Manoah ni mfano wa Kuigwa JF

Manoah ni mfano wa Kuigwa JF

Hapo umekosea, kwa masahihisho angalia slogan yangu hapo chini...

Hajasema yanareflect bali yanaweza kureflect watu8 coz km yakireflect mbona ingekuwa balaa lol mchana nimeambiwa na Mungi nina nyumba ndogo 600 na kubwa 200 hehehhee kwani mi robot ?(simaanishi Invisible )
 
Last edited by a moderator:
Ukweli ndugu yangu Chimbuvu nina majukumu, ila maisha yangu yamebadilika kutokana na Mungu kua na mapenzi na mimi, na baadhi ya member wa Jf ambao kwa kiasi kikubwa wamechangia mie kubadilika mmoja wapo Arushaone, Erickb52, Mungi , Baba V pia Watu8, nilikua na wakela wakati mwingine ila walinielewa na kunisoma kwasababu wamepevuka kimawazo zaidi yangu.
Halafu nawewe umeliona eeehhh huko nyuma hakuwa hivyo kabisa,,sijui kawa na majukumu?
 
Mi simwanini manoah hata kidogo...atakuwa anabanwa kiaina fulani na mtu wake. Mara ya mwisho nilisikia kuwa wamepeana ID na password na naniliu wake, kwahiyo kwa namna yoyote hawezi kuongea maneno kama ya siku za nyuma!
 
Last edited by a moderator:
Maureen yupo, ila sio mpenzi wangu tena, japo mie na yeye tunabaki kama ndugu au marafiki kwasababu tulikua wapenzi wenye malengo chanya, na hatujapenda tuyakatize.
Hahah nahisi sababu ni vile kaachana na Maureen...
 
Unasema manoah amebadilika?
Hebu mpe vodka uone kama hatatangulia kwenye server ya Jf
 
Last edited by a moderator:
Hongera Dear kwa Kubadilika, naamini Hutawakwaza watu tena.................
manners.jpg

Nikutakie Mafanikio Mema.
 
Mi simwanini manoah hata kidogo...atakuwa anabanwa kiaina fulani na mtu wake. Mara ya mwisho nilisikia kuwa wamepeana ID na password na naniliu wake, kwahiyo kwa namna yoyote hawezi kuongea maneno kama ya siku za nyuma!
Hahaha
 
Last edited by a moderator:
Mi simwanini manoah hata kidogo...atakuwa anabanwa kiaina fulani na mtu wake. Mara ya mwisho nilisikia kuwa wamepeana ID na password na naniliu wake, kwahiyo kwa namna yoyote hawezi kuongea maneno kama ya siku za nyuma!

Hahahahaa hayo yanabaki historia PakaJimmy hana tabia kama Tonykp ambae kasema kabaki yeye...ila atabadilika
 
Last edited by a moderator:
Ukweli ndugu zanguni kipindi nimepigwa Ban na niliwekwa sero ya ukweli kabisaa karibia wiki na siku kazaa, na sasa ivi kesi ipo mahakamani ila nashukuru Mungu kesi inaenda vizuri na kuna uelekeo wa kushinda. Real story nipeni pole kwa hili.
Inawezekana pia labda kale kaban k Judgement kalimpa fundisho lol dogo kawa kama Askofu vile
 
Last edited by a moderator:
Unasema manoah amebadilika?
Hebu mpe vodka uone kama hatatangulia kwenye server ya Jf
Hahahahahahaaaa hivi kule mnapelekwaga kupigwa na ubaridi ili kuweka akili sawa na kuondoa hangover eeeh
Hahhaaaaa muhudumu lete Konyagi baridi haraka
 
Last edited by a moderator:
Maureen yupo, ila sio mpenzi wangu tena, japo mie na yeye tunabaki kama ndugu au marafiki kwasababu tulikua wapenzi wenye malengo chanya, na hatujapenda tuyakatize.
Pole....
Ndio mapenzi...hata mi nimempoteza Amyner ila nashukuru Kipipi hajaniacha mpweke...nawe utabahatika tu...hasa ukijiunga na kwaya.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ni kweli, nilitaka ni kopi toka kwako ila nikaona nijaribu kuweka kangu, maana kuna kipindi tunahitaji kuumiza vichwa
Hapo umekosea, kwa masahihisho angalia slogan yangu hapo chini...
 
Back
Top Bottom