Nenga
Member
- Sep 3, 2007
- 77
- 21
pole yake coz ni binadamu mwezetu lakini sipendi kabisa mambo yake,japanis income support na madudu mengine mengi tu aliyoyafanya hayanifuraishi kabisa.
Aliwahi ku gombea ubunge ki gamboni sasa sijui kama tejanga angeweza kuwkilisha wana kigambonino,rafiki yake manyuzi sijui naye tejanga?maana waswahili wa pemba wajuana kwa vilemba.
Aliwahi ku gombea ubunge ki gamboni sasa sijui kama tejanga angeweza kuwkilisha wana kigambonino,rafiki yake manyuzi sijui naye tejanga?maana waswahili wa pemba wajuana kwa vilemba.