Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,087
- 6,392
Last edited by a moderator:
nimekunywa dawa fulani ambayo inaendana na hiyo acha nikanunue hiyo naona itanifaaa zaidi, mikate nakula tangia asubuhi yaani ni kama nimehamia bakhresa ila sijaelewa tatizo ni nini au ni hali ya hewa acheni jamani kuhara si mchezo utafikiri nataka nimfuate yule msanii waliyemzika jana acheni hivi ninavyoandika hapa nimetoka kuhara muda si mrefu acheni utani jamani mwenzenu naondoka mie Kipipi
Sasa si unamshauri Vin Diesel mbinu za kuwa karibu na mke wangu?
we mwana weee . . . . are you serious?
Ebu acha basi kusema hivyo jamani.
Komaa na dawa nami namwita manoah aje akuombee!
Ntanyaje mie na nimpendae Mamndenyi hajiamini...
Kipipi ....!
Nahisi yuko serious...!
Get well soon ladyfurahia
Mi niko kwa Bi nyakomba nakula...karibu siunajua maisha yetu