Manoah ni mfano wa Kuigwa JF

Manoah ni mfano wa Kuigwa JF

yaani mm umeshindwa kunipa hiyo copy jamani kaka yangu au kwasababu tunakaa nyumba moja umeona usinipe copy sasa basi naomba ya kwako Erickb52
 
Last edited by a moderator:
umejuaje sasa weewe kaka yangu umeshindwa kunipa copy mie mdogo wako kwanini lakini au kwa sababu nilikula chakula chako walichokuwekea wakati hukuwepo home na ulipokuja ulinitandika makofi huku ukijua kuwa mm mdogo naendesha kama kaatapila [naharisha] mpaka nika............... palepale si vyema ulivyofanya nitamwambia wifi yangu au niseme sasa nisemeeeeeee Erickb52
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom