Hongera sana. Huenda ilikupasa upitie tabia hizo ili ujirekebishe..
Poa...hata mi natamani kupajua ila sijaenda bado...km vip weekend tutacheck
Na iwe ndani ya nafsi yako, tazama Mungu anavyo kupenda. Una afya njema, mavazi mazuri, una marafiki wazuri, una kula na kushiba, na anakupatia riziki yako. Je? Kwanini wewe usitenda moja tu kwake nalo ni mapendo. Namaanisha kamja una mpenda hata kahaba hutoweza mnunua kwasababu upendo wa dhati wenye Mungu utakutuma umsaidie kwa moyo na roho pasipo ku mtumia ki ngono
We naweee ushaanza kuniharibia....!ukweni wapi tena manake una mabibi kila kona! Na unamuoa nani? Kama shopping dubai.mie ntakuwa mshenga wako!
Kasoro hajanipa Arabella
Arushapne ni kaka yangu hana sumu
siku unataka kufungua kanisa unistue kaka, najua kuhesabu sadaka chapchap bila kulamba vidole.