Manoah ni mfano wa Kuigwa JF

Manoah ni mfano wa Kuigwa JF

umejuaje sasa weewe kaka yangu umeshindwa kunipa copy mie mdogo wako kwanini lakini au kwa sababu nilikula chakula chako walichokuwekea wakati hukuwepo home na ulipokuja ulinitandika makofi huku ukijua kuwa mm mdogo naendesha kama kaatapila [naharisha] mpaka nika............... palepale si vyema ulivyofanya nitamwambia wifi yangu au niseme sasa nisemeeeeeee Erickb52

Heheheheheee potezeaaaaaaaa
Mwaka mpya na mambo mapya
 
Last edited by a moderator:
haya napotezea kaka yangu usingekubali hayo ningemwambia wifi mie nimekusamehe hujui kuwa nami nimebadilika sana sasa ile dawa ya bentazole ya kufunga kuhara utakuja nayo home au? Erickb52
 
Last edited by a moderator:
safi Kipipi unaendeleaje mwenzio naharisha kwani kaka yangu Erickb52 hawajaambia jamani kafanya ivibaya kwani naendesha kama lori lenye mchanga ndani yake wee acha yasikukute haya acha tu

Poleee!
Huyu Erickb52 mubaya hata hajatuambia jamani.

Mie niko poa kabisa, hope nawe utaacha kuendesha soon.
 
Last edited by a moderator:
safi Kipipi unaendeleaje mwenzio naharisha kwani kaka yangu Erickb52 hawajaambia jamani kafanya ivibaya kwani naendesha kama lori lenye mchanga ndani yake wee acha yasikukute haya acha tu
Pole dada yangu...kunywa oral then komaa na mikate teh
 
Last edited by a moderator:
haya napotezea kaka yangu usingekubali hayo ningemwambia wifi mie nimekusamehe hujui kuwa nami nimebadilika sana sasa ile dawa ya bentazole ya kufunga kuhara utakuja nayo home au? Erickb52

Ntakuletea then nakuja na wifi yako Kipipi akuandalie dinner..naamini utafurahi sana kumwona
 
Last edited by a moderator:
nimekunywa dawa fulani ambayo inaendana na hiyo acha nikanunue hiyo naona itanifaaa zaidi, mikate nakula tangia asubuhi yaani ni kama nimehamia bakhresa ila sijaelewa tatizo ni nini au ni hali ya hewa acheni jamani kuhara si mchezo utafikiri nataka nimfuate yule msanii waliyemzika jana acheni hivi ninavyoandika hapa nimetoka kuhara muda si mrefu acheni utani jamani mwenzenu naondoka mie Kipipi
 
Last edited by a moderator:
sana nitafurahi sana lakini nataka dinner yenyewe iwe supa nataka senene wabichi, dagaa wa Arusha, mchicha pori, na wale nyuki usiwaue kabisa ndo dinner yangu utamleta saa ngapi hapa home jamani
 
Back
Top Bottom