Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,827
- 110,077
Ndio shombe shombe
Haleluya ndio huyo huyo....alibaba!!!
Ndio shombe shombe
Halafu kwenye mchuzi hakuna kunatana
Haleluya ndio huyo huyo....alibaba!!!
Uzinzi ni nini? ( ni navyo elewa ni kufanya mapenzi nje ya ndoa, au kumtazama mwana mama kwa tamaa huo ndio uzinzi )
Hapo umekosea, kwa masahihisho angalia slogan yangu hapo chini...
Hahahaaaa sawa paroko manoah
hehehe, pole. Mi thikujua kama umelokoka na wewe. Sasa huo mshiko wa shopping uko wapi, tunaenda kwa watu bila nguo mpya?We naweee ushaanza kuniharibia....!
Hujui tunaenda kwa akina Kiperemende?
Wewe na nivea ndo mtakuwa mawifi wa karibu.
Haya jiandae baada ya upako tunaandamana.
Hahaha...manoah akisikia hivyo tunamsesha raha hadi maungo ya uzazi yanavaibreti kwa hasira
Hivi unakumbuka kipindi kile yuko O level?
Dah kweli siku hazigandi.
Mi natafakari huyu manoah ni dogo yupi?
alibaba ! Una maanisha nini
Unachukulia kichitchat eeeh?
kihindi hicho kaka...
Noted..!