Manji ajaribu kujisafisha Kashfa ya Kagoda; ajichongea!

Kitu ambacho mleta habari kashindwa kukielewa ni kuwa kuna grace period ya lini uli lodge kampunimiwe incorporated na lini imekuwa incorporated. Licha ya hayo kuna intention, ambayo inaweza kuambatana na MoU kabla ya kampuni kuanzishwa. Na hapo hizo tarehe na kampuni vimekuwa leaked ili ukivipeleka mahakamani (mwanasheria mbumbu kama anaetajwa) vikugeukie.

Kwa ufupi, kampuni inaweza kuwepo hata kama haijawa incorporated.

Kama kuna kitu kilikuwepo kabla ya tarehe ya incorporation hicho kitu hakiitwi Kadoga Agricullture Ltd, hapo umechemsha FF, kumbuka kilicho mkopesha fedha Manji ni Kagoda Agriculture Ltd ambayo ndio iliyosajiriwa tarehe baada ya mkopo.

Unless hujui maana ya incorporation.
 
Kama ni barua ya kweli toka kwa Manji basi atakuwa kaitoa ili apate points za kuandika katika utetezi wake kutoka humu kwa wana JF na sehemu zingine kwani barua hii haina maana kabisa..!!

Manji anazidi kujichanganya tu hapa.. Yeye ndiye mtu wa kututajia nani ni Kagoda. Kama hakuiba fedha za EPA kwanini arudishe fedha hizo bank kuu? Na alijua je fedha hiyo toka kwa Kagoda ndiyo fedha iliyo kwapuliwa toka akaunti ya EPA hadi kupelekea yeye kuirudisha ?

Invisible pamoja na kumwonyesha Manji madudu yake anayo jichanganyia bado kuna maswali mengi anapaswa kuyatolea majibu yanayofanana na kujisafisha. Atumie busara ya kujitia kitanzi mwenyewe kwani hapa sioni mahala pa yeye kutokuwepo katika issue hii ya kifisadi.

Hivi kilichomfanya Rais kutoa kauli ya kurudishwa kwa fedha na kukaa kimya baada ya hapo alikuwa akimaanisha nini ? Kuna mwenye jibu sahihi anisaidie ?
 
kulikuwa na haja gani kuwaficha wahalifu wa sheria kama serikali nhaikuwa sehemu ya uchafu huo
 
Kama ni barua ya kweli toka kwa Manji basi atakuwa kaitoa ili apate points za kuandika katika utetezi wake kutoka humu kwa wana JF na sehemu zingine kwani barua hii haina maana kabisa..!!

Manji anazidi kujichanganya tu hapa.. Yeye ndiye mtu wa kututajia nani ni Kagoda.
Kama hakuiba fedha za EPA kwanini arudishe fedha hizo bank kuu? Na alijua je fedha hiyo toka kwa Kagoda ndiyo fedha iliyo kwapuliwa toka akaunti ya EPA hadi kupelekea yeye kuirudisha ?

Invisible pamoja na kumwonyesha Manji madudu yake anayo jichanganyia bado kuna maswali mengi anapaswa kuyatolea majibu yanayofanana na kujisafisha. Atumie busara ya kujitia kitanzi mwenyewe kwani hapa sioni mahala pa yeye kutokuwepo katika issue hii ya kifisadi.

Hivi kilichomfanya Rais kutoa kauli ya kurudishwa kwa fedha na kukaa kimya baada ya hapo alikuwa akimaanisha nini ? Kuna mwenye jibu sahihi anisaidie ?


Maswali ya msingi hao. Labda kama hela za EPA alizokopeshwa Manji na Kagoda zilipigwa mihuri ya EPA.

Haiingii akilini pia kama yeye ni mkopaji na ana mkataba halali wa kuonyesha mkopo na utaratibu wa malipo kati ya Quality na Kagoda, ni vipi aibebe kesi ya wizi wa Kagoda kwa kukubali kurudisha hela ambazo chanzo chake hakijui?

Kwa tafsiri ya Manji, basi nyumba ndogo, dada poa na baamedi wote wanaohongwa pesa za wizi na majambazi, basi nao warudishe zilikoibiwa.
 
Larger then life
manji.jpg
 
Kama kuna kitu kilikuwepo kabla ya tarehe ya incorporation hicho kitu hakiitwi Kadoga Agricullture Ltd, hapo umechemsha FF, kumbuka kilicho mkopesha fedha Manji ni Kagoda Agriculture Ltd ambayo ndio iliyosajiriwa tarehe baada ya mkopo.

Unless hujui maana ya incorporation.

Kwanza corrections:

iliyosajiriwa = iliyosajiliwa.
Agricullture = Agriculture


Naona hujazisoma sheria mpya za Biashara za Tanzania (na sehemu nyingi duniani). Anaekuwa liable ni yule aliye sign na si kampuni kama ilikuwa incorporated or otherwise.
 
Kitu ambacho mleta habari kashindwa kukielewa ni kuwa kuna grace period ya lini uli lodge kampunimiwe incorporated na lini imekuwa incorporated. Licha ya hayo kuna intention, ambayo inaweza kuambatana na MoU kabla ya kampuni kuanzishwa. Na hapo hizo tarehe na kampuni vimekuwa leaked ili ukivipeleka mahakamani (mwanasheria mbumbu kama anaetajwa) vikugeukie.

Kwa ufupi, kampuni inaweza kuwepo hata kama haijawa incorporated.
Hayo unayosema yangewezekana kama ni biashara ya vitumbua si Dola Milioni 28.9... Kaka Manji ana kampuni kibao na anafanya biashara na benki nyingi, ana watu wengi anaofanya nao biashara na katika hili kuna Sh bilioni 2 ambazo alikopeshana na mtu kabla ya kufanya 'biashara' na Kagoda.

Kwa kifupi hii kesi ni Money Laundring na kwa kweli si kesi ya kijinga ni kesi kubwa sana, kuna fraud lakini kubwa ni uchafuzi na usafishaji wa fedha
 
Kwa kweli hawa watu wamelewa mvinyo, tena wamezidiwa hadi hawajitambui...Baada ya vitu vyenye sintofahamu kama hii kutua kwenye public domain, walitakiwa watafute mahali pa kujificha ili walau tusiwaone!!

Kama wabo wanafikiri kuwa "cha mlevi huliwa na muuza mnazi au ulanzi" basi wamekosea step..Walevi wengine ni balaa!!

Na kama waliamua kudesa...basi hili desa ni toxic...lazima siku moja itakula kwao....!!!
 
As I have alwayz said hawa jamaa siku zote huwa wanajichanganya kwa hizi details ndogo ndogo!!!!!!!! And u wonder where the hell is that ting called Police!
 
Kila mtu ana kana shitaka, hata mbele ya ushahidi, jamani.
 
Majambazi wa Ikulu wamemwambia ajitetee na alivyozezeta katumia watu kwa pesa za wizi kuhonga na kutolewa nyaraka nao wamemtosa hakomi tuu kutwa wanajiadhiri na nyaraka zao za kufoji hovyoooooooo kabisa serikali hii
 
Roho imenichafuka....me hates INDIAN DUDES! wameikula nchi mpaka zimebaki mifupa tu. NDULI AMINI ALIONA MBALI SANA ALIPOWAFUKUZIA MBALI...MBW..HAWA!
 
Hivi hawa jamaa hawajifunzagi kutoka kwa wenzao wa ikulu na ujinga wao sio lazima utoke mbele kaa kimya inaweza kuwa busara kidogo lakini kuchemka kote huko hata washauri hawana wa kuwasaidia
 
Manji yumo humu anasoma sana sredi yenu wewe endelea kusoma comments utakutana nayo tu just read between lines
 
Back
Top Bottom