Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,559
- 11,496
- Thread starter
- #121
Kama mathayo 7:13 inavyo sema(kama sijakosea)-Ingieni kwa kupitia mlango mwembamba,maana njia imesonga iendayo uzimani,nao waionao ni wachache.
Ubarikiwe manoah kwa kuamua kupitia njia nyembamba.
Ameeen!
Njia ya uzimani ni nyembamba kwa sababu kwenye hiyo njia ndiko kuna kuvumilia maumivu ya mwili na roho, kujinyima vitu muhimu kwa ajili ya wengine,kupendana bila ubaguzi, kusaidiana.....yote haya ni ngumu kutekelezwa kwa sababu ya tamaa na ubinafsi.
Last edited by a moderator: