Manoah ni mfano wa Kuigwa JF

Manoah ni mfano wa Kuigwa JF

Maureen yupo, ila sio mpenzi wangu tena, japo mie na yeye tunabaki kama ndugu au marafiki kwasababu tulikua wapenzi wenye malengo chanya, na hatujapenda tuyakatize.

Kuachana naye ndio chachu ya hivi upo sasa...maana miezi kadhaa ulikua wapenda jitutumua kama uji wa vitumbua kikaangoni...
 
Kuachana naye ndio chachu ya hivi upo sasa...maana miezi kadhaa ulikua wapenda jitutumua kama uji wa vitumbua kikaangoni...

Hivi watu8 huyu Moureen namjua?
Ni wa humu au ?
Mi najua jina tu ila yeye hata simfahamu
 
Last edited by a moderator:
Yawezekana ikawa ni kweli. Ila ndivyo maisha yaendavyo na kila jambo litendekelo lina kusudio lake
Kuachana naye ndio chachu ya hivi upo sasa...maana miezi kadhaa ulikua wapenda jitutumua kama uji wa vitumbua kikaangoni...
 
Hivi watu8 huyu Moureen namjua?
Ni wa humu au ?
Mi najua jina tu ila yeye hata simfahamu

Hayupo JF mkuu, ila kila ambapo manoah alikuwa anakuwepo Maureen alikua hakosi...ni kama mtu na kivuli chake
 
Last edited by a moderator:
"Nothing is impossible to the willing heart." That's what I believe. Erickb52 nakupa hongera X100 kwa kuliona hilo. Mara nyingi nimekuwa najaribu personally kumrekebisha na mfano wa karibu ni leo mchana through PM. Tunakupenda. BIG UP manoah!!
 
Last edited by a moderator:
Hapana kaka Erickb52, haumfahamu kabisa na hakuna anae mfahamu, mnge mfahamu kama angekubali kuja Tanga sema alikua kabanwa na mitihani, kwani sasa ivi tumebaki kua marafiki na kama ndugu ingawa tumeachana.
Hivi watu8 huyu Moureen namjua?
Ni wa humu au ?
Mi najua jina tu ila yeye hata simfahamu
 
Last edited by a moderator:
"Nothing is impossible to the willing heart." That's what I believe. Erickb52 nakupa hongera X100 kwa kuliona hilo. Mara nyingi nimekuwa najaribu personally kumrekebisha na mfano wa karibu ni leo mchana through PM. Tunakupenda. BIG UP manoah!!

Ni jambo jema Arushaone
Kuna wengine pia wanapaswa kubadilika ili kupunguza stress kwa wenzao.
 
Last edited by a moderator:
Mie, ni mzima ndugu yangu. Ndio ukubwa Marry Hunbig majukumu ni sehemu ya maisha yetu ya kila siku, ila kuyafanya mapesi yatupasa kuya kabizi mikononi mwa Bwana
Sipotei mpendwa,ni majukumu tu yanabana na hiv yo nafasi kuwa finyu.
Mimi ni mzima kabisa,sijui wewe!
 
Ni kweli ndugu yangu, Nilipokua mimi Maureen alikua pembeni yangu. Ila ndo ivyo imetokea. Imebaki historia tu
Hayupo JF mkuu, ila kila ambapo manoah alikuwa anakuwepo Maureen alikua hakosi...ni kama mtu na kivuli chake
 
Asante sana Arushaone , kwani umekua ni mmoja ya walio changia mie kubadilika
"Nothing is impossible to the willing heart." That's what I believe. Erickb52 nakupa hongera X100 kwa kuliona hilo. Mara nyingi nimekuwa najaribu personally kumrekebisha na mfano wa karibu ni leo mchana through PM. Tunakupenda. BIG UP manoah!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom