Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,136
- 13,258
Watumie busara, waludishe mahali ya watu, na riba juu
Kilichokwenda kwa mganga....
Watumie busara, waludishe mahali ya watu, na riba juu
Kilichokwenda kwa mganga....
Kilicho kwenda kwa mganga, ni kuku mweupe au mweusi, tunguli, nazi , sijui na nini vile ambavyo vyote ni ubahiri mtupu havitakiwi kuludi kwasababu vinakua vimetumika kwenye mambo maovu, ila pesa baba angu ni lazima iludi tena na riba ya 20% maana hakuna pesa heramu. my brother Arushaone
Merry christmas
Utapika pilau?
Heri ya mwaka mpya 2013
Mzee wa Rula naona nilisahau kukuweka kwenye kundi la penda penda na nashukuru umejitaja mwenyewe lolErickb52 uzi umekwenda kasi kama ndege ya Fastjet, ni wazi siwezi tena kupitia page 51 zilizofikia. Unajua hii tabia ya kupendapenda imenigharimu mpaka hapa nilipofikia. Arushaone usihoji nani alikuwa kanificha mpka uzi ukaniacha tehe tehe.
Dena Amsi naona nikutakie moja kwa moja salamu za mwaka mpya huku nikiunga mkono hoja ya mleta uzi juu ya manoah kustahili ujiko wote alipakuliwa.
Erickb52 uzi umekwenda kasi kama ndege ya Fastjet, ni wazi siwezi tena kupitia page 51 zilizofikia. Unajua hii tabia ya kupendapenda imenigharimu mpaka hapa nilipofikia. Arushaone usihoji nani alikuwa kanificha mpka uzi ukaniacha tehe tehe.
Dena Amsi naona nikutakie moja kwa moja salamu za mwaka mpya huku nikiunga mkono hoja ya mleta uzi juu ya manoah kustahili ujiko wote alipakuliwa.