani maswala ya uhandisi.. Ni shombe shombe flani ivi.

kwisha habari yako nadhani ndio huyo huyo....hebu rudia tena, shombe shombe!!
 
Mapenzi pasipo kuhalalishwa si haki na ni chukizo kwa Mungu, kwani nilipanga mwaka huu mwezi wa 10, kama ningekua na Maureen tungefunga ndoa. Ndipo ningeludi tena chuo kusoma
We soma tu sasa...ntaongea nae then aniunganishe na wewe nikusalimie...hope jumamosi ntakuwa Tanga.
 
Uzinzi ni nini? ( ni navyo elewa ni kufanya mapenzi nje ya ndoa, au kumtazama mwana mama kwa tamaa huo ndio uzinzi )
kutia mchuzi sio kuzini kaka...ni mambo ya udambwidambwi na umatemate!
 
Kwani mie nimefanya nini Erickb52? Halafu nimekununia ujue? Yaani haukunitaja kwenye kundi la akina Bishanga ambao hawana tabia ya kupendapenda ovyo!
We siumegoma kupendana...baki na usingo ledi wako.

Btw usinune Kipipi ana zawadi yako eeeh
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom